Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

Mhhh!! Ngoja nijaribu kuconnect DOTs LULU - KOMBA - kifo cha KANUMBA halafu tuliambiwa wakati KANUMBA anaaga dunia ndani kulikuwa na watu zaidi ya watatu naishia hapo mwenye akili ataelewa namaanisha nini.

Unatakakunambiaalimuuakanumbanayekauliwaokeybye.
 
Khaa!! Hivi nyie mna akili kweli? Kumsema vibaya marehemu kuna wasaidia nini?? Yule hayupo nasi tena wala hasikii tena. Hapa mnachokifanya hakuna zaidi ya kuwatia majonzi ndugu na wapendwa wake tu ambao ndiyo haohao wanaoipigia kura ccm, cuf, cdm etc Mnachoonesha ni utoto katika siasa. Eti wanasiasa wengine wajifunze, wajifunze nin? Nani asiyejua kifo? Ndiyo maana mtu akifa husemwa kwa mazuri hata kama ni ya uongo ili kuifariji familia na hata ukisema mabaya yake atajitetea vipi naye kisha kufa?
Jamani hata akili kidogo ya kuliona hili hamna? Ndiyo shida ya kuwa na wanasiasa njaa kali wengi kuliko wazalishaji
 
Khaa!! Hivi nyie mna akili kweli? Kumsema vibaya marehemu kuna wasaidia nini?? Yule hayupo nasi tena wala hasikii tena. Hapa mnachokifanya hakuna zaidi ya kuwatia majonzi ndugu na wapendwa wake tu. Mnachoonesha ni utoto katika siasa. Eti wanasiasa wengine wajifunze, wajifunze nin? Nani asiyejua kifo? Ndiyo maana mtu akifa husemwa kwa mazuri hata kama ni ya uongo ili kuifariji familia na hata ukisema mabaya yake atajitetea vipi naye kisha kufa?
Jamani hata akili kidogo ya kuliona hili hamna? Ndiyo shida ya kuwa na wanasiasa njaa kali kuliko wazalishaji

Haina haja ya kusema vizuri sa hii ubaya wake upo wazi hatuogopi yeye na wote wapumbav kama yeye wakifa kabla yetu tutasema by the way kifo hakiwi mwamvuli waka nini to hell with him
Alazwe panapostahili huyu marehemu
 
Hii ndio sura ya chama pinzani
ni watu waliojawa na visasi mpaka kwa marehemu, hata wakipewa kuongoza nchi itakuwa shida, komba hana impact yoyote kwa jamii zaidi ya wapiga wake ni muimba ngonjera tu alietumia nafasi kuwatumikia mabosi wake
 
Khaa!! Hivi nyie mna akili kweli? Kumsema vibaya marehemu kuna wasaidia nini?? Yule hayupo nasi tena wala hasikii tena. Hapa mnachokifanya hakuna zaidi ya kuwatia majonzi ndugu na wapendwa wake tu ambao ndiyo haohao wanaoipigia kura ccm, cuf, cdm etc Mnachoonesha ni utoto katika siasa. Eti wanasiasa wengine wajifunze, wajifunze nin? Nani asiyejua kifo? Ndiyo maana mtu akifa husemwa kwa mazuri hata kama ni ya uongo ili kuifariji familia na hata ukisema mabaya yake atajitetea vipi naye kisha kufa?
Jamani hata akili kidogo ya kuliona hili hamna? Ndiyo shida ya kuwa na wanasiasa njaa kali wengi kuliko wazalishaji

Yeye kumtabiria Mzee Warioba kifo ilikuwa sahihi?? Warioba hakuwa na ndugu na familia? Usishadadie kama hujui ukweli wa mambo kaa na mkeo huko mkajaze nchi, haya yanayosemwa yalisemwa wakati akiwa hai bado yanaendelea kusemwa hata baada ya kifo chake ili iwe funzo kwa the like...
 
Yeye kumtabiria Mzee Warioba kifo ilikuwa sahihi?? Warioba hakuwa na ndugu na familia? Usishadadie kama hujui ukweli wa mambo kaa na mkeo huko mkajaze nchi, haya yanayosemwa yalisemwa wakati akiwa hai bado yanaendelea kusemwa hata baada ya kifo chake ili iwe funzo kwa the like...

