Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Nakubaliana kabisaa na Invisible,
Dawa ya Mtikila ni kumpeleka mahakamani ambako kuna mwisho wa kila jambo kuliko kumuacha aendelee kumwaga sumu yake. Hao wanaosema eti waandishi waachane naye tu ndio dawa, wanaota ndoto za mchana maana sio kila gazeti/redio/TV wenye nia ya kuibeba Chadema. Kama akina Dr. Slaa wanataka Mtikila asiendelee kuwachongea kwa wananchi, basi watumie taratibu zinazoeleweka, ambayo sidhani kuna zaidi ya mahakama.

Nakubaliana na wewe kuhusu suala hili kupelekwa mahakamani, lakini kwa kawaida mahakamani ndio nyumbani kwa Mtikila. Amesema kuhusu Kolimba, hakuwa na ushahidi na ameshinda kesi. Alisema ya Mkapa, hakuwa na ushahidi Mkapa bado ni raia wa Tanzania, lakini kaachiwa hana hatia. Alisema ya Sumaye hana ushahidi lakini ameachiwa. Mahakamani atakwenda kuendeleza na itakuwa kuendeleza kuchafua aliokusudia kuwachafua.

Lakini pia suala la timing, yeye analenga uchaguzi wa Tarime kwa hiyo mahakamani kwa sasa ni kumpa ushindi Mtikila maana Tundu Lissu ni mwanasheria lakini ni mtu anayeheshimika sana kule Tarime, kwa hiyo kumfanya Lissu aache kusaidia ushindi wa Chadema Tarime aje Mahakamani ni kupunguza nguvu ya Chadema. Hata sasa huu mjadala unalenga kubadili mwelekeo wa kampeni za Tarime.

Nadhani suala la kumfikisha Mtikila mahakamani ni suala la wakati lakini ni LAZIMA ili kuweka kumbukumbu sahihi. Mtikila hasimami peke yake na hiyo inajulikana.
 
Nadhani ile ya Mtikila iletwe huku kwa kuwa hii ndio mama wa thread kuhusu Wangwe kuwafanya watu wasome kwa undani.

Hiyo itasaidia watu waache kusingizia baadhi ya wachangiaji waliotaka uchunguzi ufanywe na watu kutoka nje na sasa labda kwa sababu kasema Mtikila na mwili ulishazikwa ndio wataona umuhimu.
 
Nakubaliana na wewe kuhusu suala hili kupelekwa mahakamani, lakini kwa kawaida mahakamani ndio nyumbani kwa Mtikila. Amesema kuhusu Kolimba, hakuwa na ushahidi na ameshinda kesi. Alisema ya Mkapa, hakuwa na ushahidi Mkapa bado ni raia wa Tanzania, lakini kaachiwa hana hatia. Alisema ya Sumaye hana ushahidi lakini ameachiwa. Mahakamani atakwenda kuendeleza na itakuwa kuendeleza kuchafua aliokusudia kuwachafua.

Lakini pia suala la timing, yeye analenga uchaguzi wa Tarime kwa hiyo mahakamani kwa sasa ni kumpa ushindi Mtikila maana Tundu Lissu ni mwanasheria lakini ni mtu anayeheshimika sana kule Tarime, kwa hiyo kumfanya Lissu aache kusaidia ushindi wa Chadema Tarime aje Mahakamani ni kupunguza nguvu ya Chadema. Hata sasa huu mjadala unalenga kubadili mwelekeo wa kampeni za Tarime.

Nadhani suala la kumfikisha Mtikila mahakamani ni suala la wakati lakini ni LAZIMA ili kuweka kumbukumbu sahihi. Mtikila hasimami peke yake na hiyo inajulikana.

Nilisema mwanzoni kabisa mwa thread hii kuwa hizi ni sehemu ya kampeni za uchaguzi wa tarime ambazo si lazima zifanyikie tarime. Kukimbilia kulipeleka suala hili mahakamani itakuwa ni kucheza ngoma ambayo Mtikila anaipiga akiwataka Chadema waicheze.
Ni vema kwenda mahakamani lakini kwa sasa, kwa kuwa polisi wamesema watamhoji Mtikila ili aeleze ushahidi wake, na kwa kuwa chadema wana kazi ya kumnadi mgombea na si kugombana mahakamani, ni vema Chadema wakalipumzisha suala hili, wakielekeza nguvu zao katika suala moja muhimu, kampeni Tarime.
Hili linaweza kuwa moja tu kati ya mengi yaliyopangwa against Chadema na viongozi wake, kwa kuwa kampeni ndio kwanza zimeanza, tungoje, nadhani tutasikia mengi katika kipindi hiki.
 
