usiamini taarifa zilizozagaa baadhi ya maeneo kama ulivyosema.Ndugu zangu wana JF taarifa ambazo zimezagaa baadhi ni maeneo zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa Mbunge Godliblees Lema kushindwa kwenye kesi yake inayoeendelea na hivyo kupelekea kuvuliwa ubunge.
Akishavuliwa ubunge then what next?
Kama utaitishwa uchaguzi mwingine wala msiwe na shaka.
Ndugu zangu wana JF taarifa ambazo zimezagaa baadhi ni maeneo zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa Mbunge Godliblees Lema kushindwa kwenye kesi yake inayoeendelea na hivyo kupelekea kuvuliwa ubunge.
hakuna shida si uchaguzi utafanyika tena basi lazima wataelewa kama kusoma hawawezi hata picha hawawezi sio sawa tuone