Komba Rip Alidhani yeye ni mkubwa kuliko Mungu
 
Haina haja ya kusema vizuri sa hii ubaya wake upo wazi hatuogopi yeye na wote wapumbav kama yeye wakifa kabla yetu tutasema by the way kifo hakiwi mwamvuli waka nini to hell with him
Alazwe panapostahili huyu marehemu

Flora Msoffe,
Hebu niambie kwa akili yako kumsema vibaya marehemu kunasaidia nini?? Arudi ajitete? Kama kuna mabaya alifanya wakati wa uhai wake mbpna mlikuwa kimya?? Tuna sheria na taratibu tumejiwekea dhidi ya watu watendao mabaya kwa jamii km polisi na mahakama
Mlikuwa wapi hadi msubiri afe? Hii siyo dalili ya udhaifu kweli??
 
Yeye kumtabiria Mzee Warioba kifo ilikuwa sahihi?? Warioba hakuwa na ndugu na familia? Usishadadie kama hujui ukweli wa mambo kaa na mkeo huko mkajaze nchi, haya yanayosemwa yalisemwa wakati akiwa hai bado yanaendelea kusemwa hata baada ya kifo chake ili iwe funzo kwa the like...
Lakini aliyasema yale wote wakiwa hai! Kupinga jambo lolote ambalo huliamini si dhambi hata kama unajituma au unatumwa.
Kwa akili zenu ndogo mnadhani ninamtetea marehemu. Sivyo hivyo. hapa najaribu kuwatoa ujinga kwamba kama marehemu alikuwa mbaya kwenye biashara zenu basi mjue the man is down hivyo tumieni nguvu zenu kupigana na waliopo hai katika uwanja wa vita
 
Mkuu Rohombaya unaongelea polisi wepi na mahakama zipi?
na komba ndo alikuwa kinara wa kumtukana warioba wakati tulitaka tupate katiba bora ili tuwe na mahakama safi na jeshi la polisi safi lakini kilichopitishwa MUNGU ndo anajua.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rohombaya unaongelea polisi wepi na mahakama zipi?
na komba ndo alikuwa kinara wa kumtukana warioba wakati tulitaka tupate katiba bora ili tuwe na mahakama safi na jeshi la polisi safi lakini kilichopitishwa MUNGU ndo anajua.
Khaa!! Kama katika nyie wote mliomsikia akimtuka mzee warioba na hakuna hata mmoja kati yenu aliyekuwa na akili kidogo tu ya kumfungulia kesi ya kutukana hadharani basi mjijue nyie ni dhaifu kwelikweli
 
Last edited by a moderator:
Khaa!! Hivi nyie mna akili kweli? Kumsema vibaya marehemu kuna wasaidia nini?? Yule hayupo nasi tena wala hasikii tena. Hapa mnachokifanya hakuna zaidi ya kuwatia majonzi ndugu na wapendwa wake tu ambao ndiyo haohao wanaoipigia kura ccm, cuf, cdm etc Mnachoonesha ni utoto katika siasa. Eti wanasiasa wengine wajifunze, wajifunze nin? Nani asiyejua kifo? Ndiyo maana mtu akifa husemwa kwa mazuri hata kama ni ya uongo ili kuifariji familia na hata ukisema mabaya yake atajitetea vipi naye kisha kufa?
Jamani hata akili kidogo ya kuliona hili hamna? Ndiyo shida ya kuwa na wanasiasa njaa kali wengi kuliko wazalishaji

Hata mie sikubaliani nawe. Kuna kumsema vibaya marehemu (yaani kumsingizia mambo ambayo alikuwa hafanyi) na kumwelezea wasifu wa marehemu (yale ya kweli aliyokuwa anafanya) sasa hapa kinachofanywa ni kuelezea SIFA za marehemu Komba ambazo nyingi hazikuwa nzuri bali mbaya.
Kama ni kuwatia majonzi familia, wao ndio walipaswa kumweleza akiwa hai kuwa utendayo hayakubaliki kwenye jamii yaache na sio kuwa wasubiri afe kisha watake huruma kutoka kwa walioumizwa na marehemu. Hivi mzee Warioba akisimama hadharani na kusema marehemu alikuwa kiongozi safi sana na mfano wa kuigwa sii kila mtu atajua hizo ni kebehi? Hata hao ndugu zake na Komba na wenyewe watashangaa. Wanasiasa waache dharau wakiwa kwenye nafasi zao la sivyo wakifa watu wataongea tuu bila kujali kuna wanaojisikia vibaya wasikiapo maneno hayo.
 