Nakubaliana na wewe kuhusu suala hili kupelekwa mahakamani, lakini kwa kawaida mahakamani ndio nyumbani kwa Mtikila. Amesema kuhusu Kolimba, hakuwa na ushahidi na ameshinda kesi. Alisema ya Mkapa, hakuwa na ushahidi Mkapa bado ni raia wa Tanzania, lakini kaachiwa hana hatia. Alisema ya Sumaye hana ushahidi lakini ameachiwa. Mahakamani atakwenda kuendeleza na itakuwa kuendeleza kuchafua aliokusudia kuwachafua.

Lakini pia suala la timing, yeye analenga uchaguzi wa Tarime kwa hiyo mahakamani kwa sasa ni kumpa ushindi Mtikila maana Tundu Lissu ni mwanasheria lakini ni mtu anayeheshimika sana kule Tarime, kwa hiyo kumfanya Lissu aache kusaidia ushindi wa Chadema Tarime aje Mahakamani ni kupunguza nguvu ya Chadema. Hata sasa huu mjadala unalenga kubadili mwelekeo wa kampeni za Tarime.

Nadhani suala la kumfikisha Mtikila mahakamani ni suala la wakati lakini ni LAZIMA ili kuweka kumbukumbu sahihi. Mtikila hasimami peke yake na hiyo inajulikana.

Mkuu Halisi,
Kusema eti mahakamani ni nyumbani kwa Mtikila ni kutokufahamu sheria na nguvu ya mahakama. Sheria ni msumeno, kama Mtikila aliwahi kushinda au kushindwa kesi sio sababu ya kutoku-mburuza mahakamani. Ni kweli amechagua kuropoka kwenye wakati ambao ni mzuri kwake kuwa headlines za magazeti, lakini je anavyoendelea kumwaga sumu bila majibu ya kueleweka ni faida au hasara kwa Chadema?

Lissu sio mwanasheria peke yake ambaye Chadema wanaweza kumtumia. After all binafsi yangu simchukulii Lissu kuwa ni mtetezi mzuri kwenye kesi za Chadema maana yeye tayari ameshafungamana na itikadi zao kiasi cha kumfanya awe bias kwenye fikara zake. Kama Chadema wanataka kumnyamazisha Mtikila wampeleke mahakamani, hata akina Dr. Tenga, wanaweza kuwa mawakili wao bila kuvuruga kampeni zao huko Tarime. Otherwise inawezekana kabisa nao wana wanayoyaogopa huko mahakamani.
 
Mkuu Halisi,
Kusema eti mahakamani ni nyumbani kwa Mtikila ni kutokufahamu sheria na nguvu ya mahakama. Sheria ni msumeno, kama Mtikila aliwahi kushinda au kushindwa kesi sio sababu ya kutoku-mburuza mahakamani. Ni kweli amechagua kuropoka kwenye wakati ambao ni mzuri kwake kuwa headlines za magazeti, lakini je anavyoendelea kumwaga sumu bila majibu ya kueleweka ni faida au hasara kwa Chadema?

Lissu sio mwanasheria peke yake ambaye Chadema wanaweza kumtumia. After all binafsi yangu simchukulii Lissu kuwa ni mtetezi mzuri kwenye kesi za Chadema maana yeye tayari ameshafungamana na itikadi zao kiasi cha kumfanya awe bias kwenye fikara zake. Kama Chadema wanataka kumnyamazisha Mtikila wampeleke mahakamani, hata akina Dr. Tenga, wanaweza kuwa mawakili wao bila kuvuruga kampeni zao huko Tarime. Otherwise inawezekana kabisa nao wana wanayoyaogopa huko mahakamani.

Usemayo ni sahihi. Lakini UMAKINI kidogo tu unahitajika. Suala la wakati, suala la wahusika, suala la athari na kubwa zaidi muda wa uchaguzi. Hii ni VITA kaka, kuna mengine sidhani kama kina Dk. Slaa wanaweza kuyasema humu lakini kwa wanaojua wanaona mahakamani ni lazima Mtikila atafikishwa tu, inawezekana hata sasa ama baadaye, hilo linahitaji UMAKINI zaidi na WAKATI.
 
