Kijana wangu anapenda kusomea aircraft engineering au Urubani

upangaj

Member
Aug 21, 2016
7
4
Hello wanachama wenzangu habari za leo,

Kijana wangu anapenda kusomea Aircraft Eng au U pilot, kwa sasa sina hakika na suala la ajira kwa hapa nyumbani na kuna mtu ameniambia hata nje ya nchi ni ngumu kupata kazi kwa sababu za kiusalama, naomba kujuzwa je, ni kweli ajira ni tatizo hapa kwetu kwani naona serikali inapanua masuala ya anga mwenye ufahamu naomba tusaidiane kwani hizi course ni gharama sana.

Napenda kuwakilisha.
 
Kama uwezo unao go ahead atafanikiwa tu kupata kazi, Watanzania wengi wanashindwa Ada za hizo kozi za Pilot, million 20 plus plus parefu.

Kwa kifupi sasa hivi watoto wadomee ujuzi ndio la msingi.

Kama ana future plan nzuri mtafutie course ya locomotives oparator kwenye vyuo vya nje hapo anakula maisha ya uhakika.

Canada wanalipa vizuri Sana.
 
shukrani kwa ushauri locomotive course ni mambo ya train au nimeelewa tofauti, naweza pata contact ya mtu wa aircraft au pilot if any niwasiliane nae natanguliza shukrani in advance
 
shukrani kwa ushauri locomotive course ni mambo ya train au nimeelewa tofauti, naweza pata contact ya mtu wa aircraft au pilot if any niwasiliane nae natanguliza shukrani in advance
Air craft Engineer,Aviation Engineering na Upilot vinalipa na kazi nje ya Tanzania ni nyingi sana. NIT Mabibo wana hizi kozi na pia Kijana yeyote wa Kitanzania anetaka soma kozi hizi 100% anaweza pata mkopo toka Bodi ya Mikopo. Tembelea website ya NIT na kujua requirements za Kozi so aanze omba kusoma katika mwaka huu wa Masomo.
 
Hello wanachama wenzangu habari za leo,

Kijana wangu anapenda kusomea Aircraft Eng au U pilot, kwa sasa sina hakika na suala la ajira kwa hapa nyumbani na kuna mtu ameniambia hata nje ya nchi ni ngumu kupata kazi kwa sababu za kiusalama, naomba kujuzwa je, ni kweli ajira ni tatizo hapa kwetu kwani naona serikali inapanua masuala ya anga mwenye ufahamu naomba tusaidiane kwani hizi course ni gharama sana.

Napenda kuwakilisha.
USA ,Canada , UK na Kwengineko ajira zinapatikana bila ubaguzi wa Nchi unayotoka

 
Hivi Hizo kwa awamu hizi kupata kazi kama hauna connection ni rahisi kweli lov?????
niliongea na DG mmoja anayepekeka watu nje masomoni aliniambia vijana wengi waliosomea hzo course wapi jobless kwn nje hawachukuwi kwa sababu ya usalama wa nchi I am tired
 
niliongea na DG mmoja anayepekeka watu nje masomoni aliniambia vijana wengi waliosomea hzo course wapi jobless kwn nje hawachukuwi kwa sababu ya usalama wa nchi I am tired
Dah ila ni kozi za pesa hawezi kosa pa kujishikiza na akapata mkwanja wa maana usikate tamaa mkuu!

Cc Smart911
 
Hello wanachama wenzangu habari za leo,

Kijana wangu anapenda kusomea Aircraft Eng au U pilot, kwa sasa sina hakika na suala la ajira kwa hapa nyumbani na kuna mtu ameniambia hata nje ya nchi ni ngumu kupata kazi kwa sababu za kiusalama, naomba kujuzwa je, ni kweli ajira ni tatizo hapa kwetu kwani naona serikali inapanua masuala ya anga mwenye ufahamu naomba tusaidiane kwani hizi course ni gharama sana.

Napenda kuwakilisha.
Aircraft engineering ni mechanical engineering kibongo bongo asome mechanical tu mambo yasiwe mengi atakuwa na uwanja mpana wa ajira.
 
Hello wanachama wenzangu habari za leo,

Kijana wangu anapenda kusomea Aircraft Eng au U pilot, kwa sasa sina hakika na suala la ajira kwa hapa nyumbani na kuna mtu ameniambia hata nje ya nchi ni ngumu kupata kazi kwa sababu za kiusalama, naomba kujuzwa je, ni kweli ajira ni tatizo hapa kwetu kwani naona serikali inapanua masuala ya anga mwenye ufahamu naomba tusaidiane kwani hizi course ni gharama sana.

Napenda kuwakilisha.
Sometimes msiangalie mapenzi angalieni uhalisia. Kama anapenda engineering ningemshauri akasome hizi kozi kwa hii nchi yetu ya viwonder

1. Civil Engineering

2. Architecture

2. Electrial engineering

3. Mechanical Engineering

4. Quantity Surveying.

Hizo akisoma hawezi kosa ugali kwenye hii nchi! Sasa wewe jidai sijui napenda pilot sijui nini alafu ulimaliza ndio akili zikukae sawa pale utapokuta CAG anasema shirika la ndege limepata hasara lifungwe alafu wewe ndio umemaliza chuo!

NB: angekua anaishi nchi za wenzetu hapo sawa, sekta ya anga nchini imeshikiliwa na serikali bora hata pangekua na private sector hapo kidogo nafuu!
 
Back
Top Bottom