Mwanzoni mwa Utawala wa JK alipata kusema vizazi visije kuchapa viboko makaburi ya Watawala....hii ndio tafsiri yake!!! Hili ni funzo japo wanaambiwa kila siku makanisani na misikitini watubu, lakini wengi wao wamekataa sasa waanze kupima kuanzia msiba huu...What goes around must come around. Mungu ni Mkuu Na Kwa Mapenzi Yake Sasa Kauri Ya ''NIATINGIA MSITUNI'' IMEFIKA UKOMO NA TAIFA HALINA UNASABA TENA NA KAULI HIYO MBAYA KUPATWA KUSEMA NA KIONGOZI WA HAIBA HIYO YA UHAMASISHAJI [PROPAGANDA].

Kauli ya kuingia msituni ingetolewa na mmoja toka upinzani leo angekuwa anasota jela, lakini serikali ya CCM kwa jeuri yake wakampigia makofi na Mungu mwenye haki kaamua kumwepusha na azima ya kwenda msituni kwa kumshtukizia bila kuonja maumivu ya kipekee yenye kumpa muda wa kukumbuka aliyoyasema.

Kama mleta mada alivyosema ni funzo kubwa mno kwa wanasiasa kufikiria nafasi na uwezo wanaojipatia ni haki yao, lakini biblia iliandikwa kwenye zaburi ya sema hivi:
"Mbona unajisifia uovu , mnyonge we mjeuri."
Tena kuna mahala katika biblia imeandikwa mmoja aliyekuwa anakazania kujikweza na kujenga makubwa lakini Mungu akamwambia:
"hujui kesho naitaka roho yako"?

Kimsingi tusiwe:
  • Watumwa wa madaraka
  • Waroho wa mali
  • Wakandamizaji wa wengine
  • Walafi wa kupindukia.
Bali tuwe
  1. Wanyenyekevu
  2. Kuacha ubinafsi na kujali wengine
  3. tunaojali maisha ya wengine
  4. Maskini wa roho maana yake wasiona uchu wa mali
  5. kujali maskini
  6. Kuwekeza katika upendo, matendo mema, maskini na utumishi bora kwa wananchi badala ya kuwekeza kwenye mali (materialism) binafsi
  7. Kwamba hapa tupo kwa muda ipo siku tusiyojua yote tunayohangaikia hatutakuwa nayo na tutarudishwa udongoni kwa sanda tu.

Hatima ya kila mmoja hata ungeficha mabilioni huko Uswisi au Jersey Island, au majumba ya kifahari na kumiliki makampuni makubwa, hata uwe na magamba kama nyoka ni kuishia kusindikizwa kaburini kwa coffin na kujaza mchanga/udongo ndio
safari ya kutokana na udongo imehitimishwa kwa kuurudia udongo.

Wasio waroho hawana uroho wa madara, wivu wa mali, uchoyo, unyanyanyi, udanganyifu nk. Walicho nacho wanaona ni zawadi toka kwa Muumba na wanashirikisha kile wakipatacho kwa maskini na wenye shida, hufa kwa amani na wanabahatika kupata nafasi ya kumkumbuka Muumba kabla mauti hayajawakuta. Hata kama ni ghafla maisha yao mema ni kurunzi ya kwenda kwenye amani ahera kwa vile wamekuwa na amani kwa wote (pax tecum) mioyoni mwao wakiyaandaa maisha yao kiroho na si waoga juu ya kifo maana huwa ni kheri kwao.

Tujiandae na kutengeneza mazingira ya kufani kukumbuka mema tuliyofanya badala ya tabia ya kujali zaidi na uroho wa mli ambavyo kufani kuona taabu na uchungu wa kuachana mali wanazoziacha duniani.
 
Back
Top Bottom