emmanuel mhecha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 933
- 542
Why this, Fanyeni KaziAnataka ampindue bashite
Why this, Fanyeni KaziAnataka ampindue bashite
Why this, Fanyeni KaziAnataka ampindue bashite
Niambie basi hayo ya kusifiwa, nami nimsifie mrembo!Na kama yapo ya kusifiwa kwa nini asisifiwe ??
Vipi mwenzetu imekuwaje tena? Siongezi neno.'Wamiliki wa Vyombo vya habari be careful, Whatch it....' -Pombe
Kifua kikuu au ngwengwe?Sio Mzee Huyo Ni kijana mwenzetu ..
Sema 'Kifua Kikuu' kimemzeesha..
Mbona nyinyi mnamponda Mh Rais kwa kila Jambo !!??? Na nyinyi mnatumika!?
Kwa Yale maigizo yanayofanyika pale Bandarini,anastahili sifa! Ile comedy ni zaidi ya FutuhiNa kama yapo ya kusifiwa kwa nini asisifiwe ??
Anataka ukuu wa wilayaWakuu habarini
Nimekuwa nikifatilia kipindi cha jahazi nakushuhidia uyu mzee aitwae kibonde amekaa kiupande mmoja yani kila mda nikumsufu rais ata inapoonekana anaenda sivyo na pia hata habari inapokuja isiyo egemea kwa rais uyu jamaa anakaa kujikanyaga akitetea
Iv uyu jamaa anatumika au VP
Maisha ni Nyumba - NHCWakuu habarini
Nimekuwa nikifatilia kipindi cha jahazi nakushuhidia uyu mzee aitwae kibonde amekaa kiupande mmoja yani kila mda nikumsufu rais ata inapoonekana anaenda sivyo na pia hata habari inapokuja isiyo egemea kwa rais uyu jamaa anakaa kujikanyaga akitetea
Iv uyu jamaa anatumika au VP
Mkuu umejibu sahihi kabisa inaonekana wanatumikaMbona nyinyi mnamponda Mh Rais kwa kila Jambo !!??? Na nyinyi mnatumika!?
Kila mtu ana maisha yake na wewe ishi maisha yako - Mbona wewe kila jambo unampinga Rais na kumtetea Mbowe na MamviWakuu habarini
Nimekuwa nikifatilia kipindi cha jahazi nakushuhidia uyu mzee aitwae kibonde amekaa kiupande mmoja yani kila mda nikumsufu rais ata inapoonekana anaenda sivyo na pia hata habari inapokuja isiyo egemea kwa rais uyu jamaa anakaa kujikanyaga akitetea
Iv uyu jamaa anatumika au VP