Du ya kichwa hii. Kwa nini wasinge mpiga mkono au mguu ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria?.
K. I. A
Mleta mada ni jinga jinga, analeta habari isiyojitosheleza,bila kusema kauawa wapi,na nani? ilikuwa saa ngapi? na ktk mazingira gani? nyambaf zako sana mleta mada.
Kijana Tissi aliyemuua askari Joseph Isack, nae auawa jana!
Nilichokiona; Wananchi wamefurahishwa sana na kifo cha huyu askari. Jiulize amekufa katika mazingira gani; ya kuokoa au kuangamiza? Na asingefika tungesemaje?
Watanzania tuamke, tusipandikizwe chuki na siasa. Askari tupo nao na tunakaa nao kitaa!
Ukitaka kujua kuwa Polisi ni washenzi siku wakukamate na kosa dogo halafu wakupeleke kituoni kwao
[/COLOR]
ili iweje,mwisho wa siku akale msosi wa bure kwa kodi yetu,alichofanya kwa huyo askari ni zaidi ya unyama
kirefu chake ndo kipi ?
Du ya kichwa hii. Kwa nini wasinge mpiga mkono au mguu ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria?.
yule polisi nahis namfaham
jamni alisoma longido miaka ya 2009
nimeona picha yake like w hrs ago asieeeee