Kigamboni: Watuhumiwa kutandaza mabomba na kuiba mafuta yanayoenda bandarini

Usingeambiwa sasa kama kuna wizi, ungeendelea kufichwa tu
Kwani Magufuli aliwahi kusema wizi serikalini umeisha?Vita dhidi ya ufisadi ni endelevu. JPM alipambana kwa nafasi yake na alifanikiwa pakubwa. Sote tunakumbuka sakata la Flowmeter ya mafuta na yule mwarabu wa Kigamboni aliyekua katoboa Bomba la Mafuta na kuyachanel kwake. Ni mjinga tuu atakayemlaum Magu katika hili.
 
Sio rahisi upigaji kama huo kusiwe na mkono wa vigogo serikalini.

Halafu wale teeth wa kipindi Cha mwenda zake walikuwa wapi? Maana tunaambiwa walikuwa hatari balsa

Hivi kwa mfano wangekuwa ni magaidi na kuamua kulipua hayo mapipa ya mafuta si walikuwa washafanikiwa.

Teeth

walikua wana deal na wakosoaji tu...

Apo uwaambie chadema wanamkutano wa Siri balaa lake ka shehe alielishwa nguruwe
 
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri akiwa na kamati ya Ulinzi na usalama wamebaini nyumba iliyopo mtaa wa Ugindoni iliyotandazwa mashine zinazotumika kuchimba visima vya maji lakini badala ya kuchimba chini kuelekea maji yalipo, wanachimba kuelekea usawa yalipo mabomba ya mafuta yanayotoka baharini kuelekea bandarini.

Mafuta hayo yanachukuliwa baada ya 'flow meter' kusoma na kutambulika yamepokelewa nchini lakini kabla ya kufika kituo cha mwisho ndipo mabomba hayo yanapoelekea.

Ndani ya nyumba hiyo kuna mashine na mipira ambayo inavuta mafuta na kujazwa. Nyumba hiyo ina ulinzi mkubwa na taarifa za awali zinasema muhusika amepangisha eneo hilo lenye kodi ya milioni 60 kwa mwaka huku akiwa amelipa miaka miwili na hakuna shughuli inayoendelea zaidi ya kisima ambacho mabomba yake yanaelekea baharini.

=========




Nchi ilitafunwa na watafunaji wakafichwa ila sio na serikali. Wafichuaji walizibwa midomo. Inasikitisha sana


!
!
Eti Mafuta Yetu. Unoko Tu.
 
nimeona hiyo taarifa Jana kupitia kituo cha Chanel ten kwakweli inatisha!!!

kweli Jeshi letu la polisi wilaya zote za DSM tunawaomba wafanye kazi zao kwa uadilifu ili kubaini aina zote za uhalifu zinazo endelea ktk jiji hili la dsm.

Operesheni tokomeza uhalifu iendelee
Usishangae kamanda wa kanda maalum ndiye alikuwa anatoa lindo kwa nyumba ile.
 
Lakiiini, mkuu 'mrangi' kuna kitu bado sikielewi jinsi hili jambo lilivyojitokeza.

Hii ni 'scandal' kubwa saaana, tena inayopiga panapouma kabisa. Wizi mkubwa kabisa.

Sasa fikiria mtu anayesimama na kulizungumzia swala hili ni huyo Binti, Mkuu wa Wilaya, sijui na timu yake ya nini? Ulinzi!

Hivi kuna polisi walijihusisha, au ndio hao wenye bunduki?

Something does not add up!
Kuna kitu chini ya kapeti hii si bure
 
Kuna wakubwa kwwnye huo mradi mkubwa.. Tusishangae lile toto pendwa,chadeko,linalopenda kulia lia kila likiguswa,ila lenyewe linapenda kupakazia watu... Siku hizi.... Maanza na Wambura,maana alikuwa anamvimbia IGP Sillo nadharani
 
Vituo vya mafuta ni kama mabanda ya chips kila sehemu vimeota sasa ni aibu..Kama kuna Idara za Hovyo basi ile ya Mipango Miji ni Idara ya Hovyo zaidi Nchi hii...Kila sehemu Change of Land Use Kituo Cha Mafuta Ujinga kabisa.
 
Siyo kwamba wapo nyuma ni rushwa tu.Hii hamishahamisha ya mapolisi leo huyu ni Rpc Mara kesho kapandishwa mwingine akaletwa tuombe iwe ya kutokomeza huu uhuni na siyo kuuficha.

Nimekuelewa vizuri hapo “kuhamishahamisha”
Hiyo inaleta mianya mingi sana
Na hata likitokea jambo maana yake jamaa hayupo
 
Kwani Magufuli aliwahi kusema wizi serikalini umeisha?Vita dhidi ya ufisadi ni endelevu. JPM alipambana kwa nafasi yake na alifanikiwa pakubwa. Sote tunakumbuka sakata la Flowmeter ya mafuta na yule mwarabu wa Kigamboni aliyekua katoboa Bomba la Mafuta na kuyachanel kwake. Ni mjinga tuu atakayemlaum Magu katika hili.
Angalia video kwanza uone,huyu mwizi wa sasa ana miaka miwili nani alikuwa anatawala? Ungesikia wap habari zake kama vyombo vya habari havipo huru?
 
