Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Ila blaza una moyo sana. Nikikumbuka zile kura za maoni wajumbe walivyokupiga tikitaka lazima nikuvulieMkuu Kamanda Asiyechoka , hakuna kitu kama hicho!, CCM haina mpasuko wowote!.
Wapinzani wepi hao wa kuaminiwa na wananchi?.
P
Na kipindi hiki chama kimerudi kwa wenyewe sijui itakuwaje ukijaribu tena...