prosper saint
Member
- Apr 25, 2015
- 17
- 4
Hapa fasihinet inanukia kwa mbali.
Andaeni coins za kutosha
Andaeni coins za kutosha
Nimefika mwenyekitimiana amor njoo upange viti kuna kikao
Yan anatutesa jmn mm usiku wa leo sijapata kabisa usingizi😥😥Abou Shaymaa ametukaushia tuweke kikao atuambie inakuja mara ngapi kwa siku au kwa wiki
Ita wajumbe hapaNimefika mwenyekiti
waje haraka
Ila anacho tufanyia Abou Shaymaawaje haraka
kuna tatizo la kiufundi kijana mpole hatagudhuria
Asante.
Basi utalipa fainkuna tatizo la kiufundi kijana mpole hatagudhuria
DAH! KESI?Mani Fabian popote ulipo una kesi ya kujib kwa mwenyekiti
TumekufikiaNaam Kwa Mara Nyingine Tena, Hii Ni Kwa Wale Wapenzi Wa Simulizi Mzuri Zenye Kusisimua Kutoka Kwa EDGAR MBOGO Leo Nakuletea Simulizi Mpya Inayokwenda Kwa Jina La (KIFO CHA HAWARA (Mkono Wa Jini) Itakayo Kujia Hapa Hapa JamiiForums Mwanzo Mwisho, Hii Sio Ya Kukosa, Na Kama Ulipitwa Na Simulizi Zilizotangulia Basi Utazipata Kupitia Kiunganishi Hiki
👇
1) NYUMA YA MLANGO WA ADUI
Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui | JamiiForums Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui
2)ASALI HAITIWI KIDOLE
Thread 'SIMULIZI: Asali haitiwi kidole' SIMULIZI: Asali haitiwi kidole
3) TEMBELE LA UWANI
SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO) | JamiiForums SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)
Sapoti Yako Inahitajika Kwa Mtunzi Ili Kumpa Moyo Na Kumpa Hamasa Ya Kuboresha Na Kukuza Kipaji Chake Atuburudishe Zaidi, Kama Una Lolote Iwe Ushauri Au Maoni Au Hata Mchango Wa Bando Au Kifuta Jasho Basi Mawasiliano Yake Ni Haya
+255 743 632 247
Tuwe Pamoja Hadi Mwisho...
Ndio uje na maelezo yakutosha mwenyekiti Daudi1 njoo uongee na mtu wako ukuDAH! KESI?
NIKO HAPA SASAJmn kuna mtu kapotea mwenyekiti Daudi1 mwanakijiji wako Mani Fabian haonekani