Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
naunganisha:
Jamaa kantumia ujumbe huu pia naomba niuweke ulivyo

"Ila nahisi kama watu wa ndani wa chama watakuwa wanamfahamu.
bcoz nimeona mpaka mabrochure ya chadema pamoja na print outs za vijitabu vya maswali na majibu bungeni vya mh. Zitto na mikutano mikutano ya chadema. nadhani kwa kuanzia polisi wangeenda kwenye ofisi yake pale kinondoni watapata mengi zaidi.
Poa msela wangu."

Inaonekana huyu dogo alikuwa na mikakati ya muda mrefu na alikua nakula kotekote
Mkuu Samahani,

Naomba umuulize huyo msela hapo ofisini kwa Deus kuna print outs za Chadema peke yake au kuna print outs zingine tofauti tofauti?

Kama ni za Chadema peke yake ni utata huo...??? Yawezekana kashirikishwa ama kaziiba...??? Kazipataje...??? Kama kuna print outs zingine, hiyo ofisi ilianza lini na print outs za zamani zaidi ni za wakati gani? Je, zinahusika zaidi serikalini, NGOs, au vyama vya siasa tu? Yawezekana alizipata kwa Wangwe pia, ilikuwaje...???
 
Akilimtinde nakubaliana na wewe:
Nahisi watamnyamazisha DOGO "(ku-mmafia)" muda sio mrefu maana yaelekea vingi ataongea akiendelea kuwepo kila kukicha natoa taarifa mpya....
Inaelekea alikuwa bado hajakomaa KIKAZI ndio maana anaongea sana
 
Kuna taarifa ya vurugu Tarime. Wananchi hawasikilizi viongozi wala nani.... Tusubiri, tutasikia mengi zaidi
 
Kuna taarifa ya vurugu Tarime. Wananchi hawasikilizi viongozi wala nani.... Tusubiri, tutasikia mengi zaidi
Hawawasilikilizi viongozi wa wapi?kuwa Muwazi mzee....
 
kweli kabisa lakini hata huko CCM maeneo ya Moshi anatajwa sana kwenye kampeni za 2005.Kisha angalia mkuu kama unaweza ukatupa na dot ya udereva mimi jamaa kasema anamfahamu kabisa kuwa hata kudrive anajua sasa iweje anakataa????Hebu fatilia hilo.
Mkuu kuhusu udereva sidhani kama ni swala la kutilia mashaka, labda tuangalie tu uzoefu wake katika hili. Ili uwe mtu wa style yake qualification moja wapo ni udereva, na kawaida ya watu kama hawa huwa hawaendi driving school, wanapata elimu yao ya udereva mitaani na wanakuwa wataalamu kuliko madereva waliopelekwa driving schools.

Siku ukiambiwa huyu chalii alikimbizwa na defender ya askari wakashindwa kumkamata utafunga mdomo kwa mshangao, sisemi kuwa ilishatokea lakini kuhusu udereva wake sina mashaka nalo. Atakuwa dereva mzuri tu.
 
itakuwa vizuri zaidi,kama uchadema,uccm,ucuf na n.k tukaviweka pembeni, hata kama ni kweli ameuawa(ndivyo fikra zangu zinavyosema) tusitangulize vyama kwanza. hivi nyie mmeshawai kusikia mtu kujitoa muanga hili kunusulisha familia yake?hivi inakuwaje kama unatishiwa labda tutawazulu wapendwa wako kama hautakwenda na sisi tunakotaka twende,lakini wewe hatutakufanya kitu, si utaenda! kama ilikuwa hivyo, kama ninavyoifikiria mimi, nawaomba polisi wawafuatilie sana kile kikosi kilichowai kuteka mtoto wanajiita black mafia
 
JF pamoja na nia nzuri ya kutaka kupata taarifa na kuhabarishana vingine mnaharibu kazi ya upelelezi na hata kama ni kuujua ukweli wekeni zile ambazo haziharibu upelelezi, ni ushauri tuu, imebidi nitoke nilikokuwa kuja kusema .
 
Zitto amekomaa na kuwatuliza baada ya viongozi wete akiwamo Prof. Wangwe kushindwa kuwadhibiti. Ni Zitto pekee ndiye wanayemsikiliza na sasa anajadiliana na wanafamilia. Wabunge wanarudi zao Dodoma na rambirambi zao.
 
