Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Nakuelewa Sana ,tena asiguswe ,analipa Kodi za Halali ,ametoa ajira Kwa watanzaniaOk.....wawe wanaambiwa wameanza Jana au juzi au mwaka Jana au mwaka juzi au hata wakati was JK au Mkapa au Mwinyi au hata wakati was Nyerere nadhani Hawa jamaa wanabambikiwa tu...sisi tunawahitaji zaidi wafanyabiashara kuliko wanavyotuhitaji sisi...waachiwe tu na wafanye biashara ya mafuta ...kukamatwa kwao kutaathiri biashara ya mafuta na hasa huko vijijini au mikoani...watu wanaweza kufunga vituo vya mafuta kwa kukosa mafuta .