Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
Dawa yako inachemka
Subiria tu!!!!
Kuni ulizochochea zitakuwa mbichi lazima
Dawa yako inachemka
Subiria tu!!!!
Kuni ulizochochea zitakuwa mbichi lazima
May be I am wrong au ni mimacho yangu ya 1947.
Nasubiri ushuhuda kama itausikia mlio wa bunduki.
Mimi nawapenda tu Watusi ila kigali siipendi
Kwa ninavyokufahamu wewe. Usijaribu hata siku moja kwenda Kigali.
Umesikia?
Bado tunakuhitaji sana katibu.
Wewe we endelea na projects za Makorora. Kigali ni level mbaya na haifai hata kwa kurumangia.
Umemuelewa Babu lakini PretaPale ninapokatazwa ndipo ninapopataka......Kigali wait for me......kwani nini bana.......
Mamito mwenyewe rafiki zangu wa Rwanda nahisi wanataka kuniingiza mkenge eti kuwa wanaume wa kirwanda bi balaa..Pale ninapokatazwa ndipo ninapopataka......Kigali wait for me......kwani nini bana.......
Really!!!!!
Mamito mwenyewe rafiki zangu wa Rwanda nahisi wanataka kuniingiza mkenge eti kuwa wanaume wa kirwanda bi balaa..
Ila yote tisa kumi mumie, Cameroun:-)) asikwambie mtu!!! mimi simo:dance::dance: