Kifo cha Gazeti la Mwananchi kilitarajiwa baada lakini siyo ghafla kiasi hiki

Kifo cha Gazeti la Mwananchi kilitarajiwa baada lakini siyo ghafla kiasi hiki

Dadi Barnea

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
654
Reaction score
1,305
Hii ndiyo habari kubwa katika Gazeti la Mwananchi baada ya kununuliwa na Bilionea Muua Vyombo vya Habari, Rostam Aziz. Kilitarajiwa kifo lakini siyo mapema hivi
8053ca14-f730-4788-bc45-925908b66500.jpeg
 
Hii ndiyo habari kubwa katika Gazeti la Mwananchi baada ya kununuliwa na Bilionea Muua Vyombo vya Habari, Rostam Aziz. Kilitarajiwa kifo lakini siyo mapema hivi
View attachment 3561365

Ulitamani hapo mbele waweke habari gani itayouza gazeti?

Kama siasa, siku hizi hakuna kitu cha maana baada ya CCM kubaki yenyewe...

Ukiweka habari za "Rais awa mgeni rasmi swala ya Eid" ndio wangepotea zaidi...
 
Hii ndiyo habari kubwa katika Gazeti la Mwananchi baada ya kununuliwa na Bilionea Muua Vyombo vya Habari, Rostam Aziz. Kilitarajiwa kifo lakini siyo mapema hivi
View attachment 3561365
MMILIKI WA HIZI MALI NDIYO KANUNUA VYOMBO VYA HABARI NA MAKAMPUNI YA SIMU NA NDIYO ANAYE TOA CODE ZA KUWAPOTEZA NA KUWAUA WATANGANYIKA WAZALENDO KWA KUPITIA MAKAMPUNI YAKE YA SIMU.
 

Attachments

  • Screenshot_20230930-090635_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20230930-090635_Samsung Internet.jpg
    190.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230930-090531_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20230930-090531_Samsung Internet.jpg
    194.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20230930-090520_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20230930-090520_Samsung Internet.jpg
    200.1 KB · Views: 3
Utakufa wewe na kuiacha Mwananchi.
Shida wewe kwa umri wako na ulichoandika hapa unaonekana hulijui vizuri hilo gazeti enzi zake lilivyokuwa active kwenye mambo ya msingi.

Hata hivyo post #5 ya member Watu8 imenipa mwanga kidogo kwamba wasingeweka habari hiyo ni habari gani nyengine ya maana ingewekwa?
 
Shida wewe kwa umri wako na ulichoandika hapa unaonekana hulijui vizuri hilo gazeti enzi zake lilivyokuwa active kwenye mambo ya msingi.

Hata hivyo post #5 ya member Watu8 imenipa mwanga kidogo kwamba wasingeweka habari hiyo ni habari gani nyengine ya maana ingewekwa?
Wala hakuna haja ya kujibishana wa wajinga kama huyo. Chema chajiuza, kibaya chajitembeza. Katika vitu ambavyo unavuna unachopanda basi ni media.
 
Majitu ya Samia yanataka watu wafe tu. Mna shida gani? Jamaa kaongerea gazeti, wewe unazungumzia damu. Ni hatari sana. Kwa nini unamtakia mwenzio kifo. Why usiseme shughuli zake zitakufa kabla ya gazeti la mwananchi kufa
Wewe mpuuzi hutambui kuwa kifo cha gazeti kinaambatana na watu kupoteza ajira? Kufurahia anguko za gazeti kama Mwananchi ni kitu chema huko kwenu CHADEMA?
 
namtakia r.i.p in advance
Hawa watu wana roho mbaya sana. Mtu anafurahia kifo cha kampuni kubwa kama Mwananchi bila kujali kuwa kuna familia nyingi zitaangamia kwa bread winners wao kupoteza ajira. Mungu atuepushe na hawa wajaa laana wanaojiita CHADEMA.
 
Shida wewe kwa umri wako na ulichoandika hapa unaonekana hulijui vizuri hilo gazeti enzi zake lilivyokuwa active kwenye mambo ya msingi.

Hata hivyo post #5 ya member Watu8 imenipa mwanga kidogo kwamba wasingeweka habari hiyo ni habari gani nyengine ya maana ingewekwa?
Wewe ni mama yangu hadi ujifanye unaujua umri wangu? Pumbavu sana. Mimi ni msomaji mkubwa wa magazeti kabla hata ya Mwananchi. Nilikuwa nasoma sana Majira, Rai, Taifa leo (gazeti la Kenya) na gazeti la Kasheshe nilipenda sana katuni zake.
 
Wewe mpuuzi hutambui kuwa kifo cha gazeti kinaambatana na watu kupoteza ajira? Kufurahia anguko za gazeti kama Mwananchi ni kitu chema huko kwenu CHADEMA?
Usamehewe bure! Yaani ajira ni zaidi ya uhai. Damu ya mtu ni zaidi ya ajira na gazeti. Kuna njia nyingi sana za kuua, kuuwa kwa maneno au kuuwa kwa kupiga etc. Wewe si mtu mzuri hata kidogo. Wewe ni mtekaji. Utajibu siku moja mbele ya Mungu ukiwa hauna gazeti lako au nguo. Nimesikitika tuna watu kama wewe kwenye jamii.
 
Hawa watu wana roho mbaya sana. Mtu anafurahia kifo cha kampuni kubwa kama Mwananchi bila kujali kuwa kuna familia nyingi zitaangamia kwa bread winners wao kupoteza ajira. Mungu atuepushe na hawa wajaa laana wanaojiita CHADEMA.
Sasa kama kampuni yenyewe inajiua na inajua kuwa inakufa huyo yeye atafanyaje zaidi ya kutoa taarifa kwamba inakufa ili hizo familia unazozionea huruma zitafute marisho mapya.
 
Back
Top Bottom