Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,139
- 2,991
Habari waungwana, twende moja kwa moja kwenye mada
Leo ni miaka miwili tangu Hayati Magufuli afariki, tangu kifo chake kumekua na hisia mbali mbali ,wapo wanao muunga mkono na wanaitwa sukuma gang, hawa wanasifia kila kitu na kumuita mtakatifu JPM. Hawa wamekua wakitaja mazuri yake na mambo kadhaa ambayo JPM amelifanyia hili Taifa. Na hapa wengi ni CCM.
Wapo wapinzani wake, hawa ni mixer CCM na CHADEMA, hawa wao wanapinga kila kitu kuhusu jpm,hadi kufikia kumuita shetani, wanatamani afufuke wamponde mawe afe tena labda ndipo wataridhika,kifo chake kwao ni furaha,leo huko chato kwenye ibada ya kumuombea JPM, viongozi wakubwa waliokwenda huko hakuna labda mkuu wa mkoa wa Geita tu na kuna kiongozi yupo chato huko kaliwa kichwa na mamlaka,
Sasa kumekuwa na kelele nyingi sana mara vile mara hivi, ila makubwa nilitosikia ni
1. UFISADI/MWIZI nataka kujua JPM alifisadi nini au aliiba nini na je kuna mahali amewekeza hizo pesa alizo fisadi, mwenye uelewa na hili aliweke hapa kwa uzuri kabisa wengine tuelewe
2. MUUAJI/SHETANI je alimuua nani?
3. ALIPORA MALI ZA WATU je JPM alipora mali za kina nani na kwa njia gani?tafazal iwe in detail ili tupate kuelewa kwa pamoja na tusipige kelele ikiwezekana kama kuna ushahidi tuweke
4. DICTATOR UCHWARA je udictator wake ni upi? Tuwekane sawa iki tujue kwa undani maana kuna watu ukitaja jina la JPM anaweza kukuzaba kibao
Leo ni miaka miwili tangu Hayati Magufuli afariki, tangu kifo chake kumekua na hisia mbali mbali ,wapo wanao muunga mkono na wanaitwa sukuma gang, hawa wanasifia kila kitu na kumuita mtakatifu JPM. Hawa wamekua wakitaja mazuri yake na mambo kadhaa ambayo JPM amelifanyia hili Taifa. Na hapa wengi ni CCM.
Wapo wapinzani wake, hawa ni mixer CCM na CHADEMA, hawa wao wanapinga kila kitu kuhusu jpm,hadi kufikia kumuita shetani, wanatamani afufuke wamponde mawe afe tena labda ndipo wataridhika,kifo chake kwao ni furaha,leo huko chato kwenye ibada ya kumuombea JPM, viongozi wakubwa waliokwenda huko hakuna labda mkuu wa mkoa wa Geita tu na kuna kiongozi yupo chato huko kaliwa kichwa na mamlaka,
Sasa kumekuwa na kelele nyingi sana mara vile mara hivi, ila makubwa nilitosikia ni
1. UFISADI/MWIZI nataka kujua JPM alifisadi nini au aliiba nini na je kuna mahali amewekeza hizo pesa alizo fisadi, mwenye uelewa na hili aliweke hapa kwa uzuri kabisa wengine tuelewe
2. MUUAJI/SHETANI je alimuua nani?
3. ALIPORA MALI ZA WATU je JPM alipora mali za kina nani na kwa njia gani?tafazal iwe in detail ili tupate kuelewa kwa pamoja na tusipige kelele ikiwezekana kama kuna ushahidi tuweke
4. DICTATOR UCHWARA je udictator wake ni upi? Tuwekane sawa iki tujue kwa undani maana kuna watu ukitaja jina la JPM anaweza kukuzaba kibao