Kesi ya Aikaeli Mbowe imeibua mengine yanayoendelea ndani ya regime. Shahidi wa pili ni Inspekta Mahita

Mimi CCM lakini kwa kuitazama tu hii kesi ya Mbowe kuna wajinga fulani nyuma ya pazia wanataka kumzidi mama Samia kete.
Na nahisi Mama kawaachia ili waadhirike wenyewe.
Yaani watu wanataka kuzidiana, na mama anawatazama ili waadhirike kwa gharama ya mateso ya watu kukaa gerezani, halafu baadaye DPP aje kuwa hana nia ya kuendelea na kesi?? Wakati huo huo hizo resources zinazotumika kuendesha hiyo kesi ni maumivu kwa watanzania. Bado tutasimama majukwaani kujinadi kwamba tunataka kuwaletea maendekeo watanzania, na watanzania bado "watatupigia kura kutuchagua"
 
Katiba mpya ndio inayomuweka Mbowe jela hii katiba iliopo ni ya ccm sio katiba ya Tanzania. Ndio maana ccm wakisikia unaongelea katiba mpya wao wanajua unaongelea kuwaondoa madarakani.


Lunatic
 
Mbona huongelei dada wa Lissu alivyokuwaga Mbunge? Mbona huongelei Mbowe shemeji wa Mzee Mtei muasisi wa Chadema kuwa Mwenyekiti wa kudumu Chadema? Mbona huongelei Jesca kishoa mke wa Kafulila kuwa mbunge wa Chadema. Mbona huongelei mtoto wa Ndesamburo Lucy Owenya kuwa mbunge vitu Maalum Chadema? Mbona huongelei Joyce Mukya hawara wa Mbowe kuwa mbunge vitu maalum Chadema?

Kuna kosa gani mtoto wa Mahita kuwa askari?
Hiyo ndio hoja pekee uliyoiona?inamaana hujaona alivyowakamata watuhumiwa wakitembea?hahahahaha
 
Wakili Matata : kwenye maelezo yako hujaelewa kuwa kabla ya nye kusachi watuhumiwa hujaeleza nye mlisachiwa na nani?

Hapo jibu lazima iwe ngumu maana inakuja picha wao ndo waliowawekea kete
Wakili Matata naye ni matata kweli. Lakini zile kete wala bastola polisi inaonekana kama hawana tatizo nazo eti! Hii kesi ili kuepusha aibu zaidi kwa serikali waoindoe tu mahakamani maana haitawaacha salama!
 
Wakili Matata naye ni matata kweli. Lakini zile kete wala bastola polisi inaonekana kama hawana tatizo nazo eti! Hii kesi ili kuepusha aibu zaidi kwa serikali waoindoe tu mahakamani maana haitawaacha salama!
Ugaidi tu ndo ingekuwa na mantiki ,madawa ndo yameharibu kabisa kwamba ni kesi ya kutunga
 
17 September 2021

KILICHOENDELEA LEO KESI YA MBOWE, MAMBO MAZITO YAIBUKA,MASHAHIDI WATOFAUTIANA USHAHIDI

Kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi kesi namba 16/2021 ya Uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe na wenzake leo yasikilizwa


Wakili Peter Madeleka Achambua Kilichoendelea Leo Mahakamani Katika Kesi Ya Mwenyekiti Wa Chadema Freeman Mbowe, Mambo Mazito Yaibuka,mashahidi Watofautiana Ushahidi
1631897509012.png
  • Movement order (amri / ruhusa ya kuondoka) haikuwepo kwa ASP Mahita kuruhusiwa kuondoka kituo chake cha kazi, hivyo alichofanya ASP ni cha kienyeji hakutumwa na Polisi wala ofisa mkubwa aliye na nyota zaidi ya tatu ktk kushughulika na kesi ya tuhuma za kigaidi. ASP Mahita angekuwa anafanya kazi rasmi angetumia movement order kuripoti kila mkoa aliokuwa anapita yaani Kilimanjaro, Tanga, Pwani na Dar es Salaam
  • Watuhumiwa kupelekwa kituo kidogo cha Mbweni badala ya vituo vingine vikubwa vya polisi Dsm
  • Kwenda kituo cha Mbweni ilikuwa kwa sababu zingine zisizo za kiusalama
  • Chakula kwa watuhumiwa je walipewa au la
  • Kupokelewa kwa maelezo ya watuhumiwa chini ya onyo
  • Ushahidi wa mamalishe
  • Tumkumbuke hii ni hatua ya kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ( a trial within a trial)
 
Jina la Mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki.

