mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,070
- 5,461
Ninaomba nirekebisha kidogo! Hawa wamejaa misuli ya ukamataji na ni wataalamu waliobobea wa kiintelijensia hasa inapohusu vyama vya upinzani. Inteligensia inayowapiga nusu kuputi wanapoona chama tawala wanakutana au kufanya maandamano! Hawa police wetu ni magenious!Hapo sasa umewaonea, ngoja niwatetee kidogo.