Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 4,677
- 3,287
Sana kamanda yaani nasisi inabidi ifike siku twende huko maana wazungu wanatupenda sana. Pole Pole alikua rafiki yetu sana CHADEMA.Mungu wabariki Wazungu
Sana kamanda yaani nasisi inabidi ifike siku twende huko maana wazungu wanatupenda sana. Pole Pole alikua rafiki yetu sana CHADEMA.Mungu wabariki Wazungu
Kumbe Cuba ni Ulaya!!!Ameacha kazi ulaya anaomba hifadhi huko huko, aje sasa ili aseme kile alichoandika, anaogopa nini?
Akiwa na Magufuli Ndugu Polepole ndiye aliyepaisha jina la Mabeberu na kuwatukana sana, lakini leo kakimbilia huko na atapokelewa kwa mikono miwiliSana kamanda yaani nasisi inabidi ifike siku twende huko maana wazungu wanatupenda sana. Pole Pole alikua rafiki yetu sana CHADEMA.
Lakini kwasasa Pole Pole naona ni mwenzetu na inabidi aunge mkono NRNEAkiwa na Magufuli Ndugu Polepole ndiye aliyepaisha jina la Mabeberu na kuwatukana sana, lakini leo kakimbilia huko na atapokelewa kwa mikono miwili
Luka Mtakatifu 15:7Lakini kwasasa Pole Pole naona ni mwenzetu na inabidi aunge mkono NRNE
Luka Mtakatifu .........
Huyo anajua kusoma na kuandikaDada hujui hata Cuba iko wapi?
Nime soma comment yake sikuielewa anamaanisha nini, kumbe alimaanisha Cuba Iko bara ka ulaya..Una elimu gani? Cuba na Ulaya wapi na wapi nyie ndo washauri wa Rais?
Bwege tu yule. Yeye na Magufuli ndiyo walikuwa waasisi wa uvurugaji demokrasia na utawala boraAmeacha kazi ulaya anaomba hifadhi huko huko, aje sasa ili aseme kile alichoandika, anaogopa nini?
Unamwamini kigogo am mleta mada?Akiwa na Magufuli Ndugu Polepole ndiye aliyepaisha jina la Mabeberu na kuwatukana sana, lakini leo kakimbilia huko na atapokelewa kwa mikono miwili
Cuba ni Ulaya tangu lini?Ameacha kazi ulaya anaomba hifadhi huko huko, aje sasa ili aseme kile alichoandika, anaogopa nini?
Cuba haipo Ulaya Madam.Ameacha kazi ulaya anaomba hifadhi huko huko, aje sasa ili aseme kile alichoandika, anaogopa nini?
nilichoandika mimi ni Uongo? kabla ya kutaka niwaamini hao uliowatajaUnamwamini kigogo am mleta mada?
😂😂😂😂Sweden lazima apate bwana wa kizungu aolewe apate na uraia kabisa.
Kwa akili hizi, ahsante Mungu kwa kuwalaani hawa chademaMungu wabariki Wazungu
WasiojulikanaAmeacha kazi ulaya anaomba hifadhi huko huko, aje sasa ili aseme kile alichoandika, anaogopa nini?
Barua yake haieleweki, sivyo?Ameacha kazi ulaya anaomba hifadhi huko huko, aje sasa ili aseme kile alichoandika, anaogopa nini?