Ni nani aliyeandika /kushiriki uandikaji wa 'framework' ya mkataba wa DPW na Tanzania kwa uwekezaji wa bandari?

Nzwangendaba

JF-Expert Member
Nov 9, 2019
501
710
Amani iwe kwenu wana JF

Kutokana na kile kinachoendelea kwa sasa almost kila kona ya nchi juu ya suala la uwekezaji ktk bandari zetu, Binafsi nimepata swali la kujiuliza na pengine tusaidiane kulidodosa;

Je katika uandishi wa draft hiyo ya Mkataba (IGA) ni nani aliyeshiriki kuandika mkataba huo in the first place na kisha kumkaribisha mwenzie kuusaini? Je kulikuwa na timu za watu toka pande zote (Dubai na Tanzania) ambao walikaa mahali wakauandika kwa pamoja kifungu kwa kifungu mwanzo mwisho ama ni upande mmoja tu ndio uliandika kisha mwengine akapewa ausome na kuusaini?

Kama ni timu sawia za watu ziliundwa kuudraft, je kwa upande wa Tz ni akina nani walituwakilisha ktk uandishi wa vifungu hivyo?

Kiujumla, DPW ni mpangaji na Tz ndio mwenye mali. Katika misingi tuliyoizoea ya upangishaji, mwenye mali ndio anayeandika mkataba na kuset masharti ya upangishaji anayoyataka mpangaji ayafuate.

Mnufaika mkubwa ktk suala la upangishaji ama ukodishaji anategemewa kuwa mwenye mali. Mfano, Mwenye nyumba anaandaa mkataba wa upangishaji na mpangaji ndio anapaswa kusoma masharti ya upangaji ili ajipime kama anaweza kuishi kwa kufuata masharti hayo, wala sio mpangaji aje na masharti yake mkononi ili mwenye nyumba asaini na kukubali. (Suala la nyumba hapa limetumika kama mfano tu).

Najua kuna wakati wa kukaa mezani kuweka sawa baadhi ya masharti ambayo yanaweza mbana mmoja wapo ili kuwe na win-win lakini awali ya yote mwenye mali ndio anaweka vigezo vikuu vya mtu kutaka kuja kuwekeza ktk mali yake hiyo.

Mara nyingi aliyepata fursa ya kuandika ama dominate mchakato huo ndiye hujiwekea vifungu vya kumnufaisha zaidi.

Nauliza haya kwa sababu malalamiko juu ya vifungu yanaletwa kila uchwao, tena wanaoleta ukosoaji wa vifungu ni wasomi wakubwa na kuonesha kuwa ni ukiukwaji wa sheria, katiba na kutoonekana kwa moja kwa moja kwa maslahi mapana kwetu kutokana na mkataba huo wa uwekezaji. Sisi wengine tunapenda kujifunza kutoka kwenye chanzo cha haya yote.

Sasa naomba wajuzi wa mambo watujuze, utaratibu kwenye huu mkataba ulikuwaje? Tunaweza wajua wenzetu waliotuwakilisha kwenye uandishi wa vifungu vya mkataba huu ili pengine tuje tuwahoji walikusudia nn? Huenda mawazo yao yalikuwa mazuri na plan nzr huko mbele ambazo hazijawekwa wazi bado. Au kwenye hili mwenye nyumba kaletewa masharti na mpangaji?

Wasalam!
 
Kitu Cha kwanza unachopaswa kujua kwenye mkataba wowote ni nani anamhitaji mwenzake kwanza, I mean " who aproched who"....ukishajua bas huna maswali Tena. Kama Tanzania ndo alimfata DP akiwa Kwake Dubai bas lazima akubali terms zake....Iko hivo hata kama ingekuwa ni wewe mtu anataka huduma Yako lazima akubaliane na terms zako....kama hataki asepe. So in this case hakuna mtu kutoka Tanzania aliyeshiriki kuandaa framework na hata kama alishiriki hakuwa na choice.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Amani iwe kwenu wana JF

Kutokana na kile kinachoendelea kwa sasa almost kila kona ya nchi juu ya suala la uwekezaji ktk bandari zetu, Binafsi nimepata swali la kujiuliza na pengine tusaidiane kulidodosa;

Je katika uandishi wa draft hiyo ya Mkataba (IGA) ni nani aliyeshiriki kuandika mkataba huo in the first place na kisha kumkaribisha mwenzie kuusaini? Je kulikuwa na timu za watu toka pande zote (Dubai na Tanzania) ambao walikaa mahali wakauandika kwa pamoja kifungu kwa kifungu mwanzo mwisho ama ni upande mmoja ndio uliandika kisha mwilengine akapewa ausome na kuusaini?

Kama ni timu sawia za watu ziliundwa kuudraft, je kwa upande wa Tz ni akina nani walituwakilisha ktk uandishi wa vifungu hivyo?

Kiujumla, DPW ni mpangaji na Tz ndio mwenye mali. Katika misingi tuliyoizoea ya upangishaji, mwenye mali ndio anayeandika mkataba na kuset masharti ya upangishaji anayoyataka mpangaji ayafuate. Mnufaika mkubwa ktk suala la upangishaji ama ukodishaji anategemewa kuwa mwenye mali. Mfano, Mwenye nyumba anaandaa mkataba wa upangishaji na mpangaji ndio anapaswa kusoma masharti ya upangaji ili ajipime kama anaweza ishi kwa masharti hayo na wala sio mpangaji aje na masharti yake mkononi ili mwenye nyumba asaini na kukubali (Suala la nyumba limetumika kama mfano tu).

Najua kuna wakati wa kukaa mezani kuweka sawa baadhi ya masharti ambayo yanaweza mbana mmoja wapo ili kuwe na win-win lakini awali ya yote mwenye mali ndio anaweka vigezo vikuu vya mtu kutaka kuja kuwekeza ktk mali yake hiyo.

Nauliza haya kwa sababu malalamiko juu ya vifungu yanaletwa kila uchwao, tena wanaoleta ukosoaji wa vifungu ni wasomi wakubwa na kuonesha kuwa ni ukiukwaji wa sheria, katiba na kutooneoana kwa moja kwa moja kwa maslahi mapana kwetu kama watanzania kutokana na mkataba huo wa uwekezaji. Sisi wengine tunapenda kujifunza kutoka kwenye chanzo cha haya yote.

Sasa naomba wajuzi wa mambo watujuze, utaratibu kwenye huu mkataba ulikuwaje? Tunaweza wajua wenzetu waliotuwakilisha kwenye uandishi wa vifungu vya mkataba huu ili pengine tuje tuwahoji walikusudia nn? Huenda mawazo yao yalikuwa mazuri na plan nzr huko mbele ambazo hazijawekwa wazi bado. Au kwenye hili mwenye nyumba kaletewa masharti na mpangaji?

Wasalam!
Bi Kilemba
 
Tusijidanganye wala tusidanganyane, tuwe wa kweli, sasa hivi Tanzania tumeshagawanyika kidini.

 
Hakuna mwanamie wa Kiislam anaeolewa na mkristo. Uongo mwengine huo.

Uislam siyo fasheni.
Aisee, sasa mjadili wa dini unahusikaje hapo? Mmeelewa kiini cha hoja?

Tunahitaji kujua, chanzo cha uandishi wa mkataba, sasa mnaeleta issue za kuoana kidini kunahusikaje?
 
Amani iwe kwenu wana JF

Kutokana na kile kinachoendelea kwa sasa almost kila kona ya nchi juu ya suala la uwekezaji ktk bandari zetu, Binafsi nimepata swali la kujiuliza na pengine tusaidiane kulidodosa;

Je katika uandishi wa draft hiyo ya Mkataba (IGA) ni nani aliyeshiriki kuandika mkataba huo in the first place na kisha kumkaribisha mwenzie kuusaini? Je kulikuwa na timu za watu toka pande zote (Dubai na Tanzania) ambao walikaa mahali wakauandika kwa pamoja kifungu kwa kifungu mwanzo mwisho ama ni upande mmoja tu ndio uliandika kisha mwengine akapewa ausome na kuusaini?