Mbona hili jambo limechukuliwa powa sana na serikali? Au ndio chakula ya wakubwa?
 
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri akiwa na kamati ya Ulinzi na usalama wamebaini nyumba iliyopo mtaa wa Ugindoni iliyotandazwa mashine zinazotumika kuchimba visima vya maji lakini badala ya kuchimba chini kuelekea maji yalipo, wanachimba kuelekea usawa yalipo mabomba ya mafuta yanayotoka baharini kuelekea bandarini.

Mafuta hayo yanachukuliwa baada ya 'flow meter' kusoma na kutambulika yamepokelewa nchini lakini kabla ya kufika kituo cha mwisho ndipo mabomba hayo yanapoelekea.

Ndani ya nyumba hiyo kuna mashine na mipira ambayo inavuta mafuta na kujazwa. Nyumba hiyo ina ulinzi mkubwa na taarifa za awali zinasema muhusika amepangisha eneo hilo lenye kodi ya milioni 60 kwa mwaka huku akiwa amelipa miaka miwili na hakuna shughuli inayoendelea zaidi ya kisima ambacho mabomba yake yanaelekea baharini.

=========




Nchi ilitafunwa na watafunaji wakafichwa ila sio na serikali. Wafichuaji walizibwa midomo. Inasikitisha sana


Kipindi cha mwendazake hii nchi echezewa sana.
 
Asante mkuu hyo ishu ya hapo ungindoni ilikuwa inajulikana mda sna mkuu sema nadhan wameharibiana wenyewe wakubwa

DAB anajua mchongo mzma na ndio waliokuwa wakimweka mjin na alilifumbia macho

Ukienda pale ungindon uliza vijana watakupa mkanda mzma
Sasa kuna wengine mpaka wafike huko “ ungindoni “,itabidi wapimwe COVID-19,wapande ndege Waite UBER ndio wafike huko watafute hao vijana waanze kuwabembeleza wawape mkanda mzima!!.Kama huo mkanda wewe unao huoni ukiutoa hapa utaokoa mambo mengi kwa waja wake muumba nawe ukapata kiji baraka kidogo?.
 
Flow meter zikifanya kazi vizuri wizi wa jinsi hii hauwezi kutokujulikana. Hivyo kama hizo mita zilikuwa nzuri vigogo wanaoshughulikia mafuta ni sehemu ya tatizo.

Iwapo flow meter ni mbovu - ni kwa nini? Bado vigogo wa mafuta wanahusika tu. Hazitengenezwi au kubadilishwa kwa sababu wanazojua.

Pengine ni bora biashara ya kuingiza na kusambaza mafuta ingekuwa mikononi mwa watu/kampuni binafsi - serikali ichuke kodi.
 
Kosa lake ni kutuficha kila kitu. Ww ndani ya miaka mi5 uliwahi kusikia wizi? Unafikiri wiz haukuepo?
Mara ngapi nilisema humu kuhusu ujambazi wa Kakoko through Jiwe ktk mafuta bandarini ?
Bado ya kukorofisha flow meter makusudi... kuharibu readings, na hata ushauri wa kitaalam wa security system alikataa sababu ya wizi wao huu.
Jose lzm akutwe na mahela mengi tu....
Jiwe was beberu aka jambazi namba 1...
 
Flow meter zikifanya kazi vizuri wizi wa jinsi hii hauwezi kutokujulikana. Hivyo kama hizo mita zilikuwa nzuri vigogo wanaoshughulikia mafuta ni sehemu ya tatizo.

Iwapo flow meter ni mbovu - ni kwa nini? Bado vigogo wa mafuta wanahusika tu. Hazitengenezwi au kubadilishwa kwa sababu wanazojua.

Pengine ni bora biashara ya kuingiza na kusambaza mafuta ingekuwa mikononi mwa watu/kampuni binafsi - serikali ichuke kodi.

Kakoko na wenzake majizi hawakuitaka flow meter toka siku ya kwanza sababu ilikuwa mirija yao. Kuwa mwehazina wa Jiwe 2015 na kile kiburi kuwa nani nyie wafanyabiashara kanipa pesa haikuwa bure...
Flow meter ya kwanza ilihujumiwa sana mpk kudondoshwa wakati inapelekwa site kufungwa...ktk ajali ya kutengeneza. Parts zilizoharibika ilibidi ziagizwe na mpk kufika miezi 6 ilipita huku wao akiendelea kupiga mafuta.
Reports kadhaa zilienda kwa Jiwe lkn aliziba masikini....
Na kokoko alihakikisha staff hawawi trained, na wale wajuzi aliwahamishia mbali kabisa ili waendelee kuiba.
Hata ma Tiss waliokuwa pale aliwapiga pesa nyingi tu... !!
 
Back
Top Bottom