Muimba SINGELI
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 4,211
- 10,850
- Thread starter
- #101
Poa mkuu utawala utawala.Imeisha hiyo acha nicheki kwanza na dogo Bili nenga, alafu akupe waya wa Nanda
Poa mkuu utawala utawala.Imeisha hiyo acha nicheki kwanza na dogo Bili nenga, alafu akupe waya wa Nanda
Tutajitolea mimi na Muimba SINGELI tutauza figo zetu tukipata hela tunampa ndugu yetu Harmful hivyo Ms R tunaomba mvumilie ndugu yetu 😅😅Sitaki yan niteseke na ufupi wako,,na bado huna hela😂😂
Hatutafika huko kaka, mimi suni tu hapo natoboa nitamkatia kibunda mwanetu Harmful tutarudisha heshima Town.Tutajitolea mimi na Muimba SINGELI tutauza figo zetu tukipata hela tunampa ndugu yetu Harmful hivyo Ms R tunaomba mvumilie ndugu yetu 😅😅
Hahahaha hapo afadhali kunitia moyo ☺️☺️Tutajitolea mimi na Muimba SINGELI tutauza figo zetu tukipata hela tunampa ndugu yetu Harmful hivyo Ms R tunaomba mvumilie ndugu yetu 😅😅
Ww tulia mambo yanaenda taratibu haya usiwe na harakaSitaki yan niteseke na ufupi wako,,na bado huna hela😂😂
Kila la kheri. Ila usiimbe matusi. Singelo to the wodoOyaa sikia.. wapi mwanangu dosho12 salimia sana mwanangu Harmful oya we Harmful salimia sana mwanangu Noma, Noma.. Nomadix
Awee shem langu Ms R salimia sana mtotomzuriwa kuitwa waifu material mwambie hii hapa sauti Ya Kijana Masikini a.k.a Mui........mba SINGELI.
😂😂😂Msifike huko kesho tuna kikao Cha urithi nyumbani kwetu kwahiyo yajayo yanafurahisha Muimba SINGELI hela ya goma la kwanza natoa Mimi kesho wakinipa hela zangu za urithi wa babuTutajitolea mimi na Muimba SINGELI tutauza figo zetu tukipata hela tunampa ndugu yetu Harmful hivyo Ms R tunaomba mvumilie ndugu yetu 😅😅
Safi kiongozi, duwa nene mambo yaende sawa asipatikane ndugu mkorofi wa kuleta chekeche, duwa chifu.😂😂😂Msifike huko kesho tuna kikao Cha urithi nyumbani kwetu kwahiyo yajayo yanafurahisha Muimba SINGELI hela ya goma la kwanza natoa Mimi kesho wakinipa hela zangu za urithi wa babu
Pamoja Pamoja mkuu.Kila la kheri. Ila usiimbe matusi. Singelo to the wodo
Kila hatua Dua kaka mpka sasa maex wangu wote washanitafuta tyrSafi kiongozi, duwa nene mambo yaende sawa asipatikane ndugu mkorofi wa kuleta chekeche, duwa chifu.
Chunga mkuu chunga sana, wasije pita nazo zikaishia domo la mamba.Kila hatua Dua kaka mpka sasa maex wangu wote washanitafuta tyr
Nitajitahidi maana najijua Mimi zinaweza zisifike hata siku mbili baada ya kupewa gawio languChunga mkuu chinga sana, wasije pita nazo zikaishia domo la mamba.
Duh! Kipengele. Poa mkuu tunaendelea kukuombea.Nitajitahidi maana najijua Mimi zinaweza zisifike hata siku mbili baada ya kupewa gawio langu
Dua Nene sana maana nilikuwa na ugomvi na babu sijui kama nimeandikwa kwenye usiaDuh! Kipengele. Poa mkuu tunaendelea kukuombea.
Huo sasa mtihani kaka 😅Dua Nene sana maana nilikuwa na ugomvi na babu sijui kama nimeandikwa kwenye usia
Sio mdogo hapa nataka kesho niwahi mapema nyumbani nianze usafi yaani nifanye kila kazi inawezekana nikaonewa huruma na mimiHuo sasa mtihani kaka 😅
🤣🤣🤣 Sema mzee akizingua si unatumia lile panga ambalo nilikukuta nalo ukichoma mkaa!Dua Nene sana maana nilikuwa na ugomvi na babu sijui kama nimeandikwa kwenye usia
Nataka niwe mpole maana Kuna mjomba etu mwanajeshi ila kama sitotajwa mpaka mwisho amini usiamini nang'ata mtu🤣🤣🤣 Sema mzee akizingua si unatumia lile panga ambalo nilikukuta nalo ukichoma mkaa!
Lile unapiga kwenye kuta tu 'PPAAAAAH' ukoo wote unanyooka.
Usipo tajwa jina we tuma ujumbe tu si tutafika chap tuanze misheNataka niwe mpole maana Kuna mjomba etu mwanajeshi ila kama sitotajwa mpaka mwisho amini usiamini nang'ata mtu