Kesi ya Mbowe: Watanzania hatuhoji uhalali au uwezo wa Mahakama, bali uwezo wa Majaji - Msimamizi uko wapi- Kwanini mnaichosha Mahakama ya Rufaa?

S.M.P2503

JF-Expert Member
Nov 25, 2008
1,643
2,609
Vyovyote iwavyo:
1. Majaji wote wa kesi hii mpaka sasa Pigia mstari Mpaka sasa- wameonesha uwezo hafifu sana wa kutafsiri sheria zetu.

2. Uwezo wa msimamizi wa hawa majaji nao uko kikaangoni.

3. Mwalimu wa majaji hawa ni nani haswa ili tujue uwezo wake au labda na yeye ana elimu ya kuunga unga?

4. Jaji hawezi amua kielelezo hakifai na ilihali alisha amua huko nyuma nini kinafaa na nini kifanyike.

5. Ni kushusha hadhi ya mahakama na kuwafanya majaji wetu wote ni vihiyo kitu ambacho si kweli

6. Jaji kiongozo hapo ulipo ujitafakari sana.

7. Maelezo ya onyo CPA 169 kifungu 3- serikali/Jamuhuri inatakiwa kuthibitisha kwamba maelezo yalikuwa halali- Whoever alleges , has the onus to prove and si vingibevyo.

8. Watuhumiwa wote wanasema maelezo yao yalichukiwa sehemu moja, barua hiyo ingewafanya Jamuhuri walete vithibitisho maana ni kazi yao ku- prove and kudisi-prove na yanayosemwa na watuhumiwa- hii ndio njia pekee ya mahakama kulinda haki za mtumiwa. Mahakama iko pale kulinda haki za watu wote ikiwemo washtakiwa na washtaki.

9. mahakam ina uwezo wa kumuita mtu yeyote kwa summons (subponea) ili aje atoe ushahahi wa kile kinachosemwa au kuharalishwa documents za ushadihidi ziletwe mahakamani, sasa ni kwa ni ni huyu Tiganga kama si kihiyo asifanye hivyo ili kutatua kesi hii katika suala hili la diocuments na chain of custody?

10. Unaficha chain of custody ya polisi kwa maana gani haswa ? Iletwe na tuwajue pia mbona unawakingia kifua hao Polisi?

11. Tiganga (sukuiti Mheshima maana kwa maamuzi yako mpaka sasa, huo uheshimiwa haukufai), uwezo wako mdogo unazichafua mahakama zetu katika jumuia ya kimataifa- amua kwa haki, kisheria na kama common law legal system inavyo kutaka.

12. Fursa ya judge ni kuwa referee wa haki lakini mpaka sasa unaonekana ni referee wa upande mmoja, ni dhambi hata mbele ya Muumba wako-Jitafakari maana huna zaidi ya miaka 70 ya kuishi toka sasa, huko mbeleni utajibu nini mbele ya mtenda haki mkuu... Mola Muumba wako?

13. Mwishio-haya ni Maoni yangu, Povu ruksa kama mtanzania ninaye practice sheria katika mahakama za kimataifa, Judge asema documemt haikufuata chain of custody ... Ni kweli kwamba two wrongs do not make it right. Kwa nini sasa unazuia chain of custody ya police isijulikane... Unawasaidia kuficha nini hawa police?

Haki si tu itendeke bali ionekane inatendeka kwa walimwengu wote hata wale wasio kuwa na interest na kesi hii, ikiwemo mimi binafsi...
 
Umeandika vizuri sana ndugu ila hiyo miaka 70 umempa mingi sana anaweza kufa muda wowote hata baada ya wiki moja baada ya kutoa hukumu ya uongo.

Nasema hivyo kwani haya yote anayofanya ni dalili za kufanikisha uovu ambao tayari ameshaupanga. Wewe Tigana utaenda kumwambia nini Mungu mwenye mamlaka yote na hukumu ya haki?
 
Honestly sioni shida kwenye elimu za hawa ma judge kua ndio sababu wanashindwa kufanya maamuzi ya haki

Kukubali kwamba ma judge hawana elimu ya kutosha kuweza kumudu majukumu ya mahakama ni kukubali kwamba maamuzi ya kionezi ambayo wamekua wakiyatoa dhidi ya utetezi yalikua yanafanyika kwa bahati mbaya

Hawa ni majaji proffessional endapo kesi watayosimamia haitakua na maagizo kutoka juu, au kesi yeyote ambayo haina interest na serikali.

