Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,151
- 28,874
Umetuandikia Uzi na kutag watu badala ya kuweka nyimbo tukusapoti.
Weka nyimbo bahariaaaaa.
Weka nyimbo bahariaaaaa.
Hebu weka moja tuitathimini!Oyaa sikia.. wapi mwanangu dosho12 salimia sana mwanangu Harmful oya we Harmful salimia sana mwanangu Noma, Noma.. Nomadix
Awee shem langu Ms R salimia sana mtotomzuriwa kuitwa waifu material mwambie hii hapa sauti Ya Kijana Masikini a.k.a Mui........mba SINGELI.
🤣🤣🤣 nataka kuipeleka ngeli intaneshno mkuu mitumba naitupa pembeni kwa muda.Uvivu Tu wa kutembeza mitumba
Ndiyo nilitunza hadi lisiti nikuletee hapa?Subhana,Mimi tena!!!
Nenda kwa Mond bin laden, akutoe fastaOyaa sikia.. wapi mwanangu dosho12 salimia sana mwanangu Harmful oya we Harmful salimia sana mwanangu Noma, Noma.. Nomadix
Awee shem langu Ms R salimia sana mtotomzuriwa kuitwa waifu material mwambie hii hapa sauti Ya Kijana Masikini a.k.a Mui........mba SINGELI.
😍😍 amagambo bukebuke mkuu.Umetuandikia Uzi na kutag watu badala ya kuweka nyimbo tukusapoti.
Weka nyimbo bahariaaaaa.
1 DAY YES....Imfikie mbwa koko Muimba SINGELI, al watani kinyongaa
Napika vitu mkuu nitawaachia magomaHebu weka moja tuitathimini!
Ndio nini mkuu.Ashuo 😏
Sitaki mkuu kule kuna jamaa ni kama hana ubingwa, nahofia kupoteza taji langu.Nenda kwa Mond bin laden, akutoe fasta
I love youNdio nini mkuu.
Kwa ujinga unaoingizwa humu,binafsi si sikilizi huo utumbo,bora mjitambue mjue singeli sii kwa ajili ya jamii ya pwani pekee,ila mnatamani iende kimataifa,ile maana ya dunia kijiji ni maana pana sana,wewe tumia maneno na matusi ya kizaramo ,kindengereko ukifikiri wewe pekee ndiye unaeelewa kizaramo au kindengereko,utabakia ukisikiliza kazi yako wewe pekeyako na mkeo ikizidi na wanao.Oyaa sikia.. wapi mwanangu dosho12 salimia sana mwanangu Harmful oya we Harmful salimia sana mwanangu Noma, Noma.. Nomadix
Awee shem langu Ms R salimia sana mtotomzuriwa kuitwa waifu material mwambie hii hapa sauti Ya Kijana Masikini a.k.a Mui........mba SINGELI.
Wanasema nguvu zote anamaliza kwenye kucheza hivyo hawezi tena kubaki na nguvu ya ziada ya kuimbia.Tuneto na tudeto hoo!!! Baby Kama Baraka tuombe kwa aliye juu Mimi nakumbembeleza bodi kushekia shekia .🎶🎶🎶
Baiila baila upendo wako unanitosha .
Ewe dogo rema utatuua what a song🎶🎶
Lisiti ya nini tena we muimba singeli?Ndiyo nilitunza hadi lisiti nikulet
Kupoteza ubingwa ni tamaa za ntu tu..Sitaki mkuu kule kuna jamaa ni kama hana ubingwa, nahofia kupoteza taji langu.