Mnara wa Babeli Lugha imechafukwaJina la mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki...
Mnara wa Babeli Lugha imechafukwaJina la mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki...
Pointi.Hakuna mtu kwa level ya uongozi wa africa akawa intellengent halafu akawa police
Ingawa wamo ila ikiwepo hawapei nafasi za juu kama kwenye siasa hivyo kawaida yao kufanaan reasoning
Huyo Demu kamwe hawezi kuwa polisi.mimi nilisoma na watoto wa mahita pale kibo primary darasa la 2 na 3 nikahamia ar. arusha school baba yao akiwa rpc kilimanjaro na marehemu sita akiwa rc . mzee akiwa airline kia, mmoja wakiume na wakike siwakumbuki majina ila class dem alikuwa bright sana
😅😅😅nimeshasema makamanda wetu wa kitanzania ukiwaona wamekaa kwenye jopo lao na manyota begani utasema makamanda kwelikweli!
ngoja waanze kuongea.utachoka mwenyewe.
Vyuo wanaenda kusoma kama geresha ili wapate vyeo tu. Lkaini kichwani wanabaki weupe vile vile.Huyu mahita pamoja na kwamba kasoma chuo kikuu lakini anajichanganya vibaya mno afadhali ya Kingai
Hapo sio suala la kuwa na elimu ya kiwango gani!!bali tatizo linapokuja kama unaenda kutoa ushahidi kwenye kesi ya kubumba hayo ndio matokeo yake mkuu!!Huyu mahita pamoja na kwamba kasoma chuo kikuu lakini anajichanganya vibaya mno afadhali ya Kingai
Yeah ni kweli isingekuwa kesi ya kubumba ushahidi ungenyooka automaticHapo sio suala la kuwa na elimu ya kiwango gani!!bali tatizo linapokuja kama unaenda kutoa ushahidi kwenye kesi ya kubumba hayo ndio matokeo yake mkuu!!
Leo naskia mtu kaomba kwenda kupupu baada ya presha kupandaJina la mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki...
Mbona huongelei dada wa Lissu alivyokuwaga Mbunge? Mbona huongelei Mbowe shemeji wa Mzee Mtei muasisi wa Chadema kuwa Mwenyekiti wa kudumu Chadema?Jina la mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki...
Hizo kazi zakisiasa ulizozitaja nazenyewe wanaajiriwa kama kazi za ajira rasmi serikalini.Mbona unaweweseka hivi.maana ata mtoa mada hajasema ni vibaya mtoto wa mahita kua askari.umejishtukia tu.Mbona huongelei dada wa Lissu alivyokuwaga Mbunge? Mbona huongelei Mbowe shemeji wa Mzee Mtei muasisi wa Chadema kuwa Mwenyekiti wa kudumu Chadema? Mbona huongelei Jesca kishoa mke wa Kafulila kuwa mbunge wa Chadema. Mbona huongelei mtoto wa Ndesamburo Lucy Owenya kuwa mbunge vitu Maalum Chadema? Mbona huongelei Joyce Mukya hawara wa Mbowe kuwa mbunge vitu maalum Chadema?
Kuna kosa gani mtoto wa Mahita kuwa askari?
Hapa inadhihirisha walisomea vyuo viwili tofauti sababu kila mkufunzi wa polisi ni baba wa uongo kama shetaniDuh...!
Mashahidi wawili wanatoa aina mbili tofauti za ushahidi.
Nachukia sana milengo hasi kama hii .Eti Riziwani iwe shida kujihusisha na Siasa .kisa Mzazi Alikuwa Rais..?!! Mahita ni Shahidi,Mahakamani na si vinginevyo...Kuna ubaya wowote mtoto wa Mahita kuwa polisi?
Na wadunguaji tafadhali!Tuliposema jeshi la polisi livunjwe hatukueleweka , tulitakiwa tubakishe brass band tu
Watoto wake wawili wa kiume walishasoma Arusha piamimi nilisoma na watoto wa mahita pale kibo primary darasa la 2 na 3 nikahamia ar. arusha school baba yao akiwa rpc kilimanjaro na marehemu sita akiwa rc . mzee akiwa airline kia, mmoja wakiume na wakike siwakumbuki majina ila class dem alikuwa bright sana
Acha mzaha ,ngumu kusahau jina la Class met wako Ndugumimi nilisoma na watoto wa mahita pale kibo primary darasa la 2 na 3 nikahamia ar. arusha school baba yao akiwa rpc kilimanjaro na marehemu sita akiwa rc . mzee akiwa airline kia, mmoja wakiume na wakike siwakumbuki majina ila class dem alikuwa bright sana