Kama ni timu sawia za watu ziliundwa kuudraft, je kwa upande wa Tz ni akina nani walituwakilisha ktk uandishi wa vifungu hivyo?

Kiujumla, DPW ni mpangaji na Tz ndio mwenye mali. Katika misingi tuliyoizoea ya upangishaji, mwenye mali ndio anayeandika mkataba na kuset masharti ya upangishaji anayoyataka mpangaji ayafuate.

Mnufaika mkubwa ktk suala la upangishaji ama ukodishaji anategemewa kuwa mwenye mali. Mfano, Mwenye nyumba anaandaa mkataba wa upangishaji na mpangaji ndio anapaswa kusoma masharti ya upangaji ili ajipime kama anaweza kuishi kwa kufuata masharti hayo, wala sio mpangaji aje na masharti yake mkononi ili mwenye nyumba asaini na kukubali. (Suala la nyumba hapa limetumika kama mfano tu).

Najua kuna wakati wa kukaa mezani kuweka sawa baadhi ya masharti ambayo yanaweza mbana mmoja wapo ili kuwe na win-win lakini awali ya yote mwenye mali ndio anaweka vigezo vikuu vya mtu kutaka kuja kuwekeza ktk mali yake hiyo.

Mara nyingi aliyepata fursa ya kuandika ama dominate mchakato huo ndiye hujiwekea vifungu vya kumnufaisha zaidi.

Nauliza haya kwa sababu malalamiko juu ya vifungu yanaletwa kila uchwao, tena wanaoleta ukosoaji wa vifungu ni wasomi wakubwa na kuonesha kuwa ni ukiukwaji wa sheria, katiba na kutoonekana kwa moja kwa moja kwa maslahi mapana kwetu kutokana na mkataba huo wa uwekezaji. Sisi wengine tunapenda kujifunza kutoka kwenye chanzo cha haya yote.

Sasa naomba wajuzi wa mambo watujuze, utaratibu kwenye huu mkataba ulikuwaje? Tunaweza wajua wenzetu waliotuwakilisha kwenye uandishi wa vifungu vya mkataba huu ili pengine tuje tuwahoji walikusudia nn? Huenda mawazo yao yalikuwa mazuri na plan nzr huko mbele ambazo hazijawekwa wazi bado. Au kwenye hili mwenye nyumba kaletewa masharti na mpangaji?

Wasalam!
That is copy and paste brother. Only few changes have been made. Names and signatory.

They know Africans are lazy can't read the whole contract in detail. Don't forget the bribe
 
Aisee, sasa mjadili wa dini unahusikaje hapo? Mmeelewa kiini cha hoja?

Tunahitaji kujua, chanzo cha uandishi wa mkataba, sasa mnaeleta issue za kuoana kidini kunahusikaje?
Hujaona nileyemjibu? SAu una macho lakini hayaoni?

Sasa hivi, tukitaka tusitake, maaskofu wakishirikiana na chadema na wale waliofukuzwa kanisa katoliki kama Slaa, wametangaza uhasama rasmi wa kidini, hulioni hilo wewe?


Tazama wote wanaounga mkono bandari utakuta 95% ni Waislam na wanaopinga 95% ni wakristo, na sasa hivi hizo idadi zitafikia 100% Wakristo wanampinga mama Samia na Waislam 100% wanamuunga mkono.

Rusikae hapa tunadanganyana kijinga. Ukweli na kilichowauma Maaskofu usemwe kweli. Hayajaanza leo.

Alipingwa Mwinyi kwa kuwaleta OIC.

Sasa Waislam tunataka MoU ya serikali na kanisa ifutwe, kwanini kodi zetu ziende kanisani?
 
