lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
- Thread starter
- #81
Yaani na wewe umeleta zilezile za mliamani city.
kumbe wapo wengi?
Yaani na wewe umeleta zilezile za mliamani city.
Jamani kwa nini kila mtu akikanyaga tu lango la kuingilia Mlimani City anaanza kuongea kiingereza? Utasikia cha kuungaunga mara IS na WAS kibao. Kwani mkiongea Kiswahili chenu mtakuwaje? Acheni uzuzu, ubitozi na usister duu!
Mkuu Nimecheka kwa sauti, kama nakuona hivi unavyozuga kushangaa bidhaa kumbe unakula kiyoyozi.Sisi wengine huwa tunapita hapo kupigwa kiyoyozi kabla ya kuendelea na safari ya kurejea makwetu...
Mie na kisukuma changu wala sina habari
Naona leo uko na raha sana eeh?Nimecheka hatari inakuwa mixed grill??? Dah nimechekaa sana haya sante sana.....
.kaka mi naomba kuuliza hivi mlimani city unaingia na cheti ulichosomea inglish kozi?maana si wengine ni wa umande jumla.hatujui mayai.tunaruhusiwa kuja?kweli mkuu kuna wengine wanatembea na oxford dictionary
Yesterday kibao na kiingereza chenyewe sasa mwe utasikia SNAKE THIS WAY (nyooka na njia hii) au UR THEIR HIPOPPOTAMUS (Wewe ni kiboko yao) nifollow instagram walking lollipop
.kaka mi naomba kuuliza hivi mlimani city unaingia na cheti ulichosomea inglish kozi?maana si wengine ni wa umande jumla.hatujui mayai.tunaruhusiwa kuja?
Hata Mimi wa nyakitonto kasulu kigoma naweza kupanda hadhi kwa kutema yai doyunoworamsei
Kiingereza kinaongeza hadhi bana. Kinakufanya uonekane msomi, wa kileo, na mstaarabu.