Kijana aliyemuua askari, naye auawa

Kijana aliyemuua askari, naye auawa

Lukansola

Jamani hajui mbona hata ya askari kuuawa ilianza na line tatu tu na sasa ina pages kibao, online media ni mimi wewe na yule sio jukumu lake kuacha kutafuta ugali aandike makala hiyo ni style ya magazeti na vijarida mkuu, online ni watu kuchangia piece by piece mpaka detail inakamilika !
 
Last edited by a moderator:
Kama ana akili atatoa angalau summary ya tukio kwani siyo wote wanaojua tumio zima lilikuwaje.

Na yeye sio jukumu lake kueleza watu wooote tukio lilivyokuwa, habari hutafutwa sio ukae tu uletewe matukio ya wiki nzima na usilaumu mtu ku post anachojua kwa upeo wake, we chukua jukumu lako kutafuta usichojua!!!
 
Jabulani

Jamni siyo wote walioangalia bunge jana lkn ukiangalia kichwa cha habari hakiendani na taarifa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sijaelewa hii habari ulituwekea hapa maana nimefungua nisome aliyeuwa naona vitu vingine nisivyovielewa hebu tuwekee tena vizuri maana hatuelewi
Mushi92
 
Last edited by a moderator:
Lukansola

Jamani hajui mbona hata ya askari kuuawa ilianza na line tatu tu na sasa ina pages kibao, online media ni mimi wewe na yule sio jukumu lake kuacha kutafuta ugali aandike makala hiyo ni style ya magazeti na vijarida mkuu, online ni watu kuchangia piece by piece mpaka detail inakamilika !

Basi sawa....
 
Ni habari inayoendelea, na kwa mtu yeyote anayefuatilia local news, lazima atakuwa ameipata hii habari jana. Bungeni waziri alitangaza pia, so kutokujua kwako kusisababishe umtusi mleta mada. Hivi mtu akileta mada ya kaburi la Osama leo, atalazimika kueleza Osama aliuawaje na lini?

Acha kutetea ujinga kwanza mada yenyewe inajichanganya mara linaema aliyemuuwa askari naye kauwa halafu tena linasema wananchi wamefurahishwa na kifo cha askari kwakuwa alikufa wakati anaokoa maisha ya mtoto asiye na hatia huoni hapo kuwa kunaujinga ndani yake hata tarifa haieleweki?
 
Kijana Tissi aliyemuua askari Joseph Isack, nae auawa jana!
Nilichokiona; Wananchi wamefurahishwa sana na kifo cha huyu askari. Jiulize amekufa katika mazingira gani; ya kuokoa au kuangamiza? Na asingefika tungesemaje?
Watanzania tuamke, tusipandikizwe chuki na siasa. Askari tupo nao na tunakaa nao kitaa!
Mimi nipo Chang'ombe Dodoma huyu kijana Tiss Cyril Mallya kauawa saa ngapi?
kuna fununu tu kakamatwa, na kwa vile ana mawasiliano huenda hata humu JF tuwaachie askari kazi yao kwani hapo alipotoka ni kwao na kuna mawasiliano naye kwani damu nzito hata kwa walibaki
Hakuna mwananchi aliyefurahi kwani wote wamejiapiza wakimkamata ni KUMUUA kabla ya askari
kwa hiyo leta taarifa sahihi
 
wakuu ni sahihi askari kuuliwa?


na je ni sahihi kwa askari kutaka kumrukia mtuhumiwa wakati alikuwa na uwezo wa kutumia lugha za kidiplomasia kumsihi asiuwe mtoto?
 
kuna habari za chini ya kapeti eti huyo mtoto ni wahuyo askali na huyo bwana alichukia sana kitendo cha huyo mke wake kuzaa na huyo askari kila umri anavyokua huyo mtoto sura inakuja ya huyo askali sasa sijui kweli au kupakaziana tu maana binadamu siku hizi ni kuchonganisha
 
Mimi nipo Chang'ombe Dodoma huyu kijana Tiss Cyril Mallya kauawa saa ngapi?
kuna fununu tu kakamatwa, na kwa vile ana mawasiliano huenda hata humu JF tuwaachie askari kazi yao kwani hapo alipotoka ni kwao na kuna mawasiliano naye kwani damu nzito hata kwa walibaki
Hakuna mwananchi aliyefurahi kwani wote wamejiapiza wakimkamata ni KUMUUA kabla ya askari
kwa hiyo leta taarifa sahihi

Hilo litoa mada ni lijinga sana limesababisha na lenyewe liwe mada kwa kutoandika vizuri.
 
Magazeti ya leo tarehe 5/02/2015 yanaeleza kuwa polisi bado inamtafuta huyu mwuaji Tisi Mally kwa mauaji ya askari aliyekuwa anataka kumwokoa mtoto kutoka kwenye mikono ya Mallya. Bahati mbaya alianguka na ndipo alipomkatakata kwa panga alilokuwa nalo.
 
Ni yule alomuua Askari wakati askari huyo akifanya jaribio la kumuokoa mtoto alotaka kumchinja.

Askari huyo alikuwa ametoka kwenye kituo kimoja cha Redio kutoa elimu juu ya kuwakinga albino dhidi ya mauaji na mara akapigiwa simu kutaarifiwa habari hiyo na kwenda kushghulikia.

Inasemekana bwana huyo alifanya jaribio la kukaidi,kuwatoroka na kuwatishia polisi kisha akapigwa risasi.

Huyu hapa
 

Attachments

  • 1423154203984.jpg
    1423154203984.jpg
    100.8 KB · Views: 799
samahan mwendelezo upo....muda wote huwez kaa hapa kuchati....kuna kufanya kazi....au mnadhan wote n kama ww....
 
Nilikuwa eneo la amzishi leo, bwalo la askar hpa mkoa wa dodma mjini, habar amabzo nimezipata baada ya mkuu wa mkoa kuota nasaha zake ni kuwa mtuhimiw ameuwawa jana..

Ingawa pamoj na kuw igp na kaimu rpc na baadhi ya viongz wa serikali na viongz wa kisiasa kuwapo jeshi la polis mkoan hapa alikutaka kudhibitisha moja kwa moja kupitia nasaha zao pale walipo takiwa kufanya hvyo..
Hata hvyo nilipenyezewa taarifa na moja kati ya askar wa hapa line polis hatua chache kutoka bwalon, kuwa mtuhumiwa aliuwawa jan usku sa nne mara baada ya jeshi kufanya msako mkali sana maeneo yaliko fanyika mauaji..
Mtuhumiwa alipigwa lisasi ya kichwa na kukatwa kiuono...
Picha za mtuhimiwa nimeziona pia mara baada ya kuuwawa kwenye sm ya polisi hyo..
 
mi kinachonikera humu jf ni hiki, kuna watu wanajidai wanajua, mi nawaona kama mapimbi hata wakinitukana poa tu, it is not fair mtu kaleta mada yake hapa, kama haijajitosheleza c mnamuelekeza au tafuten detail zaidi, sasa mtu kajipinda kwa uwezo wake ndo umeishia alipofikia alafu anatukanwa, mmmxxxxuuuuu, inakera sana,
sasa limtu lilitaka liandikiwe kila kitu. mmmxxxuuuuu mkiandikiwa mtasema mnataka picha, mkiletewa picha mtataka video. kila mtu anauhuru wa kuandika anavyojckia, haijakupa baraka sepa kwani lazima ucomment, sasa mnamtukana kwa lipi
 
Mtuhumiwa
 

Attachments

  • 1423154998632.jpg
    1423154998632.jpg
    101.3 KB · Views: 861
Du ya kichwa hii. Kwa nini wasinge mpiga mkono au mguu ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria?.
 
Back
Top Bottom