Kijana Malya ambaye ni mnusurika wa ajali iliyo muua Mbunge wa Tarime Chacha Wangwe karibu miezi miwili hivyo iliyopita alijitambulisha kwa mwandishi mmoja wa gazeti la Mwanahalisi kuwa yeye ndiye "invisible" wa JF na ya kuwa yuko tayari kuwa anampositia material kwenye mtandao huu. Baada ya the real "slim shaddy" kupewa taarifa hiyo, akaunganishwa na simu na "Malya" ambaye baada ya kubanwa na kukemewa aliambiwa aache mara moja kujihusisha na JF na kujifanya ni "Invisible".

Baada ya ajali kutokea, Bw. Malya alikuwa kwa hakika aruhusiwe kuondoka eneo hilo lakini kutokana na hofu ya internal bleeding akapelekwa hospitali. Na mmoja wa maafisa wa ngazi za juu wa Chadema alituma ujumbe usio na utata kuwa kijana huyo aendelee kuwa katika uangalizi wa Polisi ili kuweza kusaidia kupata majibu. Siku ya leo Polisi wamejifunza mengi sana.

Ka nzi kameruka tena! ....

hii taarifa ni nzuri sana...tunashukuru kwa taarifa njema mzee
 
Hivi mbona mara kwa mara wanasiasa wanapokufa...maneno,speculations na hisia nyingi hujitokeza..kila mtu akifikiria ni mchezo mchafu...kwani watu hawa hawatakiwi kufa?????? Mtafanya watu potentials wenye uwezo na sifa waogope siasa sasa..na ndio hapo tunapopata maviongozi mabovu sababu tu wanauwezo wa ku dare kuingia kwenye siasa ( ambayo sisi tunazidi kuchochea ionekane ndio chinja chinja kabisa)

we fikiria Mwayembe kaumwa kidogo tu watu tayari..mpaka kifo akazushiwa na watu conclusion wakawa washafikia...kumbe maskini mtu wa watu bado yu hai......tusifanye wengine waogope kuingia huku jamani...malengo yetu hatutafikia namna hii
 
Zitto amekomaa na kuwatuliza baada ya viongozi wete akiwamo Prof. Wangwe kushindwa kuwadhibiti. Ni Zitto pekee ndiye wanayemsikiliza na sasa anajadiliana na wanafamilia. Wabunge wanarudi zao Dodoma na rambirambi zao.

kweli kabisa Halisi,

wabunge na viongozi wa serikali wamekimbia mbio na wananchi wamewafukuzilia mbali kabisa. Wananchi wa Tarime hawataki unafiki na inabidi hekima itumike sana kwenye hili suala la wangwe.

Habari kutoka ndani kabisa zinasema kuwa ilikutwa risasi kichwani kwa Wangwe na kuwa impact ya jeraha lake kichwani sio consistent na madhara ya ajali ya gari bali ya risasi.

Uchunguzi wa maiti unafanywa na dakitari kutoka Nairobi ..... sort of....

Habari zaidi kutoka ndani ya Tarime zitakuja accordingly.
 
Tetesi zilizopo hapa jf ni;
1. mtoto wa wangwe wanasema deus alikuwa anaendesha gari!
2. safari ilianza saa 1.00 na ajali ilitokea saa 2.55 umbali wa km 20 kutoka dodoma likiwa kwa kasi ya 120kph! mbona huu umbali ni mdogo sana kwa hiyo spidi!
3. marehemu alikuwa dereva!
4. marehemu alitolewa kiti cha abiria akiwa ameshakufa na sefuty belt yake!
5. chadema hawamjui deus!
6. deus ni printer wa chadema!
7. deus alienda masomoni libya kwa ufadhili wa chama fulani!
8. deus 2005 alikuwa informa wa wagombea ubunge then wakakorofishana!
9. hajui kuendesha gari ila aliwahi kujaribu alivyokuwa nairobi na akagonga ukuta!
10. namba ya simu ya deus ni 0756-092228!
11. deus anapasport aliyotafutiwa na chama fulani!
12. kuna mtu aliiba nyaraka za marehemu ikiwemo laptop! huyu ni kibaka tu ila anaweza kuwa shahidi mzuri, atafutwe.
13. deus alikutwa na bastola kwenye tukio!
14. picha ya mpoki.blogspot.com inaonyesha deus anafunguo za gari na simu!

