Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

Niliposikia kuna msiba mkubwa ccm nikajua labda nyoka mwenye makengeza ( chenge ) kumbe komba,, ila hata yeye poa tu,,, cheni ya mafisadi ipungue,,
 
Wenzako hawataki kuyasikia maneno hayo

Kwao kumtukana warioba na kumkata vibao vya mgongoni kuliwanufaisha mfano mmoja alipata ukuu wa wilaya na mmoja tuko hapa tunamuaga,ama kweli ya Mungu mengi ya shetani machache

CHADEMA mmezidi kudhihaki maiti. ni juzi tu Lissu alikuwa anamtukana Nyerere. inawasaidia nini kwenye siasa hapa duniani?
 
Marehemu huenziwa.Husifiwa na kukumbukwa kwa mema yake. Isiwe haramu kusema na alipoteleza pia.Aliposema au kufanya tofauti ya matarajio ya wengi au wote. Maneno ya tahadhari au ya mafunzo wakati wa msiba si kwa ajili ya marehemu.Yeye hausiki tena.Kusema na kutenda.


Alichoposti mtandaoni J.J.Mnyika ni kukumbusha tu kauli ya Hayati Kapteni John Damian Komba aliyoitoa katika Bunge la Katiba. Kauli ya kumsimanga na kumtabiria kifo Waziri Mkuu Mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Jaji Joseph Sinde Warioba. Hayati Komba alimwita Warioba 'mzee anayekaribia kufa'. Haikuwa kauli rafiki.Ilikera na kukwaza kwelikweli.

Kukumbusha kauli hiyo wakati wa msiba wa mtoa-kauli si matusi wala kejeli.Ni mafunzo kwa sisi tuliobakia.Tunaaswa kusema na kutenda kwa mipaka hata pale tunapoghadhibika.Tujitahidi sana kuzuia kughafilika. Kifo ni fumbo. Kujua haiwezekani. Tunaaswa kuwa makini na kauli na matendo yetu hasa kuhusu masuala ya kifo.

Tukimtetea Hayati Komba kwa kauli yake,Mzee Warioba atajisikiaje? Misiba itufunze zaidi ya kuhuzunika na kuomboleza kwetu. R.I.P. Captain (Rtd.) John Damian Komba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Saaml

Nilipokuwa nikikua nilijua msibani kuhuzunika kumbe sio kilaamsiba huzuni mengine n chereko na furaha
 
nadhani kati ya watanzania wote, kauli chafu kwa marehemu imetoka kwa mnyika mnatetea ujinga ili iweje? Mnyika anajua yeye atalazwa wapi? anakumbuka alivyomtukana rais?
Nimeambiwa tatizo la mnyika ni elimu yake ya kuunga unga, nikachanganya na zangu nikagundua mnyika ana uwezo mdogo wa kufikiri.
 
Marehemu huenziwa.Husifiwa na kukumbukwa kwa mema yake. Isiwe haramu kusema na alipoteleza pia.Aliposema au kufanya tofauti ya matarajio ya wengi au wote. Maneno ya tahadhari au ya mafunzo wakati wa msiba si kwa ajili ya marehemu.Yeye hausiki tena.Kusema na kutenda.


Alichoposti mtandaoni J.J.Mnyika ni kukumbusha tu kauli ya Hayati Kapteni John Damian Komba aliyoitoa katika Bunge la Katiba. Kauli ya kumsimanga na kumtabiria kifo Waziri Mkuu Mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Jaji Joseph Sinde Warioba. Hayati Komba alimwita Warioba 'mzee anayekaribia kufa'. Haikuwa kauli rafiki.Ilikera na kukwaza kwelikweli.

Kukumbusha kauli hiyo wakati wa msiba wa mtoa-kauli si matusi wala kejeli.Ni mafunzo kwa sisi tuliobakia.Tunaaswa kusema na kutenda kwa mipaka hata pale tunapoghadhibika.Tujitahidi sana kuzuia kughafilika. Kifo ni fumbo. Kujua haiwezekani. Tunaaswa kuwa makini na kauli na matendo yetu hasa kuhusu masuala ya kifo.

