Kijana Masikini nimeamua kuimba SINGELI sasa pengine nitatoboa

Kijana Masikini nimeamua kuimba SINGELI sasa pengine nitatoboa

Oyaa sikia.. wapi mwanangu dosho12 salimia sana mwanangu Harmful oya we Harmful salimia sana mwanangu Noma, Noma.. Nomadix

Awee shem langu Ms R salimia sana mtotomzuriwa kuitwa waifu material mwambie hii hapa sauti Ya Kijana Masikini a.k.a Mui........mba SINGELI.
Unapoteza muda singeli sio muziki huo hata kidogo ni kutamka maneno tuu yasiyo na vina wala mizani hata sifa ya mashairi haina. hauna sifa ya kuitwa wimbo kwa sababu sio melodic na kimataifi hauwezi kukidhi viwango, utaona unasifika maeneo ya dar kwa sababu hiyo ni ile ile ngoza za kienyeji za kizaramo zilizokuwa zinapita miataani wamebadili tuu jina hivo watu waswahili wa pwani wanapenda tuu hayo maneno ya vijembe na siu ozuri wa muziki. Mtu asiye mswahili ataona ni kelele tuu
 
Unapoteza muda singeli sio muziki huo hata kidogo ni kutamka maneno tuu yasiyo na vina wala mizani hata sifa ya mashairi haina. hauna sifa ya kuitwa wimbo kwa sababu sio melodic na kimataifi hauwezi kukidhi viwango, utaona unasifika maeneo ya dar kwa sababu hiyo ni ile ile ngoza za kienyeji za kizaramo zilizokuwa zinapita miataani wamebadili tuu jina hivo watu waswahili wa pwani wanapenda tuu hayo maneno ya vijembe na siu ozuri wa muziki. Mtu asiye mswahili ataona ni kelele tuu
Sawa mkuu lakini nimechagua kuwa upande huu.
 
Unapoteza muda singeli sio muziki huo hata kidogo ni kutamka maneno tuu yasiyo na vina wala mizani hata sifa ya mashairi haina. hauna sifa ya kuitwa wimbo kwa sababu sio melodic na kimataifi hauwezi kukidhi viwango, utaona unasifika maeneo ya dar kwa sababu hiyo ni ile ile ngoza za kienyeji za kizaramo zilizokuwa zinapita miataani wamebadili tuu jina hivo watu waswahili wa pwani wanapenda tuu hayo maneno ya vijembe na siu ozuri wa muziki. Mtu asiye mswahili ataona ni kelele tuu
Aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom