Kigwangalla: Baada ya mipango mizuri iliyotengenezwa kumuangusha Gekul na Chongolo, nani anafuata? Kuna wengine wanakuja!

Mbunge mzima na waziri mstaafu na Dr wa binadamu unabandika maandishi ku confirm kuwa Gekul hajafanya kosa lolote ila kawa framed.

  1. Hapa kwanza unamdharau Rais Samia kwa ku act kijinga kwa kumtolea unaibu waziri wake wakati ni innocent.
  2. Unaiaminisha jamii kuwa TISS ni sio tu haifanyi kazi ila ni kama haipo tu kabisa.
  3. Unaiaminisha jamii kuwa watanzania ni mazezeta sana

Nikuulize bwana Daktari wa nzega, why Gekul? What is so special na Gekul atengenezewe hili zengwe akose ubunge wake?
Unapoteza muda wako Mkuu! Unayemuuliza tabia zake ndio kama za huyo Gekul.
Hapo ndio utagundua huyu hafai hata kulumagia.
Kama Gekul hakutenda kosa kwa nini alitaka kutoroka?
 
Kupitia X (zamani Twitter), Anaandika Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini

Hivi baada ya a very carefully planned and executed mission ya kumuangusha Mhe. Gekul na Ndg. Chongolo, unaweza ku-guess anayefuata ni nani?

Competitive intelligence imejikita kwenye kujua kitakachotokea kabla hakijatokea (fore knowledge).

Tunaishi kwenye dunia ya ushindani mkali, dunia ya mashambulizi makali ya kiteknolojia - je, tuko aware? Ama tunapigwa halafu tunajifunza baada ya kupigwa? Tunaanza kujadili matokeo?

Niliandika hapa juzi kuwa, kwenye uwanda wa siasa kuna mambo mengi sana yanaweza kutokea, na kwamba siyo lazima yawe halisi ama kweli; yanaweza kutokea kwa kupangwa (kama yale yaliyonikuta mimi, ama haya ya Gekul na Chongolo) na ama hata kwa ajali tu!

Kuna pattern naiona. Sijui kama na wewe unaiona! Kuna victims wengine wanakuja. Tafakari! Chukua hatua.

Gekul anaonekana shetani, katili, jambazi asiye na ubinadamu hata kidogo ndani yake, sababu kiukweli kitendo cha namna hiyo hakifai wala hakifikiriki!

Vipi ukijua ukweli kwamba kijana hakuwekewa chupa, utasemaje? Pengine Gekul acted too naively, Pengine amejiweka kwenye mazingira ya kushughulikiwa na hatimaye kupata hukumu ya jamii. Pengine.

Kwa mwanasiasa na kiongozi mkubwa, hukumu ya jamii inatosha kukupotezea sifa ya kuwa kioo cha jamii, haijalishi tuhuma ziwe halisi ama ama uzushi. Moja ya somo kubwa la uongozi tunalopata.

Somo lingine ni kuwa; mitandao ya kijamii ina nguvu sana. Ikitumiwa vibaya na watu wenye nia mbaya inaweza ikaangusha dola, achilia mbali kuangusha mtu mmoja mmoja.

Somo lingine: wanaCCM tuamke sasa, kazi imeanza. Vita vya kisiasa vinapiganwa huku sasa hivi. Kumekucha!

View attachment 2829996
View attachment 2829997
Mtajuana wenyewe weI wa mali za umma ndizo mnagombania.
 
Sasa Gekul ana impact ganj mpk afanyiwe zengwe..
Bora umesema, Gekul hana impact yoyote kwenye siasa za ndani ya CCM. Vivyohivyo Chongolo nae si kiviile, umuhimu wake ni hicho cheo chake alichokuwa nacho. Lakini je, kama tuhuma ni za kweli kwanini hawa watu waachwe wafanye wanavyotaka? Si kazi ya Kigwangala kuwasafisha watu. Ni wa kupuuza, siasa zake ni za majungu majungu muda wote.
 
