Sure Sijui kwa nini
Unabisha nini sasa??!!
Wanachukiwa zaid wale waliosahau shida za wananchi na kuona uongozi ndio kila kitu. Wale wanaofanya makusudi kukwamisha move za kuboresha maisha ya watu walio wengi!!!
Mtu wa aina hii ukimpenda hata yeye atakushangaa sana
Sure Sijui kwa nini
Ni sababu ya kumtomjua mungu basi.
Kwa kweli bado jobu lusinde WA mtela
Nimebahatika kupata taarifa za misiba za watu wengi tu nikiwa harusini...
Wakati Wa kifo cha Nyerere watu hawakuona raha ya harusi lakini nikushuhudie Jana watu pamoja na kusikia Komba kafa Harusi iliendelea na masham sham Kama kawaida.....
Halafu wachawi na majahili tu ndo huheshimu Sana vifo kwa unafiki wao lkn kwa wengine ni jambo la kawaida kwani huwapata binadamu wote....
Komba angemjua Mungu unaemsema asingemnenea Warioba ufedhuli ule....
Nanyi mnemjua Mungu msingeacha wajawazito wateseke kulala chini na wagonjwa kufa kwa kukosa dawa huku mapesa mkipeleka kwenye katiba isiyo na Tija...
no way, he should SIH....Suffer In HellKomba Rip Alidhani yeye ni mkubwa kuliko Mungu
Ni sababu ya kumtomjua mungu basi.
.....kupitia msiba wa kpt John Komba ndio nimeanza kuthibitisha chuki kati ya watawala na watawaliwa,hasira kati ya 'wao na sisi',roho mbaya kati ya daraja la chini na daraja la juu....
Watu hawana huzuni tena...na kuna watu wanaongea maneno machafu.....
Nchi haipo salama sana....hasira za matabaka zinaongezeka...