Katoto Kadogo
Member
- Jul 3, 2015
- 17
- 44
Kupitia X (zamani Twitter), Anaandika Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini
Hivi baada ya a very carefully planned and executed mission ya kumuangusha Mhe. Gekul na Ndg. Chongolo, unaweza ku-guess anayefuata ni nani?
Competitive intelligence imejikita kwenye kujua kitakachotokea kabla hakijatokea (fore knowledge).
Tunaishi kwenye dunia ya ushindani mkali, dunia ya mashambulizi makali ya kiteknolojia - je, tuko aware? Ama tunapigwa halafu tunajifunza baada ya kupigwa? Tunaanza kujadili matokeo?
Niliandika hapa juzi kuwa, kwenye uwanda wa siasa kuna mambo mengi sana yanaweza kutokea, na kwamba siyo lazima yawe halisi ama kweli; yanaweza kutokea kwa kupangwa (kama yale yaliyonikuta mimi, ama haya ya Gekul na Chongolo) na ama hata kwa ajali tu!
Kuna pattern naiona. Sijui kama na wewe unaiona! Kuna victims wengine wanakuja. Tafakari! Chukua hatua.
Gekul anaonekana shetani, katili, jambazi asiye na ubinadamu hata kidogo ndani yake, sababu kiukweli kitendo cha namna hiyo hakifai wala hakifikiriki!
Vipi ukijua ukweli kwamba kijana hakuwekewa chupa, utasemaje? Pengine Gekul acted too naively, Pengine amejiweka kwenye mazingira ya kushughulikiwa na hatimaye kupata hukumu ya jamii. Pengine.
Kwa mwanasiasa na kiongozi mkubwa, hukumu ya jamii inatosha kukupotezea sifa ya kuwa kioo cha jamii, haijalishi tuhuma ziwe halisi ama ama uzushi. Moja ya somo kubwa la uongozi tunalopata.
Somo lingine ni kuwa; mitandao ya kijamii ina nguvu sana. Ikitumiwa vibaya na watu wenye nia mbaya inaweza ikaangusha dola, achilia mbali kuangusha mtu mmoja mmoja.
Somo lingine: wanaCCM tuamke sasa, kazi imeanza. Vita vya kisiasa vinapiganwa huku sasa hivi. Kumekucha!
Hivi baada ya a very carefully planned and executed mission ya kumuangusha Mhe. Gekul na Ndg. Chongolo, unaweza ku-guess anayefuata ni nani?
Competitive intelligence imejikita kwenye kujua kitakachotokea kabla hakijatokea (fore knowledge).
Tunaishi kwenye dunia ya ushindani mkali, dunia ya mashambulizi makali ya kiteknolojia - je, tuko aware? Ama tunapigwa halafu tunajifunza baada ya kupigwa? Tunaanza kujadili matokeo?
Niliandika hapa juzi kuwa, kwenye uwanda wa siasa kuna mambo mengi sana yanaweza kutokea, na kwamba siyo lazima yawe halisi ama kweli; yanaweza kutokea kwa kupangwa (kama yale yaliyonikuta mimi, ama haya ya Gekul na Chongolo) na ama hata kwa ajali tu!
Kuna pattern naiona. Sijui kama na wewe unaiona! Kuna victims wengine wanakuja. Tafakari! Chukua hatua.
Gekul anaonekana shetani, katili, jambazi asiye na ubinadamu hata kidogo ndani yake, sababu kiukweli kitendo cha namna hiyo hakifai wala hakifikiriki!
Vipi ukijua ukweli kwamba kijana hakuwekewa chupa, utasemaje? Pengine Gekul acted too naively, Pengine amejiweka kwenye mazingira ya kushughulikiwa na hatimaye kupata hukumu ya jamii. Pengine.
Kwa mwanasiasa na kiongozi mkubwa, hukumu ya jamii inatosha kukupotezea sifa ya kuwa kioo cha jamii, haijalishi tuhuma ziwe halisi ama ama uzushi. Moja ya somo kubwa la uongozi tunalopata.
Somo lingine ni kuwa; mitandao ya kijamii ina nguvu sana. Ikitumiwa vibaya na watu wenye nia mbaya inaweza ikaangusha dola, achilia mbali kuangusha mtu mmoja mmoja.
Somo lingine: wanaCCM tuamke sasa, kazi imeanza. Vita vya kisiasa vinapiganwa huku sasa hivi. Kumekucha!