Hahahaa'Wamiliki wa Vyombo vya habari be careful, Whatch it....' -Pombe
HahahaaAnamuonea wivu bashite alivyomshika mzee akashikika nadhani anataka ampindue pendo la bashite apewe yeye
Na wewe unatumika bila shaka.Wakuu habarini
Nimekuwa nikifatilia kipindi cha jahazi nakushuhidia uyu mzee aitwae kibonde amekaa kiupande mmoja yani kila mda nikumsufu rais ata inapoonekana anaenda sivyo na pia hata habari inapokuja isiyo egemea kwa rais uyu jamaa anakaa kujikanyaga akitetea
Iv uyu jamaa anatumika au VP
Duh....Sio Mzee Huyo Ni kijana mwenzetu ..
Sema 'Kifua Kikuu' kimemzeesha..
Sio Mzee Huyo Ni kijana mwenzetu ..
Sema 'Kifua Kikuu' kimemzeesha..
Hebu toa mfano basiWakuu habarini
Nimekuwa nikifatilia kipindi cha jahazi nakushuhidia uyu mzee aitwae kibonde amekaa kiupande mmoja yani kila mda nikumsufu rais ata inapoonekana anaenda sivyo na pia hata habari inapokuja isiyo egemea kwa rais uyu jamaa anakaa kujikanyaga akitetea
Iv uyu jamaa anatumika au VP
Na kama yapo ya kusifiwa kwa nini asisifiwe ??Sasa kama hana la kusifiwa, kwanini asipondwe?
Kule Kigoma kuna nafasi imeacgwa wazi sasa inatafutwa kwa nguvuKuna wilaya haina DC tangu wiki iliopita?
Bado kunateuzi zinandeleaWakuu habarini
Nimekuwa nikifatilia kipindi cha jahazi nakushuhidia uyu mzee aitwae kibonde amekaa kiupande mmoja yani kila mda nikumsufu rais ata inapoonekana anaenda sivyo na pia hata habari inapokuja isiyo egemea kwa rais uyu jamaa anakaa kujikanyaga akitetea
Iv uyu jamaa anatumika au VP