Ad majorem
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 820
- 1,289
Kwani Magufuli aliwahi kusema wizi serikalini umeisha?Vita dhidi ya ufisadi ni endelevu. JPM alipambana kwa nafasi yake na alifanikiwa pakubwa. Sote tunakumbuka sakata la Flowmeter ya mafuta na yule mwarabu wa Kigamboni aliyekua katoboa Bomba la Mafuta na kuyachanel kwake. Ni mjinga tuu atakayemlaum Magu katika hili.Usingeambiwa sasa kama kuna wizi, ungeendelea kufichwa tu