Hili andiko la kigwangala... Kama ni miongoni mwa waliotumwa kutuliza upepo wa gekul wakiongozwa na mwijaku ... Limemwondolea credibility!!!

Binafsi nimemvua vyeo kabisa na kumuona ni punguani!...

Kwa hadhi yake angekaa kimya afiche upumbavu wake
 
Kupitia X (zamani Twitter), Anaandika Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini

Hivi baada ya a very carefully planned and executed mission ya kumuangusha Mhe. Gekul na Ndg. Chongolo, unaweza ku-guess anayefuata ni nani?

Competitive intelligence imejikita kwenye kujua kitakachotokea kabla hakijatokea (fore knowledge).

Tunaishi kwenye dunia ya ushindani mkali, dunia ya mashambulizi makali ya kiteknolojia - je, tuko aware? Ama tunapigwa halafu tunajifunza baada ya kupigwa? Tunaanza kujadili matokeo?

Niliandika hapa juzi kuwa, kwenye uwanda wa siasa kuna mambo mengi sana yanaweza kutokea, na kwamba siyo lazima yawe halisi ama kweli; yanaweza kutokea kwa kupangwa (kama yale yaliyonikuta mimi, ama haya ya Gekul na Chongolo) na ama hata kwa ajali tu!

Kuna pattern naiona. Sijui kama na wewe unaiona! Kuna victims wengine wanakuja. Tafakari! Chukua hatua.

Gekul anaonekana shetani, katili, jambazi asiye na ubinadamu hata kidogo ndani yake, sababu kiukweli kitendo cha namna hiyo hakifai wala hakifikiriki!

Vipi ukijua ukweli kwamba kijana hakuwekewa chupa, utasemaje? Pengine Gekul acted too naively, Pengine amejiweka kwenye mazingira ya kushughulikiwa na hatimaye kupata hukumu ya jamii. Pengine.

Kwa mwanasiasa na kiongozi mkubwa, hukumu ya jamii inatosha kukupotezea sifa ya kuwa kioo cha jamii, haijalishi tuhuma ziwe halisi ama ama uzushi. Moja ya somo kubwa la uongozi tunalopata.

Somo lingine ni kuwa; mitandao ya kijamii ina nguvu sana. Ikitumiwa vibaya na watu wenye nia mbaya inaweza ikaangusha dola, achilia mbali kuangusha mtu mmoja mmoja.

Somo lingine: wanaCCM tuamke sasa, kazi imeanza. Vita vya kisiasa vinapiganwa huku sasa hivi. Kumekucha!

View attachment 2829996
View attachment 2829997
Wewe mwandishi acha sheria ifuate mkondo wake.
Hivi leo ukiulizwa mume wake na Pauline yuko na mke wake au lah! Uta kuwa na jibu? Ukiulizwa kwanini mume amkimbie mke una jibj? Basi kabla ya kuamua kuwa wakilk wa mtu, tafuta kwanza historia yake.
 
Sitaki hata kuwasikia,😅😅😅😅😅😅😅

Kuna jinias aliwahi kuwaambia kuwa;Msifurahie wapinzani tunavyofanyiwa,wakitumaliza sisi mtafata nyingi.🤔🤔🤔🤔🤔🤔 Yako wapi.
Pumbavu zenu,nsitupigie makelele yenu Mbwa nyie.

Hata mfe wote sawa,PAKA WA KIJANI KIBICHI nyie😠😠😠
 
Msomi dizaini ya Kigwangwala ndiye anampa haki Dr. Musukuma kuwatukana wasomi wa nchi hii. Hivi Gekul alikuwa na nguvu gani katika chama na serikali hii hadi zifanyike mbinu za kiitelejensia kumuangusha? Kwa Chongolo 'inaweza' kuwa kweli kwani watu we ngi wanaimezea mate hiyo nafasi. Ila kwa mtu ambaye anaweza kutoa kafara mtoto wake ili apate uwaziri anayohaki ya kuwaza hivyo.
 
Back
Top Bottom