Kifo Ni Udanganyifu? Nishati

Kifo Ni Udanganyifu? Nishati

Wewe ndo upo mweupe umeshindwa kutetea hoja zako, una bwabwaja tuu
Nimekuuliza nipe form ya energy ya mwili ni ipi? Je unajua aina za energy unasema kinetic and nini sijui?

Unaposema mwili una energy lazima kuwe na hiyo energy na inapoenda kwenye form nyingine inaenda form gani?

Nafsi ni nini? Roho ni nini? Nini kinakufa kwa mwanadamu? Mwili au roho? Je roho ni nishati?

Kwa kukusaidia tu.
Mwili wa binadamu unazalisha nishati aina tatu.
1. Joto - unapokufa mwili unapoa na nishati hii inatawanyika kwenye mazingira.
2. Nishati ya umeme pia hutawanyika mwili ukisimama kufanya kazi.

3. Chemikali the same.

Sasa hizo energy sio roho na zikienda mazingira mengine sio wewe zinakua kwenye form nyingine na huwezi kuzirudisha nyuma kuwa mwili na roho.

Ili uitwe wewe unahitaji nini?

Mwili
Nafsi/roho
Nishati.

Kikikosekana kimoja wewe sio wewe tena umekufa na huendi popote. Zaidi unakipa uhai kitu kingine tofauti na wewe.

Kinachotangatanga ni nafsi/roho/spirit ambacho ni kitu cha kusadikika kwa binadamu. Huwezi shika hiyo roho/nafsi.
 
Nimekuuliza nipe form ya energy ya mwili ni ipi? Je unajua aina za energy unasema kinetic and nini sijui?

Unaposema mwili una energy lazima kuwe na hiyo energy na inapoenda kwenye form nyingine inaenda form gani?

Nafsi ni nini? Roho ni nini? Nini kinakufa kwa mwanadamu? Mwili au roho? Je roho ni nishati?

Kwa kukusaidia tu.
Mwili wa binadamu unazalisha nishati aina tatu.
1. Joto - unapokufa mwili unapoa na nishati hii inatawanyika kwenye mazingira.
2. Nishati ya umeme pia hutawanyika mwili ukisimama kufanya kazi.

3. Chemikali the same.

Sasa hizo energy sio roho na zikienda mazingira mengine sio wewe zinakua kwenye form nyingine na huwezi kuzirudisha nyuma kuwa mwili na roho.

Ili uitwe wewe unahitaji nini?

Mwili
Nafsi/roho
Nishati.

Kikikosekana kimoja wewe sio wewe tena umekufa na huendi popote. Zaidi unakipa uhai kitu kingine tofauti na wewe.

Kinachotangatanga ni nafsi/roho/spirit ambacho ni kitu cha kusadikika kwa binadamu. Huwezi shika hiyo roho/nafsi.
Why are you still playing with the very thing that created you???

Umeongelea mwili, nafsi na roho...

Those are all components of energy(which is the real you,,, The one that's never created nor destroyed)

Sasa unasema kikikosekana kimoja haupo, unaelewa unacho kiongea? Kwani what made all of that exist? Si ndo hiyo energy unayo ikimbia..

Kinacho tokea ni vibration... Dynamic muhimu ya life and death
 
Why are you still playing with the very thing that created you???

Umeongelea mwili, nafsi na roho...

Those are all components of energy(which is the real you,,, The one that's never created nor destroyed)

Sasa unasema kikikosekana kimoja haupo, unaelewa unacho kiongea? Kwani what made all of that exist? Si ndo hiyo energy unayo ikimbia..

Kinacho tokea ni vibration... Dynamic muhimu ya life and death
Mwili ndio unaohifadhi energy.

Roho haina energy.
Mwili unapokufa na kuoza ndio energy zinapotea na kuingia kwenye haya mazingira unayoishi. Hiyo oxygen, carbondioxide, helium, phosphate ni mwili uliooza. Now unavuta hewa za marehemu waliochangia oxygen miaka na miaka.....

Mingine inageuka mafuta tunaweka wese tunaendesha gari.
 
Mwili ndio unaohifadhi energy.

Roho haina energy.
Mwili unapokufa na kuoza ndio energy zinapotea na kuingia kwenye haya mazingira unayoishi. Hiyo oxygen, carbondioxide, helium, phosphate ni mwili uliooza. Now unavuta hewa za marehemu waliochangia oxygen miaka na miaka.....

Mingine inageuka mafuta tunaweka wese tunaendesha gari.
You're making this funny
Najua somo tayari umeshalipata😂😂
 
We don't really die tukapotea. Ni tunabadilika matumizi tu. Thing is, as far as I know, tunakuwa rutuba ya ardhi na mambo mengine. Ecosystem tu.

Ila hapohapo nina swali la kichokozi. Kwanini binadamu ameamua kujipa umuhimu sana kuliko viumbe wengine? As if hakuna viumbe hai wengine? Mbona hatuhoji tembo akifa anaenda wapi? Au ng'ombe? Maybe we are not as important as we think.!
sio maybe that's a fact binaadamu wamejipa umuhimu but for reason ili kumtawala binaadamu ni lazima umtishe na umtie matumaini , so wajanja wachache walilijua Hilo that's why Waka create mambo ya dini +Pepo +heaven and the likes
 
Hapa sasa conspiracy theory zinachukua nafasi kubwa... Nitakujibu kama ifuatavyo:

Ukiniuliza mimi, consciousness ipo kwenye ubongo. Haitokei sehemu yeyote nyingine. Hakuna 'server' ya ufahamu somewhere in the sky.

To keep things short, wewe ni kamili kabisa. Sio receiver f'lani. Ubongo wako ukizimika basi na wewe umezimika. Nafsi sijui blah blah ni propaganda tu.
Exactly 📌
 
Sure but Near death experience sio death experience. Nadhani kisayansi kifo kipo kama kabla hujazaliwa. Unakuwa tu haupo, haujui kama haupo. Umefutika na hujui kama umefutika.
Indeed 🎯
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Sipo? Kaka, acha masihara. 😂

Kuhusu, mtoto umeamua kunilisha maneno na unachanganya mambo. Physically, mtoto yupo ila hana self-awareness. Na mbegu za mama na baba zikikutana zinatengeneza kiumbe - hio ni simple biology kabisa. Sio devine destiny. Ni baiolojia na chemistry. Kama mbegu Iko pale na haina utambuzi ni energy mpaka ubongo utengenezwe, unaona?

Kuhusu kifo kuwa illusion, swali sasa: Nyumba ikiteketea kwa moto na kuwa majivu, nyumba haijaharibika kwa sababu atomu zake bado zipo kwenye majivu?.
Kazi ipo 😄
 
Kifo na maisha vyote ni Utapeli ,hakuna uhalisia..Maisha ambayo mtu unaweza kuwa chochote muda wowote ,maisha ambayo hatuwezi kurudi nyuma basi hayana uhalisia kama ndoto...
Noma sana 🎯
 
We are just another part of the system, an Ecosystem.
Hakika tuna maisha hapa duniani baada ya kufa lakini katika mfumo mwingine na mwili mwingine.
Hakuna pepo, jehanam, kuzimu wala motoni.
Hizo ahadi za peponi au motoni ni ahadi hewa. Kupeana matumaini na kutishana tu.
Tulikuwepo duniani kabla ya kuzaliwa binadamu na tutakuwepo kama 'biomass' au matamahuluku ( rutuba), mimea, funza, minyoo, ndege, samaki, hayawani wa porini au paka baada ya kufa.
Tutakuwepo pia kama nishati mfano mafuta (petroleum) mamilioni ya miaka baada ya kufa. Tutakuwa gesi n.k.
Exactly 📌
 
Mwili ndio unaohifadhi energy.

Roho haina energy.
Mwili unapokufa na kuoza ndio energy zinapotea na kuingia kwenye haya mazingira unayoishi. Hiyo oxygen, carbondioxide, helium, phosphate ni mwili uliooza. Now unavuta hewa za marehemu waliochangia oxygen miaka na miaka.....

Mingine inageuka mafuta tunaweka wese tunaendesha gari.
Nimecheka kama mazuri lakini ndio uhalisia 🎯📌

😄😄😄
 
Sisi ni vitunza data vyenye hisia wakati tukiwa hai... Tukishakufa hatuwezi tena kutunza data wala kuhisi chochote zaidi ya kusema (kilichokua kinachakata data na kuzitunza kimeharibika na hakuna namna ya kukirejesha)

Tupo na uwezo wa kuhisi, kutenda, kutunza kumbukumbu na mengine mengi ila kuna wakati haya yote yatakoma
 
sio maybe that's a fact binaadamu wamejipa umuhimu but for reason ili kumtawala binaadamu ni lazima umtishe na umtie matumaini , so wajanja wachache walilijua Hilo that's why Waka create mambo ya dini +Pepo +heaven and the likes
The fear is real lakini, hivi uko tayari kufa na kwenda motoni kwenye moto wa milele?
 
Back
Top Bottom