de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,939
- 21,668
- Thread starter
- #41
Kama wewe sio mwili na sio akili, na hayo mengine yote ni 'illusion'... ni nani anayebonyeza keyboard ya simu yako sasa hivi kunitumia meseji?
Huwezi kutumia akili yako (ambayo unaiita illusion) kuandika meseji, kisha ukatumia vidole vyako (ambavyo unaita illusion), kusoma maelezo yangu kwenye screen (ambayo ni illusion), alafu useme mimi ndio naongea 'fictions.'
Ukweli ni kwamba, unalazimisha nadharia ya kufikirika ili tu ukope uzima wa milele.
Hoja zimeisha sasa, hii unayo Cheza ni game ya akili ambayo tumeshaizungumzia hapo mwanzo..
Nadharia gani tena, unataka akili yako ikupe jibu isilo na uwezo nalo?
Energy haina nadharia, haiwezi kutengezwa wala kumalizwa