Kwa kile kinachofanyika pale mahakamani ni wazi kabisa kwamba jaji pale mahakamani ni kama kiegesho tu na ndio maana maamuzi ya kukataa hoja za utetezi hakuna aliyoitoa siku hiyo hiyo (bila kuahirisha kesi ili apate wasaa wa kupokea maoni kwa ngazi za juu)

Hata hiyo mahakama ya rufaa bado sio ya kuipa tumaini endapo kama nao walifikiria kua hiyo itakua ni faida kwenu, hawawezi kukubali muwa-overstep
 
Vyovyote iwavyo:
1. Majaji wote wa kesi hii mpaka sasa Pigia mstari Mpaka sasa- wameonesha uwezo hafifu sana wa kutafsiri sheria zetu
2. Uwezo wa msimamizi wa hawa majaji nao uko kikaangoni...
Wewe ndiye mwenye uwezo hafifu kuelewa uwezo wa majaji
 
Magufuli sijui kwa nini alikuwa anapenda kuteua au maharamia, vichaa kama yeye (ni kauli yake, siyo yangu) au watu wenye uwezo mdogo.
kuliikuwa na mpango wa kutawala milele , sasa akawa anapanga safu yake , ndio hawa mamluki wakaukwaa ujaji
 
Majaji wote waliopata ujaji wakati wa Magufuli ni duni kwa kiwango cha kutia aibu kabisa !
Taahi.ra wewe, hama nchi basi, mnaogopa nini? si mnasema hana kosa, kwa nini hamtaki kesi isikilizwe? mnahofia nini? acheni mahakama ifanye kazi yake.
 
Hahaha....eti "watanzania", mweh.u kweli we jamaa..mkiisha kupumliana visogonia na mpumuliwaji mwenzio ndo mnajiona watanzania enh? WATANZANIA TUPO KIMYA TUNAWACHORA TUU.
 
Vyovyote iwavyo:
1. Majaji wote wa kesi hii mpaka sasa Pigia mstari Mpaka sasa- wameonesha uwezo hafifu sana wa kutafsiri sheria zetu
2. Uwezo wa msimamizi wa hawa majaji nao uko kikaangoni.
3. Mwalimu wa majaji hawa ni nani haswa ili tujue uwezo wake au labda na yeye ana elimu ya kuunga unga?
4. Jaji hawezi amua kielelezo hakifai na ilihali alisha amua huko nyuma nini kinafaa na nini kifanyike
5. Ni kushusha hadhi ya mahakama na kuwafanya majaji wetu wote ni vihiyo kitu ambacho si kweli
6. Jaji kiongozo hapo ulipo ujitafakari sana.
7. Maelezo ya onyo CPA 169 kifungu 3- serikali/Jamuhuri inatakiwa kuthibitisha kwamba maelezo yalikuwa halali- Whoever alleges , has the onus to prove and si vingibevyo
8. Watuhumiwa wote wanasema maelezo yao yalichukiwa sehemu moja, barua hiyo ingewafanya Jamuhuri walete vithibitisho maana ni kazi yao ku- prove and kudisi-prove na yanayosemwa na watuhumiwa- hii ndio njia pekee ya mahakama kulinda haki za mtumiwa. Mahakama iko pale kulinda haki za watu wote ikiwemo washtakiwa na washtaki.
9. mahakam ina uwezo wa kumuita mtu yeyote kwa summons (subponea) ili aje atoe ushahahi wa kile kinachosemwa au kuharalishwa documents za ushadihidi ziletwe mahakamani, sasa ni kwa ni ni huyu Tiganga kama si kihiyo asifanye hivyo ili kutatua kesi hii katika suala hili la diocuments na chain of custody?
10. Unaficha chain of custody ya polisi kwa maana gani haswa ? Iletwe na tuwajue pia mbona unawakingia kifua hao Polisi?
11. Tiganga (sukuiti Mheshima maana kwa maamuzi yako mpaka sasa, huo uheshimiwa haukufai), uwezo wako mdogo unazichafua mahakama zetu katika jumuia ya kimataifa- amua kwa haki, kisheria na kama common law legal system inavyo kutaka.
12. Fursa ya judge ni kuwa referee wa haki lakini mpaka sasa unaonekana ni referee wa upande mmoja, ni dhambi hata mbele ya Muumba wako-Jitafakari maana huna zaidi ya miaka 70 ya kuishi toka sasa, huko mbeleni utajibu nini mbele ya mtenda haki mkuu... Mola Muumba wako?

13. Mwishio-haya ni Maoni yangu, Povu ruksa kama mtanzania ninaye practice sheria katika mahakama za kimataifa, Judge asema documemt haikufuata chain of custody ... Ni kweli kwamba two wrongs do not make it right. Kwa nini sasa unazuia chain of custody ya police isijulikane... Unawasaidia kuficha nini hawa police?
Haki si tu itendeke bali ionekane inatendeka kwa walimwengu wote hata wale wasio kuwa na interest na kesi hii, ikiwemo mimi binafsi...
Kwenye hii kesi kama jaji tayari anayo hukumu mfukoni, lazima ataonekana kilaza tu. Makombola wanayolusha mawakili wa utetezi sio ya karne hii

Ile barua ya Ling'wenya aliyotaka mahakama iipokee kama kielelezo cha ushaidi wake, imemchora vibaya sana jaji na Mahakama yake

Na hili kombola lililolushwa jana na shaidi wa pili wa upande wa utetezi si la kitoto hata kidogo, litampa shida sana jaji na mawakili wa jamuhuri.

Kwa kifupi mawakili wa upande wa utetezi wamejipanga vizuri sana na Inavyoelekea kuna makombola mengi sana ya hatari yanasubili kufyatuliwa. Hii kesi tutashuhudia mambo mengi sana ambayo yataleta aibu kwa Serikali, Jaji na mahakama
 
Back
Top Bottom