Kuhani,

Ni udaku kwa sababu huo unauita "ushahidi" hana na kama angekuwa nao angeupeleka kwenye vyombo vya sheria. Na hii inatokana na precedence aliyoijenga yeye mwenyewe Dr Slaa awali alipodai Gavana Ballali kakimbilia Malta. Once a liar always a liar!

Rafiki,

Nani alijua whereabouts za Balali Masatu? Jakaya Kikwete ambae ndio alikuwa anawalipa madaktari waliomtibu aliliambia Taifa kwamba Ballali kafia Boston wakati taarifa nyingine zinazoleta mantiki zaidi zikaja sema alifia na kuzikwa Washington DC. Nani aliyejua huyu mtu alivyo kufa kufa? So, it is incredibly unbecoming of you to call Dr. Slaa a liar for mistaking the whereabouts of Ballali before his dissapearance.

Halafu ukweli wa msingi uko pale pale, kwamba, wakati hajulikani aliko Marehemu alikuwa kajificha nje ya nchi. Sasa ukisema Malta badala ya Massachusetts au Wales badala ya Washington umekosea lakini bado alijificha.

N la mwisho, kama kweli unaamini Slaa ni liar kwa nini unasema unamuheshimu? Tujue moja.
 
unataka wampele mahakamani huku ushahidi anao,hadi waliompigia simu malya anawajua...


Period..

This is interesting. ...........Hivi inawezekana ikawa kweli kuwa Mtikila ana ushahidi wa kuwatia hatiani akina Mbowe, Dr. Slaa n.k.? Mtikila inabidi siku zinazofuata, kama Rev. hatafikishwa mahakamani, basi achukue nafasi hiyo na kumwaga nondo-sumu zaidi ili allegations zake ziwe na mvuto zaidi.

Dawa ya Rev. bado nafikiri ni kumbana mahakamani na sio kuleta spins hapa JF, maana sidhani kama vyombo vya habari vitaacha kutangaza atakayoropoka.
 
Rafiki,

Nani alijua whereabouts za Balali Masatu? Jakaya Kikwete ambae ndio alikuwa anawalipa madaktari waliomtibu aliliambia Taifa kwamba Ballali kafia Boston wakati taarifa nyingine zinazoleta mantiki zaidi zikaja sema alifia na kuzikwa Washington DC. Nani aliyejua huyu mtu alivyo kufa kufa? So, it is incredibly unbecoming of you to call Dr. Slaa a liar for mistaking the whereabouts of Ballali before his dissapearance.

Halafu ukweli wa msingi uko pale pale, kwamba, wakati hajulikani aliko Marehemu alikuwa kajificha nje ya nchi. Sasa ukisema Malta badala ya Massachusetts au Wales badala ya Washington umekosea lakini bado alijificha.

N la mwisho, kama kweli unaamini Slaa ni liar kwa nini unasema unamuheshimu? Tujue moja.

Mkuu Kuhani,
Hata na mimi nilikuwa ninamthamini sana Dr. Slaa, ingawa bado namheshimu, lakini sio uongo kila siku zinavyosonga, ninamuona kuwa na yeye hana maana kabisa sawa sawa na wanasiasa wengine wenye uchu wa madaraka. Inaelekea yuko radhi kusema au kumsupport yeyote yule as long as ni kwa manufaa ya mtandao wao ndani ya Chadema.

Kwa jinsi alivyoshiriki katika kumpiga vita marehemu Wangwe na kumsingizia kuwa amenunuliwa, kama anavyosema sasa kuhusu Mtikila na Makamba, inaonyesha wazi kuwa kuna upande ambao ameamua kuulinda ndani ya Chadema, kwa hali na mali na wala sio CHADEMA as a whole. Inabidi huu mtandao wa ndani ya CHADEMA tuuibue maana utakiua chama, kama tulivyoubaragaza ule wa CCM. Mungu ibariki Tanzania.
 
This is interesting. ...........Hivi inawezekana ikawa kweli kuwa Mtikila ana ushahidi wa kuwatia hatiani akina Mbowe, Dr. Slaa n.k.? Mtikila inabidi siku zinazofuata, kama Rev. hatafikishwa mahakamani, basi achukue nafasi hiyo na kumwaga nondo-sumu zaidi ili allegations zake ziwe na mvuto zaidi.

