Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,042
Wameona wameshikwa pumbu,pimbi hawa. Wanaogopa sasa kwa shahidi kama hizi watu wanaendelea kuwa na chuki na polisiNasikia RCO Kinondoni kazuia tena leo watu kuingia. Baadae mawakili wa Mbowe wakasema kama watu hawaingii hamna kesi. Kama kawaida wamearuhusu waingie.
Sasa najiuliza hii drama kila siku mantiki yake ni nini? Ni kudhihirisha upumbavu wa jeshi la polisi au ni kujitoa ufahamu? Kwanini unazuia watu angali hakuna sheria inayokupa mamlaka ya kufanya hivyo?
Kwanini kila siku ya kesi drama ndio zile zile? Unazuia halafu unaishia kuruhusu.