Hii Nzuri san
Lengo ni moja tu kuitoa CCM madarakani kwa mbinu yoyote.
Lowassa ni kama vile 'the new boss in town'
wenzie na magwanda ..yeye na suti yake
Lengo ni moja tu kuitoa CCM madarakani kwa mbinu yoyote.
Uongo... Ccm hawajamuengua fisadi yyte ata uyu magufuli angeenguliwa sema chadema wamejichanganya asa huruma zaidi kwa dr slaa, who will trust his words again? Nitasupot wagombea wote wa majimbo kwa upande wa chadema lakini si lowasa... May b watoe sababu za maana ...japo bado naisapoti chadema 99%...1% naitoa koz of lowasa..
sitii neno leo
mambo yameivaa bahari beach hotel
View attachment 271450
Uhaini, Uhaini, Uhaini. Kwa zaidi ya miaka 7 Dr Slaa na wenzake wametuaminisha kuwa Lowassa ni fisadi na kwamba CHADEMA kinakataa usifadi, leo hii wanatumbia nini? What do CHADEMA stand for? Walioto wapi hadithi za Lowassa na ufisadi?
teh teh teh kwishaaaaaaaaaa kazi!cdm inazikwa rasmi!