Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Anahangaika tu huko

Nguvu ya mamba kumayi
 
Hii chemistry ni shidah... just like nachek game ya buyern vs Chelsea
 
mimi ni mtaalum wa photosho na nazitumia sana hizi picha ni za ukweli mtupu
 
Ndani ya 1hr tayari pages zishafika 17...Duh, huenda hii ni Breaking Big News
 
Tatizo lowassa ana siri nyingi kuhusu serikali,akiamua kuachia folder ya uchafu wote wa ccm na serikali atakua mwiba sana kipindi cha kampeni

Nahofia usalama wa lowassa, ccm hawatafurahia hii move kabisa.
 
Kama kuna shetani nyumbani kwangu na linatesa wanangu lakini ili litoke nahitaji jini kumtoa basi lazima nitamwambia jini karibu tumtoe shetani.
CCM ni lazima itoke, kama lazima tutumie jini ndio itatoka basi sawa tuu wacha tutumie kisha jini tutaliombea liwe jini mahaba.

Uko sawa kabisaaaa
 
Maamuzi magumu katika kipindi kigumu. Hii ni sawa na kurusha shilingi juu sana huku ukisubiri iangukie upande uutakao wewe, lakini huenda formula ya cdm ikabalance kwa uwepo wa mzee rich!
 
ngoja niwahi kiti cha mbele ni mwone shujaa wetu mpya amekuja na mapya.
 
Kama kweli CHADEMA kwisha kazi. Wamejipeleka kaburini huku wakiona na kutizama. Inatia huruma kwa Watanzania waliokuwa na matumaini kwa chama chao cha CHADEMA. Watakimbilia wapi??? Sitashangaa wakirudi kwa CCM ambao wameonyesha kuanza vita dhidi ya ufisadi kwa kumuengua Lowasa kwenye kugombea urais wa nchi.

wewe ni gamba jutieni kwa kumkata
 
Ameenda kusikiliza kikao cha makamanda baada ya kumwaka,ili atoe ushuhuda wa namna ya kukata maiina ya wagombea. Mbona Mbowe alienda kusikiliza kikao cha CCM Dodoma.
 
Back
Top Bottom