Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Dalili za CCM ktk vipande vipande za anza kuonekana.
 
Haaaa sijafurahi kabisaa lakini kwa kuwa nimeongoni mwa wale waliokusudia kuing'oa CCM madarakani,ngoja ni songe mbele na CHADEMA yangu.
 
Hivi ninyi mnaojifanya makamanda humu mnamkataa lowasa,,. Kwani lowasa ni adui wa chadema au ccm ndio adui yetu????! tunapambana kumtoa ccm madarakani na mfumo wa kifalme,,,, alojiwekea,,,.

As long as lowasa anauwezo wa kuifutilia mbali ccm na mfumo wake, akishirikiana nasi ukawa,,,, then hatuna budi kumpigia magoti ajiunge nasi tuweze kuwaondolea wananchi kero za ccm.
 
Ila kuna jambo tu analitafuta sio kawaida mtu kuwa king'ang'anizi wa madaraka namna hii
 
Its shame! Kama viongozi tunaowaamini wanaweza kuwa vigeugeu namna hii kabla hatujawakabidhi nchi, itakuwaje tukiwakabidhi nchi!
Hivi wataweza simamia vitalu vya gesi kweli hawa? Vipi kuhusu madini na maliasili au ndo watagawana fasta fasta kila mmoja atikomeee ng'ambo
 
Hahhaa dah yaani ccm hawatahangaika kabisa kwenye kampeni njia nyeupee, bil 10 tu watu wameuza malengo na mipango iliyotumika kujenga upinzani kwa miaka 22, sasa wanaanza upya kabisa, CCM tawala milele nchi hii imejaa mburula tupu
 
Nashindwa kuelewa akili ya mtz. Kama lowassa fisadi mwambieni kikwete ampeleke mahakamani. Eeh, tuone sasa.

Fisadi kikwte na serikali yake.

Tuanze kwanza mahakamani.
 
Back
Top Bottom