Hapa tutachanganyana tu, napendekeza tume iliyochunguza mauaji ya zombe ichunguze na hili, tuangalie uwezekano wa kupata forensic exparts.

kama kweli huyu kijana alienda libya basi huyu yawezekana akawa gaidi, achunguzwe kwa makini.
 
Mbowe Ameponea Chupu Chupu Na Kuokolewa Na Polisi Baada Ya Wananchi Wenye Hasira Kutaka Kumuua Baada Ya Daktari Kutoka Kenya Kufanya Post Mortem Kugundua Kuwa Marehemu Wangwe Hakufa Kwa Ajali Bali Aliuawa Kwa Kupigwa Risasi Mbili.
 
hivi Mbona Mara Kwa Mara Wanasiasa Wanapokufa...maneno,speculations Na Hisia Nyingi Hujitokeza..kila Mtu Akifikiria Ni Mchezo Mchafu...kwani Watu Hawa Hawatakiwi Kufa?????? Mtafanya Watu Potentials Wenye Uwezo Na Sifa Waogope Siasa Sasa..na Ndio Hapo Tunapopata Maviongozi Mabovu Sababu Tu Wanauwezo Wa Ku Dare Kuingia Kwenye Siasa ( Ambayo Sisi Tunazidi Kuchochea Ionekane Ndio Chinja Chinja Kabisa)

We Fikiria Mwayembe Kaumwa Kidogo Tu Watu Tayari..mpaka Kifo Akazushiwa Na Watu Conclusion Wakawa Washafikia...kumbe Maskini Mtu Wa Watu Bado Yu Hai......tusifanye Wengine Waogope Kuingia Huku Jamani...malengo Yetu Hatutafikia Namna Hii
giza Linagubika Mno Matukio Yahusuyo Mambo Ya Kisiasa Mkuu...!
 
Zitto amekomaa na kuwatuliza baada ya viongozi wete akiwamo Prof. Wangwe kushindwa kuwadhibiti. Ni Zitto pekee ndiye wanayemsikiliza na sasa anajadiliana na wanafamilia. Wabunge wanarudi zao Dodoma na rambirambi zao.


Ina maana Mazishi yatafanyika Lini?hao ndugu zangu wakurya watakuwa wanagombania Mali tu na hizo Rambi rambi,nakujua huko..

kutakuw ana ishu nzito,nitampigia ndugu yangu mmoja ambaye yuko karibu na familia ya Wangwe na atanipa feedback na nitawahabarisha
 
Familia ya marehemu, imesibitisha, uchunguzi utafanyika kesho asubuhi na maazishi yatafanyika mara baada ya uchunguzi (Source;Wanachi kutoka kijiji cha Kimakolele, TBC1 na Prof. Wangwe.)
 
Mbowe Ameponea Chupu Chupu Na Kuokolewa Na Polisi Baada Ya Wananchi Wenye Hasira Kutaka Kumuua Baada Ya Daktari Kutoka Kenya Kufanya Post Mortem Kugundua Kuwa Marehemu Wangwe Hakufa Kwa Ajali Bali Aliuawa Kwa Kupigwa Risasi Mbili.
Naona mambo yameiva sasa, poromosheni mambo tuyapate inavyotakiwa wakuu. Tunajua aliyekuwa na Bastola ni Bw. Mallya, polisi hawajasema kama iliwahi kutumika lakini hapo ni tayari hook inamlenga aliyekuwa na silaha, bastola, Mallya...???
 
Naona mambo yameiva sasa, poromosheni mambo tuyapate inavyotakiwa wakuu. Tunajua aliyekuwa na Bastola ni Bw. Mallya, polisi hawajasema kama iliwahi kutumika lakini hapo ni tayari hook inamlenga aliyekuwa na silaha, bastola, Mallya...???

Hizi habari za risasi ni za kweli, zinasema kuwa Wangwe hakufa kwa ajali kama inavyotaka kuelezwa hapa. VIongozi wote wa serikali na wabunge waliokuja Tarime toka Dodoma wamekimbizwa na wananchi wa Tarime.

Unafiki wa hali ya juu, kulikuwa na sababu gani kufanya haya yote.

Bado nawaomba wananchi wa Tarime wawe watulivu na wasikubali kugawanywa na wasioipenda Tarime.
 
Habari kutoka ndani kabisa zinasema kuwa ilikutwa risasi kichwani kwa Wangwe na kuwa impact ya jeraha lake kichwani sio consistent na madhara ya ajali ya gari bali ya risasi.

Mie Simo,simo kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom