Rwetembula Hassan Jumah
Senior Member
- Jan 25, 2023
- 140
- 188
- Thread starter
- #21
Kweli Jf kuna vilazaWho is he? Watu maarufu wafalme, marais, etc walikufa na maisha yapo kama kawaida, au ww pumbaf nn
Kweli Jf kuna vilazaWho is he? Watu maarufu wafalme, marais, etc walikufa na maisha yapo kama kawaida, au ww pumbaf nn
KwakoDiamondplatnumz ni zaidi ya Rais ....
Rais kaajiliwa na mimiKwako
Umeelewa kilichoandikw au umekurupuka usingizinBadala ujiuonee huruma wewe juu ya kifo chako wewe unamuonea huruma Diamond
Atakuwa baba levo bila shakaMleta uzi huu ni bwg kabisa
Ova
Naseeb Abdul Jumah.... a.k.a Diamond Platnumz ni icon Tanzania kipengere cha Muzik, Ni kijana ambaye anatakiwa angaliwe na serikali kwa upana maana hata serikali yenyew imeblooh anajiongeze sio utani.
Mbali na kumiliki anavyovimiliki chibu dangote yuko na team sahihi kabisa isikuwa na mchezo kwenye kazi inapiga kazi pamoja na kujituma mix kulinda brand.
Diamondplatnumz, sio mfano wa kuigwa tu bali amewasaidia vijana na wengi pamoja na watu wasiojiweza mbali na kutangaza au kuonesha video za kusaidia ila ni kwasababu ya upendo.
Bi sandra, alifanya kazi ya ziada mpaka Chibude anafika hapa halipo.. mbali na Watanzania kumsapoti Diamondplatnumz ila nguvu zake na uthubutu ndo mkubwa. Alijikubali mwenyew mwisho akakubalika.
MWENYEZI MUNGU AMZIDISHIE ALIPOTOA AONGEZEWE ZAIDI.
Headline imekutoa jasho
Sawa dada zuwenaSawa Esma umesomeka..!!