leo dada
JF-Expert Member
- Oct 26, 2023
- 1,390
- 6,409
Asante sana kipenzi
Asante sana kipenzi
Huyo Mani Fabian upole wake kama wa ussi tu
nimekuita ujue
kwa WAtumishi tu wa kawaida ndani ya wizara.Naam Kwa Mara Nyingine Tena, Hii Ni Kwa Wale Wapenzi Wa Simulizi Mzuri Zenye Kusisimua Kutoka Kwa EDGAR MBOGO Leo Nakuletea Simulizi Mpya Inayokwenda Kwa Jina La (KIFO CHA HAWARA (Mkono Wa Jini) Itakayo Kujia Hapa Hapa JamiiForums Mwanzo Mwisho, Hii Sio Ya Kukosa, Na Kama Ulipitwa Na Simulizi Zilizotangulia Basi Utazipata Kupitia Kiunganishi Hiki
👇
1) NYUMA YA MLANGO WA ADUI
Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui | JamiiForums Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui
2)ASALI HAITIWI KIDOLE
Thread 'SIMULIZI: Asali haitiwi kidole' SIMULIZI: Asali haitiwi kidole
3) TEMBELE LA UWANI
SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO) | JamiiForums SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)
Sapoti Yako Inahitajika Kwa Mtunzi Ili Kumpa Moyo Na Kumpa Hamasa Ya Kuboresha Na Kukuza Kipaji Chake Atuburudishe Zaidi, Kama Una Lolote Iwe Ushauri Au Maoni Au Hata Mchango Wa Bando Au Kifuta Jasho Basi Mawasiliano Yake Ni Haya
+255 743 632 247
Tuwe Pamoja Hadi Mwisho...
Kuna fwala anamtongoza abou apeleke story kule tulipe.Hapa fasihinet inanukia kwa mbali.
Andaeni coins za kutosha
Umelewa bwege weweFree tundu Lissu.
No reform No election.
No reform No election.
No reform No election.
naam
Hudhuria ibada katika kanisa la Kigango, Parokia au jimbo lolote lililo karibu na wewe ili uweze kuchota neema na baraka za Bwana Wetu Yesu kristu
Hudhuria ibada katika kanisa la Kigango, Parokia au jimbo lolote lililo karibu na wewe ili uweze kuchota neema na baraka za Bwana Wetu Yesu kristuKijana mpole Mani Fabian nakauka koo kwa kukuita,au ndo dada jini amesha kukausha damu km abdulqadir Amer🤣🤣🤣
Jini linaitwa seni tena lina nyashi kubwa🤣🤣Jini maimuna
😂Jini maimuna
Mkuu leo jpil bado tuko vtandani em fanya kutubless ya breakfast kwanza.