Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,446
- 21,140
Aisee sisi Watanzania tuna mawazo ya ajabu sana.
Naona watu wengi wanahusisha kifo Cha Nabeel na imani za kishirikina.
Pointi yao ya msingi ni dhaifu sana ,eti kisa ile ajali ilikuwa mbaya sana na Chino katoka poa kabisa kana kwamba hakijatokea kitu.
Yani wao walikuwa wanataka eti na Chino angepata vijeraha kadhaa ndipo wangeamini ni ajali isiyohusisha nguvu za giza.
Na wameenda mbali zaidi kwa kusema eti kafara imetimia tutegemee mambo makubwa kutoka kwa Chino kupitia hiyo ajali.
Dah inasikitisha sana kwa kweli kama tumefikia huku.
Naona watu wengi wanahusisha kifo Cha Nabeel na imani za kishirikina.
Pointi yao ya msingi ni dhaifu sana ,eti kisa ile ajali ilikuwa mbaya sana na Chino katoka poa kabisa kana kwamba hakijatokea kitu.
Yani wao walikuwa wanataka eti na Chino angepata vijeraha kadhaa ndipo wangeamini ni ajali isiyohusisha nguvu za giza.
Na wameenda mbali zaidi kwa kusema eti kafara imetimia tutegemee mambo makubwa kutoka kwa Chino kupitia hiyo ajali.
Dah inasikitisha sana kwa kweli kama tumefikia huku.