Wakuu habarini
Nimekuwa nikifatilia kipindi cha jahazi na kushuhudia huyu mzee aitwae Kibonde amekaa kiupande mmoja yaani kila muda ni kumsufu rais hata inapoonekana anaenda sivyo na pia hata habari inapokuja isiyoegemea kwa rais huyu jamaa anakaa kujikanyaga akitetea
Hivi huyu jamaa anatumika au vipi?
Nimekuwa nikifatilia kipindi cha jahazi na kushuhudia huyu mzee aitwae Kibonde amekaa kiupande mmoja yaani kila muda ni kumsufu rais hata inapoonekana anaenda sivyo na pia hata habari inapokuja isiyoegemea kwa rais huyu jamaa anakaa kujikanyaga akitetea
Hivi huyu jamaa anatumika au vipi?