Kifo cha Diamond Platnumz kinaweza kupoteza Mamia ya watu pamoja na Muziki wa Tanzania

Yaani afe mjenzi huru halafu raia wengine wafe!!!

Labda iwe sababu ya kafara zao
 
Serikali inao wajibu wa kuwaangalia raia wake wote bila kujali ukwasi wao wala ukata wao . Tusingependa kuiona Serikali yetu ikiweka nguvu katika kuangalia na kulinda maslahi ya kundi fulani la watu kwani hiyo itakuwa ni ya kibaguzi. Mungu awaongoze viongizi wetu wa Serikali wawatendee raia wote haki wanayoistahili.
 
Naseeb Abdul Jumah.... a.k.a Diamond Platnumz ni icon Tanzania kipengere cha Muzik, Ni kijana ambaye anatakiwa angaliwe na serikali kwa upana maana hata serikali yenyew imeblooh anajiongeze sio utani.

Mbali na kumiliki anavyovimiliki chibu dangote yuko na team sahihi kabisa isikuwa na mchezo kwenye kazi inapiga kazi pamoja na kujituma mix kulinda brand.

Diamondplatnumz, sio mfano wa kuigwa tu bali amewasaidia vijana na wengi pamoja na watu wasiojiweza mbali na kutangaza au kuonesha video za kusaidia ila ni kwasababu ya upendo.

Bi sandra, alifanya kazi ya ziada mpaka Chibude anafika hapa halipo.. mbali na Watanzania kumsapoti Diamondplatnumz ila nguvu zake na uthubutu ndo mkubwa. Alijikubali mwenyew mwisho akakubalika.

MWENYEZI MUNGU AMZIDISHIE ALIPOTOA AONGEZEWE ZAIDI.

Headline imekutoa jasho

Sawa Esma umesomeka..!!
 
Hivi ni Nani aliezuia msipigwe madole nyinyi mashoga ?

JF Sasa imejaa mashoga tupu, control hio shobo nengwa, mwanaume kumsifia sana mwanaume mwenzie means yupo tayari kumpa kinyeo chake akifanye anavyotaka, punguzeni
 
uliishia darasa la ngapi hukumsikiliza mwalimu alivyosema kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzi au ulitoroka darasani 🤣
 
Back
Top Bottom