Dawa ya Rev. bado nafikiri ni kumbana mahakamani na sio kuleta spins hapa JF, maana sidhani kama vyombo vya habari vitaacha kutangaza atakayoropoka.

Hivi kumbe Mtikila anawazidi hata kina Manumba!??? Basi atusaidie kujua kifo cha Ballali. Tumtumie na hivyo 'vifaa, vyombo na wataalamu' alionao kufanya uchunguzi maana pengine ana vifaa hadi vya kufuatilia mawasiliano ya simu, picha za tukio zima na pengine hata sauti maana ana vifaa dunia nzima na wakati wa ajali ya Wangwe vifaa vyake vilinasa kila kitu pale Pandambili
 
Kubwa jinga, asante sana kwa notion yako ya mtandao ndani ya Chadema. lakini umeniacha najiuliza, what deserves immediate attention kati ya baadhi ya viongozi ndani ya chadema kununuliwa, na kuuchunguza mtandao ndani ya chadema?
 


Suala lingine ambalo linaonesha ni kusihiwa hoja,ni jambo la Dr. slaa kuja ahapa na kusema amseikia Makamba kampa Mtikila pesa.Hizi zsiasa za kusikia bila kuwa na uhakika wa jambo lenyewe inaonesha ni upotoshaji wa khali ya juu sana.
.
Gembe,
Rudi tena ukasome thread ya Dr. Slaa. Hakusema amesikia. Amesema wanao ushahidi wa Makamba kumpa pesa Mtikila. Na wakati muafaka ushahidi huo utatolewa. Usipotoshe kauli za watu hapa JF.
 
This is interesting. ...........Hivi inawezekana ikawa kweli kuwa Mtikila ana ushahidi wa kuwatia hatiani akina Mbowe, Dr. Slaa n.k.? Mtikila inabidi siku zinazofuata, kama Rev. hatafikishwa mahakamani, basi achukue nafasi hiyo na kumwaga nondo-sumu zaidi ili allegations zake ziwe na mvuto zaidi.

Dawa ya Rev. bado nafikiri ni kumbana mahakamani na sio kuleta spins hapa JF, maana sidhani kama vyombo vya habari vitaacha kutangaza atakayoropoka.

Na kama kweli anao huo ushahidi, aliupataje? And how authentic?
 
Rudi tena ukasome thread ya Dr. Slaa. Hakusema amesikia. Amesema wanao ushahidi wa Makamba kumpa pesa Mtikila. Na wakati muafaka ushahidi huo utatolewa. Usipotoshe kauli za watu hapa JF.

Na kama kweli anao huo ushahidi (Mtikila), aliupataje? And how authentic?

Jasusi,
Angalia hizo posting zako mbili. Dr. Slaa na Mtikila wote wamedai wanao ushahidi lakini sijui kwa nini umeamua kuamini maneno ya Slaa na kung'ang'ania authenticity ya yale ya Mtikila. Kwa nini mahakama isitusaidie kung'amua hayo badala ya kumfanya Dr. Slaa kuwa ni saint? Dr. Slaa na supporters wake wanaogopa nini huko mahakamani?
 
mngesikiliiza mahojiano yangu naye utaona kuwa hana ushahidi huo wa hicho anachosema. Maana kama angekuwa na ushahidi kwanini aombe Scotland Yard waje kuchunguza? Kama tayari yeye anajua mtiririko wote wa matukio ulivyotokea (ambao ukiusikiliza umetoka kwenye makala yangu ya maswali kuhusu kifo cha Wangwe karibu point kwa point) kwanini basi kuita watu wengine wafanye uchunguzi?
 
Wakati wapambe na wanafiki na hasa hasa wale wanaopenda kuona vita na umwagaji damu vikitokea Tarime wanaendelea kumwaga propaganda zao na uongo uliokithiri hapa huku wakijipa kinga kwenye ngao ya uwazi na nguvu ya sheria na mahakama, na wakati jeshi la polisi likimwaga mapolisi kibao Tarime ili "kuzuia fujo" ambazo hazina ushahidi wala mwonekano wowote ule, ...

watu wa Tarime tunazidi kuwakumbusha kuwa hakuna unafiki utakaopelekea mapigano au umwagikaji wa damu katika wilaya yetu. Haijalishi mafisadi mmepania kiasi gani kuleta fujo ili mjichukulie madini yote yaliyoko Tarime na kuwaachia wana Tarime mahandaki matupu kama mlivyofanya buhemba, wana Tarime tutaendelea kuwa pamoja na kujenga jimbo letu wakati nyie mkimalizana wenyewe huko kupigania 10% percent zenu.
 
Rafiki,

Nani alijua whereabouts za Balali Masatu? Jakaya Kikwete ambae ndio alikuwa anawalipa madaktari waliomtibu aliliambia Taifa kwamba Ballali kafia Boston wakati taarifa nyingine zinazoleta mantiki zaidi zikaja sema alifia na kuzikwa Washington DC. Nani aliyejua huyu mtu alivyo kufa kufa? So, it is incredibly unbecoming of you to call Dr. Slaa a liar for mistaking the whereabouts of Ballali before his dissapearance.

Halafu ukweli wa msingi uko pale pale, kwamba, wakati hajulikani aliko Marehemu alikuwa kajificha nje ya nchi. Sasa ukisema Malta badala ya Massachusetts au Wales badala ya Washington umekosea lakini bado alijificha.

N la mwisho, kama kweli unaamini Slaa ni liar kwa nini unasema unamuheshimu? Tujue moja.

Kuhani,

Kwa hiyo kigezo cha ukweli ni Jakaya Kikwete? Kama kikwete kaongopa inakuwa ni warrant ya kila mtu kuongopa?

Dr Slaa amejibodoa hapa kuwa wao huwa "hawakurupuki" je huo hautoshi kuwa ni mfano wa "ukurupukaji" of the highest order?

Ninamuheshimu Dr Slaa kwa sababu ni kiongozi wangu wa dini ingawa huku kwenye siasa anachemsha big time
 
Hivi kumbe Mtikila anawazidi hata kina Manumba!??? Basi atusaidie kujua kifo cha Ballali. Tumtumie na hivyo 'vifaa, vyombo na wataalamu' alionao kufanya uchunguzi maana pengine ana vifaa hadi vya kufuatilia mawasiliano ya simu, picha za tukio zima na pengine hata sauti maana ana vifaa dunia nzima na wakati wa ajali ya Wangwe vifaa vyake vilinasa kila kitu pale Pandambili

Mkuu Halisi,
Nafikiri sio Mtikila tu anayewazidi akina Manumba, hata Dr. Slaa naye aliwazidi kwenye EPA, Richimond na sasa kwenye rushwa ya Makamba to Mtikila.
 
Mtikila stands to be right for some points. To both wheather Mtikila was given money or not and wheather late Wange's death was planned or not we should not waste our precoius points on it. Let us make more efforts on productives areas. Wangwe did well on his homeworks. Should you please get visted to your points and see how are shouldering your responsibility of making The world and Tanzania in particular. Should the death that Hero make us strong or weak. Let His Soul rest in Peace.
 
Wale wanaotaka kuleta machafuko na migogoro Tarime naona hawajachoka na sasa hivi wanataka kufanya haya yote kwa nia, ari na kasi ya ajabu wakimtumia anayejiita mtumishi wa MUNGU - Mtikila.

Naomba tena niwaambie nyie waandishi wa habari kuwa Tarime haitageuka kuwa Congo au Rwanda. Wanatarime wana akili zao na wanajua kutofautisha ujinga na upumbavu. Katika hili, likiwemo la kuleta askari mamia ili "kutuliza fujo" Tarime ambazo hazipo, ni mfano mbaya sana kwa uongozi wa serikali yetu.

Watu hapa waliitisha uchunguzi huru wa kifo hiki na serikali ikakaa kimya, vyama karibu vyote vya siasa vilitaka serikali ichunguze kifo hiki ili kuondoa maneno ya wapumbavu na wapenda damu kumwagika kama Mtikila, lakini wengi wakakataa, sasa haya ya kuleta mamia ya askari Tarime na huu upuuzi wa vyombo vya habari yana nia gani kwetu wana Tarime?

MUNGU yuko na tutashinda tu jaribu hili..... nawahakikishia nyie wenye kiu ya damu ya wana Tarime kuwa hakuna mapigano yoyote yatakayotokea Tarime hata mkimwaga sumu mbaya kiasi gani kwenye vyombo vya habari.

Magabe Kibiti

Wewe wala usilalamike kuja kwa mtikila hapa nyumbani tarime, yeye aje tu auze sera zake ZA UCHOCHEZI, kwa kuwa sisi ni majuha tutamuelewa, ila tusije kulaumiana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom