Ghost Republic
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 543
- 399
Polisi haman kitu kichwani.Division 0 ziko kazini
Lisu hakukamatwa!
Yeye anasema alipigiwa simu ya vitisho ndio akafungasha virago kukimbilia ubalozini!
Hakuna balozi yeyote mwenye ujeuri wa kwenda kumtoa mtu kituo cha polisi,
Walichofanya wale mabalozi ni kumsindikiza Lisu kutoka ubalozini hadi Airport basi!
Lisu hakukamatwa popote!
Alikuwa na hamu ya kurudi kwa Amsterdam ndio akatengeneza ile movie ili apate uhalali wa yeye kurudi ublegiji
CCM ni mashetani sana.
Chiiifuuuu ,Kuna wakati nashindwa kumsoma kbs ,she is working for whom!! !????,"Tanzania ipo kwenye uchumi wa Tumbo"
By Chifu Hangaya.
Kesi ya Sabaya ni nyepesi kiasi kwamba hata mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa sheria anatosha ....Sio kweli kuwa mawakili wa serikali hawajui sheria, shida ni kesi wanayoiendesha. Fuatilia kesi ya Sabaya uone walivyochangamka. Tena mawakili wa Sabaya ndio wako na wakati mgumu sana
Fuatilia hiyo habari na link zake uone wanavyoupiga mwingi.
Hatari Sana,
Tunaomba awekwe KINGAI, dakika 10 Kama atatoboa ,ADAMO anasema aliwekwa KWa dakika 45, na akatoboa
Na wewe wakati mwingine tumia akili, kwani kukesha si KAZI yao walioichagua,? Na si wanalipwa mshahara,? Sasa inakuaje kumtesa mtu asie kuwa na hatia,Unalala usingizi because polisi na Majeshi yote ya ulinzi na usalama yanakesha
Naona umekua too comfortable sasa unadharau vyombo vya ulinzi
Ulitaka arrest za former special forces zifanye Kwa mwendo wa ice cream na marashi?
Fala Kweli wewe
You are half right. Kama ni nyepesi kwanini mawakili wa utetezi wanakosa majibu ya hoja kama za kutoka nje ya kituo cha kazi bila kibali cha msimamizi wake? Au hoja ya kukusanya mapato bila kibali cha kamishna wa TRA?Kesi ya Sabaya ni nyepesi kiasi kwamba hata mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa sheria anatosha ....
Umenisaidia kuonesha jinsi kesi ilivyo nyepesi.... Polisi wanavuliwa nguo hadharani...You are half right. Kama ni nyepesi kwanini mawakili wa utetezi wanakosa majibu ya hoja kama za kutoka nje ya kituo cha kazi bila kibali cha msimamizi wake? Au hoja ya kukusanya mapato bila kibali cha kamishna wa TRA?
All I am saying is, hakuna ujanja ujanja kwenye sheria, facts za kesi ndio zinakubeba au kukukandamiza.
Mchezo umekwisha.Umenisaidia kuonesha jinsi kesi ilivyo nyepesi.... Polisi wanavuliwa nguo hadharani...
Ahsante sana
Hahaha mzee babaUmenisaidia kuonesha jinsi kesi ilivyo nyepesi.... Polisi wanavuliwa nguo hadharani...
Ahsante sana
huo ni mguu au paja... !!!Huyu ni miongoni mwa Mabalozi ambao Mahudhurio yake kwenye Kesi ya UGAIDI wa laki 6 inayomkabili Mbowe na wenzake watatu haijawahi kutetereka , Ni huyo mwenye gauni zuri la bluu
View attachment 1950858
Ndiye anayetajwa kunusuru Uhai wa Tundu Lissu kwa kumpatia Kinga ya Ubalozi na kumsindikiza hadi Airport na kuhakikisha anapanda ndege kurudi Belgium , baada ya Spana za Kampeni za Ulioitwa uchaguzi Mkuu wa 2020 kuwachanganya akili watawala .
View attachment 1950867
bwege nani?Bongo upuuzi mwingi sana.
Yani upumbafu tu kila siku kesi na huyo bwege,either mfungeni au mumwache.
Kesi gani hii kila siku mpunga unapigwa hela zetu za kodi zinaenda.