Tukimtetea Hayati Komba kwa kauli yake,Mzee Warioba atajisikiaje? Misiba itufunze zaidi ya kuhuzunika na kuomboleza kwetu. R.I.P. Captain (Rtd.) John Damian Komba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Saaml

Mzee Tupatupa
Umenena
 
CHADEMA mmezidi kudhihaki maiti. ni juzi tu Lissu alikuwa anamtukana Nyerere. inawasaidia nini kwenye siasa hapa duniani?

Kichwani una akili kweli ? Mnyika karudia tu aliyo yasema Komba au hata hiyo kauli hakuisema ?
 
Marehemu huenziwa.Husifiwa na kukumbukwa kwa mema yake. Isiwe haramu kusema na alipoteleza pia.Aliposema au kufanya tofauti ya matarajio ya wengi au wote. Maneno ya tahadhari au ya mafunzo wakati wa msiba si kwa ajili ya marehemu.Yeye hausiki tena.Kusema na kutenda.


Alichoposti mtandaoni J.J.Mnyika ni kukumbusha tu kauli ya Hayati Kapteni John Damian Komba aliyoitoa katika Bunge la Katiba. Kauli ya kumsimanga na kumtabiria kifo Waziri Mkuu Mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Jaji Joseph Sinde Warioba. Hayati Komba alimwita Warioba 'mzee anayekaribia kufa'. Haikuwa kauli rafiki.Ilikera na kukwaza kwelikweli.

Kukumbusha kauli hiyo wakati wa msiba wa mtoa-kauli si matusi wala kejeli.Ni mafunzo kwa sisi tuliobakia.Tunaaswa kusema na kutenda kwa mipaka hata pale tunapoghadhibika.Tujitahidi sana kuzuia kughafilika. Kifo ni fumbo. Kujua haiwezekani. Tunaaswa kuwa makini na kauli na matendo yetu hasa kuhusu masuala ya kifo.

Tukimtetea Hayati Komba kwa kauli yake,Mzee Warioba atajisikiaje? Misiba itufunze zaidi ya kuhuzunika na kuomboleza kwetu. R.I.P. Captain (Rtd.) John Damian Komba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Saaml
Nitamfuata huko huko mistuni na AK 47.
 
Komba alijisahau kuwa naye atakufa tena muda mfupi hivi,alishaweka mahesabu ya kumpigia kampeni lowasa.Mungu amuweke mahali stahiki
 
nadhani kati ya watanzania wote, kauli chafu kwa marehemu imetoka kwa mnyika mnatetea ujinga ili iweje? Mnyika anajua yeye atalazwa wapi? anakumbuka alivyomtukana rais?

Hujielewi kaa kimya au kale viroba.
 
CHADEMA mmezidi kudhihaki maiti. ni juzi tu Lissu alikuwa anamtukana Nyerere. inawasaidia nini kwenye siasa hapa duniani?

Tungekuwa tunaidhihaki maiti now tungekuwa hapa msibani?

mili yetu sote ni nyama mkuu tatizo lenu mnajisahau sana mnajiona nyie kama mtadumu milele....R.I.P john komba
 
Mkuu TataMadiba,tafadhali weka kauli ya Mnyika na uoneshe 'uchafu' wa kauli hiyo

Mzee Tupatupa

Mkuu TataMadiba
Acha ushabiki wa kitoto, na kabla hujasema tafakari.
Kauli ya Komba ilikuwa ya kejeri, na ikatolewa na mtu ambaye hata hana chembe ya kujilinganisha na anayemkejeli.
Mchango wa Warioba kwa taifa hili ni mkubwa ukilinganisha na Komba ambaye mchango wake hasa ni kichama zaidi.
 
Marehemu huenziwa.Husifiwa na kukumbukwa kwa mema yake. Isiwe haramu kusema na alipoteleza pia.Aliposema au kufanya tofauti ya matarajio ya wengi au wote. Maneno ya tahadhari au ya mafunzo wakati wa msiba si kwa ajili ya marehemu.Yeye hausiki tena.Kusema na kutenda.


