Unapoteza muda wako Mkuu! Unayemuuliza tabia zake ndio kama za huyo Gekul.Mbunge mzima na waziri mstaafu na Dr wa binadamu unabandika maandishi ku confirm kuwa Gekul hajafanya kosa lolote ila kawa framed.
- Hapa kwanza unamdharau Rais Samia kwa ku act kijinga kwa kumtolea unaibu waziri wake wakati ni innocent.
- Unaiaminisha jamii kuwa TISS ni sio tu haifanyi kazi ila ni kama haipo tu kabisa.
- Unaiaminisha jamii kuwa watanzania ni mazezeta sana
Nikuulize bwana Daktari wa nzega, why Gekul? What is so special na Gekul atengenezewe hili zengwe akose ubunge wake?
🤣🤣🤣Tusindikizie na kavideo ka kunogesha UziView attachment 2829998
Mtajuana wenyewe weI wa mali za umma ndizo mnagombania.Kupitia X (zamani Twitter), Anaandika Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini
Hivi baada ya a very carefully planned and executed mission ya kumuangusha Mhe. Gekul na Ndg. Chongolo, unaweza ku-guess anayefuata ni nani?
Competitive intelligence imejikita kwenye kujua kitakachotokea kabla hakijatokea (fore knowledge).
Tunaishi kwenye dunia ya ushindani mkali, dunia ya mashambulizi makali ya kiteknolojia - je, tuko aware? Ama tunapigwa halafu tunajifunza baada ya kupigwa? Tunaanza kujadili matokeo?
Niliandika hapa juzi kuwa, kwenye uwanda wa siasa kuna mambo mengi sana yanaweza kutokea, na kwamba siyo lazima yawe halisi ama kweli; yanaweza kutokea kwa kupangwa (kama yale yaliyonikuta mimi, ama haya ya Gekul na Chongolo) na ama hata kwa ajali tu!
Kuna pattern naiona. Sijui kama na wewe unaiona! Kuna victims wengine wanakuja. Tafakari! Chukua hatua.
Gekul anaonekana shetani, katili, jambazi asiye na ubinadamu hata kidogo ndani yake, sababu kiukweli kitendo cha namna hiyo hakifai wala hakifikiriki!
Vipi ukijua ukweli kwamba kijana hakuwekewa chupa, utasemaje? Pengine Gekul acted too naively, Pengine amejiweka kwenye mazingira ya kushughulikiwa na hatimaye kupata hukumu ya jamii. Pengine.
Kwa mwanasiasa na kiongozi mkubwa, hukumu ya jamii inatosha kukupotezea sifa ya kuwa kioo cha jamii, haijalishi tuhuma ziwe halisi ama ama uzushi. Moja ya somo kubwa la uongozi tunalopata.
Somo lingine ni kuwa; mitandao ya kijamii ina nguvu sana. Ikitumiwa vibaya na watu wenye nia mbaya inaweza ikaangusha dola, achilia mbali kuangusha mtu mmoja mmoja.
Somo lingine: wanaCCM tuamke sasa, kazi imeanza. Vita vya kisiasa vinapiganwa huku sasa hivi. Kumekucha!
View attachment 2829996
View attachment 2829997
Majizi yamesimamaHuyo kigwangwala anatufafanulia ni kama anadhani hatujui ukweli. Anajitajlhidi kucheza mind games akidhani hatuujui ukweli kuhusu mambo haya, na ule uhuni wake. Anaamini atatupoteza maboya.
Kweli kabisa wanatetea hao mafedhuliGekul hakuwa na impact yoyote kisiasa hadi kuundiwa ajali ya kisiasa. Alichofanya ni kosa la jinai kama ambavyo angefanya mtu mwingine. Aliyeundiwa zengwe ni Chongolo.
Kigwa anadhani atatupoteza maboya kwenye zile tuhuma zake.Gekul hakuwa na impact yoyote kisiasa hadi kuundiwa ajali ya kisiasa. Alichofanya ni kosa la jinai kama ambavyo angefanya mtu mwingine. Aliyeundiwa zengwe ni Chongolo.
Alifanya nn kwenye haka kandege kiongoziView attachment 2830045
We kigwangwala unakumbuka ulifanya uchafu gani ndani ya hii ndege?
ndo apo sasa nashangaa na tofar langu kichwani apa saitSasa Gekul ana impact ganj mpk afanyiwe zengwe..
Bora umesema, Gekul hana impact yoyote kwenye siasa za ndani ya CCM. Vivyohivyo Chongolo nae si kiviile, umuhimu wake ni hicho cheo chake alichokuwa nacho. Lakini je, kama tuhuma ni za kweli kwanini hawa watu waachwe wafanye wanavyotaka? Si kazi ya Kigwangala kuwasafisha watu. Ni wa kupuuza, siasa zake ni za majungu majungu muda wote.Sasa Gekul ana impact ganj mpk afanyiwe zengwe..
Wewe mwandishi acha sheria ifuate mkondo wake.Kupitia X (zamani Twitter), Anaandika Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini
Hivi baada ya a very carefully planned and executed mission ya kumuangusha Mhe. Gekul na Ndg. Chongolo, unaweza ku-guess anayefuata ni nani?
Competitive intelligence imejikita kwenye kujua kitakachotokea kabla hakijatokea (fore knowledge).
Tunaishi kwenye dunia ya ushindani mkali, dunia ya mashambulizi makali ya kiteknolojia - je, tuko aware? Ama tunapigwa halafu tunajifunza baada ya kupigwa? Tunaanza kujadili matokeo?
Niliandika hapa juzi kuwa, kwenye uwanda wa siasa kuna mambo mengi sana yanaweza kutokea, na kwamba siyo lazima yawe halisi ama kweli; yanaweza kutokea kwa kupangwa (kama yale yaliyonikuta mimi, ama haya ya Gekul na Chongolo) na ama hata kwa ajali tu!
Kuna pattern naiona. Sijui kama na wewe unaiona! Kuna victims wengine wanakuja. Tafakari! Chukua hatua.
Gekul anaonekana shetani, katili, jambazi asiye na ubinadamu hata kidogo ndani yake, sababu kiukweli kitendo cha namna hiyo hakifai wala hakifikiriki!
Vipi ukijua ukweli kwamba kijana hakuwekewa chupa, utasemaje? Pengine Gekul acted too naively, Pengine amejiweka kwenye mazingira ya kushughulikiwa na hatimaye kupata hukumu ya jamii. Pengine.
Kwa mwanasiasa na kiongozi mkubwa, hukumu ya jamii inatosha kukupotezea sifa ya kuwa kioo cha jamii, haijalishi tuhuma ziwe halisi ama ama uzushi. Moja ya somo kubwa la uongozi tunalopata.
Somo lingine ni kuwa; mitandao ya kijamii ina nguvu sana. Ikitumiwa vibaya na watu wenye nia mbaya inaweza ikaangusha dola, achilia mbali kuangusha mtu mmoja mmoja.
Somo lingine: wanaCCM tuamke sasa, kazi imeanza. Vita vya kisiasa vinapiganwa huku sasa hivi. Kumekucha!
View attachment 2829996
View attachment 2829997
My brother Humphrey sehemu yoyote yenye ela nyingi na madaraka makubwa ina mashindano makubwa Hata Ukisoma bible vizuri utaelewa nini namaanisha .Tusindikizie na kavideo ka kunogesha UziView attachment 2829998