Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
Na alipe kisasiYaani kama nao polisi wanajua ni kusudi na kweli iwe ni kusudi,wawe makini wale waliohusika kutesa na kutweza utu wa hao maaskari.Uwezekano wa kisasi kulipwa ni Mkubwa sana.Sirro anaweza akaishia kutoa pole endapo atakua bado ni IGP,ila kama atakua kashastaafu,yawezekana akapigiwa simu kukumbushwa tu kua,mzee unawakumbuka wale vijana wa kesi ile,wamepatwa na hili na lile,sijui yatakua ni yaleyale au kuna mengine,na Sirro yawezekana akajibu kutokana na uzoefu wake kwenye hilo jeshi,nakuwashauri cha kuendelea nacho.Haya mambo bhana,yanauma sana,sikia tu kwa mwenzako kuhusu kukaa ndani,bado uteswe,mmmh... kama huyo aliyesema alichomwa matakoni,najua anayo hasira sana kama kasingiziwa.