Alichoposti mtandaoni J.J.Mnyika ni kukumbusha tu kauli ya Hayati Kapteni John Damian Komba aliyoitoa katika Bunge la Katiba. Kauli ya kumsimanga na kumtabiria kifo Waziri Mkuu Mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Jaji Joseph Sinde Warioba. Hayati Komba alimwita Warioba 'mzee anayekaribia kufa'. Haikuwa kauli rafiki.Ilikera na kukwaza kwelikweli.

Kukumbusha kauli hiyo wakati wa msiba wa mtoa-kauli si matusi wala kejeli.Ni mafunzo kwa sisi tuliobakia.Tunaaswa kusema na kutenda kwa mipaka hata pale tunapoghadhibika.Tujitahidi sana kuzuia kughafilika. Kifo ni fumbo. Kujua haiwezekani. Tunaaswa kuwa makini na kauli na matendo yetu hasa kuhusu masuala ya kifo.

Tukimtetea Hayati Komba kwa kauli yake,Mzee Warioba atajisikiaje? Misiba itufunze zaidi ya kuhuzunika na kuomboleza kwetu. R.I.P. Captain (Rtd.) John Damian Komba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Saaml
kati ya kauli ninazoamini huwa ni binafsi na siyo za chama ni kauli Mnyika. Nassari ameongea vizuri sana kwa niaba ya KUB
 
Kichwani una akili kweli ? Mnyika karudia tu aliyo yasema Komba au hata hiyo kauli hakuisema ?

Ingekuwa quote nzuri wasingelalamika hawa kina Lizaboni............................. Haya maneno pamoja na tukio linatufundisha kuwa hii nchi ni yetu sote watoto na hata wazee wetu. Hivyo katiba ilitakiwa kutungwa kwa maslahi ya taifa siyo chama au watu fulani. Sasa huyu Mzee katutoka sijui familia yake itafaidika vipi na kile alichokuwa anakipigania na kile ambacho kingempeleka mstuni!!
 
Last edited by a moderator:
Marehemu huenziwa.Husifiwa na kukumbukwa kwa mema yake. Isiwe haramu kusema na alipoteleza pia.Aliposema au kufanya tofauti ya matarajio ya wengi au wote. Maneno ya tahadhari au ya mafunzo wakati wa msiba si kwa ajili ya marehemu.Yeye hausiki tena.Kusema na kutenda.


Alichoposti mtandaoni J.J.Mnyika ni kukumbusha tu kauli ya Hayati Kapteni John Damian Komba aliyoitoa katika Bunge la Katiba. Kauli ya kumsimanga na kumtabiria kifo Waziri Mkuu Mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Jaji Joseph Sinde Warioba. Hayati Komba alimwita Warioba 'mzee anayekaribia kufa'. Haikuwa kauli rafiki.Ilikera na kukwaza kwelikweli.

Kukumbusha kauli hiyo wakati wa msiba wa mtoa-kauli si matusi wala kejeli.Ni mafunzo kwa sisi tuliobakia.Tunaaswa kusema na kutenda kwa mipaka hata pale tunapoghadhibika.Tujitahidi sana kuzuia kughafilika. Kifo ni fumbo. Kujua haiwezekani. Tunaaswa kuwa makini na kauli na matendo yetu hasa kuhusu masuala ya kifo.

Tukimtetea Hayati Komba kwa kauli yake,Mzee Warioba atajisikiaje? Misiba itufunze zaidi ya kuhuzunika na kuomboleza kwetu. R.I.P. Captain (Rtd.) John Damian Komba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Saaml

Heko Spika Anna Makinda kwa karipio lako; Hakuna mtu mwenye hakimiliki na Uhai, Leo Komba chali, Jaji Warioba anadunda! Binadamu tujifunze kuwa na akiba ya kauli zetu, kuhusu mauti au uhai tumuachie Allah.
 
Back
Top Bottom