Amani iwe kwenu wana JF

Kutokana na kile kinachoendelea kwa sasa almost kila kona ya nchi juu ya suala la uwekezaji ktk bandari zetu, Binafsi nimepata swali la kujiuliza na pengine tusaidiane kulidodosa;

Je katika uandishi wa draft hiyo ya Mkataba (IGA) ni nani aliyeshiriki kuandika mkataba huo in the first place na kisha kumkaribisha mwenzie kuusaini? Je kulikuwa na timu za watu toka pande zote (Dubai na Tanzania) ambao walikaa mahali wakauandika kwa pamoja kifungu kwa kifungu mwanzo mwisho ama ni upande mmoja tu ndio uliandika kisha mwengine akapewa ausome na kuusaini?

Kama ni timu sawia za watu ziliundwa kuudraft, je kwa upande wa Tz ni akina nani walituwakilisha ktk uandishi wa vifungu hivyo?

Kiujumla, DPW ni mpangaji na Tz ndio mwenye mali. Katika misingi tuliyoizoea ya upangishaji, mwenye mali ndio anayeandika mkataba na kuset masharti ya upangishaji anayoyataka mpangaji ayafuate.

Mnufaika mkubwa ktk suala la upangishaji ama ukodishaji anategemewa kuwa mwenye mali. Mfano, Mwenye nyumba anaandaa mkataba wa upangishaji na mpangaji ndio anapaswa kusoma masharti ya upangaji ili ajipime kama anaweza kuishi kwa kufuata masharti hayo, wala sio mpangaji aje na masharti yake mkononi ili mwenye nyumba asaini na kukubali. (Suala la nyumba hapa limetumika kama mfano tu).

Najua kuna wakati wa kukaa mezani kuweka sawa baadhi ya masharti ambayo yanaweza mbana mmoja wapo ili kuwe na win-win lakini awali ya yote mwenye mali ndio anaweka vigezo vikuu vya mtu kutaka kuja kuwekeza ktk mali yake hiyo.

Mara nyingi aliyepata fursa ya kuandika ama dominate mchakato huo ndiye hujiwekea vifungu vya kumnufaisha zaidi.

Nauliza haya kwa sababu malalamiko juu ya vifungu yanaletwa kila uchwao, tena wanaoleta ukosoaji wa vifungu ni wasomi wakubwa na kuonesha kuwa ni ukiukwaji wa sheria, katiba na kutoonekana kwa moja kwa moja kwa maslahi mapana kwetu kutokana na mkataba huo wa uwekezaji. Sisi wengine tunapenda kujifunza kutoka kwenye chanzo cha haya yote.

Sasa naomba wajuzi wa mambo watujuze, utaratibu kwenye huu mkataba ulikuwaje? Tunaweza wajua wenzetu waliotuwakilisha kwenye uandishi wa vifungu vya mkataba huu ili pengine tuje tuwahoji walikusudia nn? Huenda mawazo yao yalikuwa mazuri na plan nzr huko mbele ambazo hazijawekwa wazi bado. Au kwenye hili mwenye nyumba kaletewa masharti na mpangaji?

Wasalam!
Waarabu ni mabwanyenye, si watu wa kufanya kazi ama kushughulisha bongo zao! Wao wanachojua ni kimoja tuu .. Kumwaga shekeli mambo yafanyike

Kwahiyo kule arabuni kazi zote kubwa na ndogo wame sub contract kwa makampuni ya udalali karibia kwenye kila kitu
Haya makampuni yanalipwa pesa ndefu sana kwenye hizi kazi, hawa ndio waandaaji wa mikataba hii ya kihuni.. Na huwa wanaangalia nchi na nchi, yaani nchi gani watengeneze mkataba wa aina gani
Kadiri mkataba unavyowapendelea waarabu ndivyo nao wanavyopata donge nono! Na zaidi dili likishapita bado ndio haohao watapewa kazi za kutafuta wafanyakazi ama makampuni ya kufanya kazi, ni faida maradufu kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom