Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

siku zote marehem hasemwi wala hatajwi kwa mabaya, wahenga walikuwa na hekima kubwa sana, sababu merehmu keshafumba mdomo hana uwezo wa kujitetea kwa kwa kusemwa vibaya na kushutumiwa ingawa inahisiwa anasikia na kuona kila kitu.

Hivyo kutosema mabaya ya marehem haimaanishi watu hawajui mabaya na maovu yake ua wamesaahu la asha, bali wanataja mazuri yake tu ili mwenyewe marehemu asikie na aone akitajwa kwa mazuri.

Mwisho kumbuka kila mtu atakufa na hata ww na mimi tutakufa tu, hatujui mwisho wetu kama utakuwa ni mwema au utakuwa ni mwisho mmbaya, vyovyote iwavyo hautajisikia viuri kama tukitajwa kwa mabaya na ili hali tukishindwa kujitetea.

Acha woga, Komba alikuwam shetani mkubwa! Aende akahukumiwe huko, hakuna cha kuficha hapa. mshenzi mkubwa tu! Alidhani hatakufa kwa kejeli alizokuwa akiwatusi watanzania. Kwake CCM ndio bora kuliko wengine wasiokuwa CCM
 
Acha woga, Komba alikuwam shetani mkubwa! Aende akahukumiwe huko, hakuna cha kuficha hapa. mshenzi mkubwa tu! Alidhani hatakufa kwa kejeli alizokuwa akiwatusi watanzania. Kwake CCM ndio bora kuliko wengine wasiokuwa CCM

sibishani na chizi.
 
“Mimi nasema ukweli kabisa, huyu mzee ana nini, ana kitu gani na sisi, mbona anatuingilia sana,” alisema KOMBA (Mwananchi la machi 1)
 
Mbunge huyo, ambaye kitaaluma ni mwalimu, alienda mbali zaidi aliposema iwapo muundo wa serikali tatu utapitishwa, “ataingia msituni”, kauli ambayo ilisababisha wabunge wengine kumpinga.

Pia, alishambulia wajumbe wengine wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Salim Ahmed Salim na Joseph Butiku kutokana na makada hao wa CCM kuwa na msimamo tofauti na yeye katika suala la Muungano.Mwananchi la march 1
 
Mkuu hii uliyoandika ni CHUNGU TAMU....Wakina FREDERICK WEREMA,lusinde,muhongo,kuna wanasiasa wao wanaona wameshamaliza kila kitu duniani M/Mungu huwa analipa hapa hapa duniani au anaamua kukuondosha tu duniani kusudi mambo mengine yasonge ....mkuu umeandika kitu kizuri sana kama una mazuri yako utasifiwa kwa mazuri yako kama una mabaya yako pia yatasemwa tu....
 
"Hakupata bahati ya kuandikwa vizuri kwenye mitandao ya kijamii ambako habari kuhusu faragha yake ziliandikwa sana, hasa uhusiano wake na wasanii wa kike na wakati mwingine hata picha zake kusambazwa".Mwananchi la machi 1
 
polen wafiwa ka msibaa wa mzee wa nyimboo maana hiii inasikitishaa sijui nani wa kumiimbia tenaa hayati burien
 
mbona kuna wanasiasa kibao tu wakifa raia watakua wanashangilia.....
yani wale wanaoona kua kufurahia kifo cha huyu mzee sio sawa wajiandae kisaikolojia...maana kwa hali hii nchi ilipofikia ....kuna watu wakifa...hadi party zinafanyika...

Ni ukweli usiopingika kuna akina Mwigulu Nchemba,Michael Changonja,Lusinde,Nnape,Chenge,Sitta sina uhakika kwa wanaCCM wenyewe ila kuna watanzania wenzetu watakaofanya sherehe............
 
Capt Komba tayari alikuwa ametuchagulia Rais; Capt Komba tayari alikuwa ametutungia KATIBA; "Tunaweza kumuenzi kwa hayo makubwa mawili".
 
Lusinde mbunge wa Mtera kama ikitokea anakufa kabla yangu na hususani kabla ya oktoba mwaka huu basi tutakuwa na uhakika hatuna muda wa kusikiliza matusi na kuharibu watoto wetu kwa mafunzo ya matusi ya Lusinde. Mungu aendelee kutuhukumu
 
Lengo la kutamka maneno mazuri kwa marehemu ni KUWAFARIJI WAFIWA TU; lingine halipo. Ndani ya Biblia tunasoma: "Msidanyanyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna" (Wagalatia 6:7). Huwezi kupanda mabaya, alafu Mungu akulipe mema. Istiari (allegory) hii inabainisha ukweli wa maisha halisi duniani. Ukipanda mpunga tarajia kuvuna mpunga, kadhalika pilipili utavuna pilipili. Ni utamaduni tuliojiwekea kusema maneno mazuri kwa marehemu. Tungekuwa wacha Mungu kweli tungeambiana ukweli hata kabla ya kifo. "Bwana, uokoe, maana mcha Mungu amekoma, Maana waaminifu wametoweka katika wanadamu. Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe, Wenye midomo ya kujipendekeza; Husemezana kwa mioyo ya unafiki" (Zaburi 12:1-2).

Wisdom
 
Aliye msafi na awe wa kwanza kumtupia jiwe

Marehemu asiwe kinga ya kufumbia macho maovu yanayoendelea kufanywa na watu wa namna hiyo! Sote tunapita hapa duniani, lakini ujumbe umefika kikamilifu tumuombee tu!
 
Mbona Lulu hayupo kwenye benchi la wafiwa?au katangulia lituhi
 
Back
Top Bottom