Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Nitaachaje kutia hofu wakati mimi ni mzazi??
You can't let your kids to the dogs...can you??
Babu DC!!
Mamito mwenyewe rafiki zangu wa Rwanda nahisi wanataka kuniingiza mkenge eti kuwa wanaume wa kirwanda bi balaa..
Ila yote tisa kumi mumie, Cameroun🙂) asikwambie mtu!!! mimi simo:dance::dance:
Babu imendikwa bhana ukizimia siku ya taabu yako nguvu zako ni chache....................na waswahili husema tumbi tumbi tumbi ya mgongo
Babu usiombe tulikuwa addis na Brother M, basi sikujua kwamba ng'ombe anaweza kudondoshwa kibla kiulaini namna ile manake kwanza tulifika usiku na tukakutana na ceremony ya kutukaribisha basi njian walipangwa mabinti wa kieritrea na kiethiopia walokuwa balaa............baada ya tafrija tukaenda kwa hotel basi uspime Bro aliletewa mdada mrembo balaa akambiwa nimekuja kukupaliwazo ulale unono.....................hapana chezeya dunia hii............saalam hizi zisifike Sweden tafadhal
kwa wa kigali ninaowaona mjini wanantamanisha kweli kufika kwao..
Wewe umezeeka, rigwaride rikakushinda,.
Je nami litanishinda damu mbichi mimi?
Let me give it a try....not today but tomorrow (if tomorrow comes)
Mwenyekiti nimekuelewa
Inabidi niendelee kuimarisha project za hapahapa!
Mimi nawapenda tu Watusi ila kigali siipendi
Itakapokuwa tayari ndio utajua kuwa hazikuwa mbichi!!!!
Naishi nako mtaa mmoja!!!
Mzima lakini?
Aisee, macho haya bwana, wengine wala hatuona hizo fanicha kabisa, bibi we umezionaje gizani hivyo!?Fanicha nzuri sana.
ukitaka kujua utamu wa sukari, babu si ulisema niilambe??Sasa wewe ndugu yako akizidiwa si unampa moyo?Naomba uishie kuwaona ugenini tu ndugu yangu...Achana na mambo ya kujaribu sumu kwenye ulimi..Babu DC!!
Mtu mzima hatishiwi nyau baba Paroko
Mi sikutishii nyau nakutishia kile kidogo lakini kikikugusa tu unaanza kulia....lol!!!!!!!
"Baba Paroko twakupa heshima kubwa,ulaa ula ula ula
Kwa kufika mtaa wetu wa jongo,jumuia ya mtakatifu Hyasinta"
Nilikuwa darasa la 3 enzi hizo!!!!
Acha vituko weye!!!!!