Hatimaye kesi ya George Sanga aliyewekwa Mahabusu kwa miaka 3 kwa kesi ya Mauaji kuanza kusikilizwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,805
218,454
Taarifa iliyosambazwa na Chadema Duniani kote , inaeleza kwamba Mtuhumiwa wa kesi ya uongo ya mauaji , George Sanga, Mwanachama wa Chadema na diwani wa zamani wa Njombe , ambaye alisingiziwa kesi hiyo ili kumkomesha, baada ya kukataa kujidhalilisha kwa kununuliwa na ccm , Itaanza kusikilizwa mfululizo mwezi october 2023.

Hebu fikirieni wenyewe , mtu kakamatwa 2020 tena mapema kabla hata ya Uchaguzi Mkuu , anapelekwa Mahakamani october 2023! Huu ni Unyama wa kiwango cha kutisha sana!

Bali Kama ilivyo kanuni ya Mungu Mwenyezi , kwamba kila ubaya utalipwa , basi wahusika wote wajiandae kwa malipo yao hapahapa Duniani

Screenshot_2023-10-09-21-21-54-1.png
Screenshot_2023-10-09-21-22-05-1.png
 
Taarifa iliyosambazwa na Chadema Duniani kote , inaeleza kwamba Mtuhumiwa wa kesi ya uongo ya mauaji , George Sanga, Mwanachama wa Chadema na diwani wa zamani wa Njombe , ambaye alisingiziwa kesi hiyo ili kumkomesha, baada ya kukataa kujidhalilisha kwa kununuliwa na ccm , Itaanza kusikilizwa mfululizo mwezi october 2023.

Hebu fikirieni wenyewe , mtu kakamatwa 2020 tena mapema kabla hata ya Uchaguzi Mkuu , anapelekwa Mahakamani october 2023! Huu ni Unyama wa kiwango cha kutisha sana!

Bali Kama ilivyo kanuni ya Mungu Mwenyezi , kwamba kila ubaya utalipwa , basi wahusika wote wajiandae kwa malipo yao hapahapa Duniani

View attachment 2777188View attachment 2777189
Mbona waliohusika kumfanyia huu ukatili wengi wao washapata hukumu ya Mungu?
 
Back
Top Bottom