tHe NapSTer of Tz
Member
- Mar 30, 2007
- 86
- 1
Mkuu tuko kwenye defining moment hapa duniani.
Mmarekani alifanikiwa kuwagawa washia na wa suni...Sasa kama wakirudi pamoja in the name of uislam na wakisaidiwa na mrusi na mchina si ni HATARI HII?
Ok...Naona umesahahu kuwa agenda hapa ama toka mwanzo ilikuwa kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini ama ukabila...UMESHASAHAU YA Mtikila na Kwaya ya Kinondoni.
Naomba sana mnisamehe kama RA si muislam basi naomba msamaha RASMI kwa kumuhusisha na uislam...Kwani mimi siamini kabisa UBAGUZI...NA mimi binafsi nakiri wazi kuwa wenye msimamo mkali...Either walokole ama wasilam...Hawa watu wajiangalie sana..Kwani dunia hii ni ya kuishi pamoja....Na pia tusisahahu kuwa too much of anything is harmfull.
Ila BANTU...Kaeni makini naona hamjafuatilia historia yetu ya Afrika!
Sisi sote ni ndugu kabla hata mwarabu hajaja kutukamata na kutuuza kwa Mzungu!
America hajawagawa Sunnis na Shiates...... Shiates na Sunnis hawatokuabliana kwa misingi yao na Taasubi zao!..... Unasema sio mdini, wewe ni MUONGO!!! Hapo juu umesema kwamba
Sasa kama wakirudi pamoja in the name of uislam na wakisaidiwa na mrusi na mchina si ni HATARI HII?
Are you trying to say kwamba waislam ni hatari in nature?. Kwamba wakipata supportkidogo tu watakuwa hatari duniani!?.....
Unasema mdomoni lakini humaanishi moyoni!.......