Hapa inakuja picha bayana ni kwanini ni vigumu regime iliyoko kubadilika. Kila anaeshika madaraka anapandikiza wa kwake atakae washika mkono watoto wake miaka ijayo

Watoto wa makabwela hata mtoke na first class huko chuo kikuu, mtaendelea kupiga kura , kuna royals wameshaandaliwa kufanya maamuzi juu yenu iwe kwa kuteuliwa au kwa kuchaguliwa.

Tuna tabaka la wapiga kura na wapigiwa kura.
===

Shahidi wa kwanza ACP Kingai aliwakamata watuhumiwa wakati wakinywa supu
✍Shahidi wa pili Insp Mahita anasema waliwakamata wakati watuhumiwa wakitembea .

Tusubiri Shahidi wa tatu ....

@SuluhuSamia Sio aibu kuondoa hii fedhea Mahakamani.

System inakwenda kumzawadia mbowe uraisi 2025, mark my words haya mambo hayatokei hivi hivi tu
 
Jina la Mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki.

Hapa inakuja picha bayana ni kwanini ni vigumu regime iliyoko kubadilika. Kila anaeshika madaraka anapandikiza wa kwake atakae washika mkono watoto wake miaka ijayo

Watoto wa makabwela hata mtoke na first class huko chuo kikuu, mtaendelea kupiga kura , kuna royals wameshaandaliwa kufanya maamuzi juu yenu iwe kwa kuteuliwa au kwa kuchaguliwa.

Tuna tabaka la wapiga kura na wapigiwa kura.
===

Shahidi wa kwanza ACP Kingai aliwakamata watuhumiwa wakati wakinywa supu
✍Shahidi wa pili Insp Mahita anasema waliwakamata wakati watuhumiwa wakitembea .

Tusubiri Shahidi wa tatu ....

@SuluhuSamia Sio aibu kuondoa hii fedhea Mahakamani.

Shahid wa kumi: tuliwakata wakiwa wamelala
 
Jina la Mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki.

Hapa inakuja picha bayana ni kwanini ni vigumu regime iliyoko kubadilika. Kila anaeshika madaraka anapandikiza wa kwake atakae washika mkono watoto wake miaka ijayo

Watoto wa makabwela hata mtoke na first class huko chuo kikuu, mtaendelea kupiga kura , kuna royals wameshaandaliwa kufanya maamuzi juu yenu iwe kwa kuteuliwa au kwa kuchaguliwa.

Tuna tabaka la wapiga kura na wapigiwa kura.
===

Shahidi wa kwanza ACP Kingai aliwakamata watuhumiwa wakati wakinywa supu
Shahidi wa pili Insp Mahita anasema waliwakamata wakati watuhumiwa wakitembea .

Tusubiri Shahidi wa tatu ....

@SuluhuSamia Sio aibu kuondoa hii fedhea Mahakamani.
Hao watoto wa makabwela ndio wengi wamo jamii forum wana roho mbaya kusifia tu ma boss wa ccm, na waliobahatika wapo hapo lumumba buku 7.
 
17 September 2021

Kesi ya Mwenyekiti Mbowe: Yaliyojiri Hadi Sasa na Maana yake Kisiasa.

Kesi namba 16 / 2021 yavutia wadau wengi na ina maslahi mapana kwa umma na sifa au doa kwa serikali



Kesi kubwa hii namba 16 / 2021 ya Jamhuri dhidi ya Freeman Mbowe na wenzie 3 inafungua milango ya wananchi kutoka majumbani mwao kwenda kushiriki ktk shughuli na harakati za kisiasa.. kwa namna nyingi ... bila kuwasahau wadau wa maendeleo kupitia balozi zao Tanzania waliojifunga vibwewe kuhakikisha wanahudhuri kesi hii bila kuchoka na kutuma taarifa kwa serikali zao na Mabunge yao ya kitaifa na kikanda kama EU ...


Pia ikiwemo UN / Umoja wa Mataifa Freeman Mbowe afungua mashitaka Umoja wa Mataifa kuhusu Haki zake wakati anakamatwa na kuendelea kubakia kizuizini

Kesi ya Nyerere 1958 ya uchochezi Kesi ya Julius Kambarage Nyerere, rais wa Tanganyika African National Union, kwa "kashfa" dhidi ya maDC wa kikoloni wawili, 1958 (Book, 1990) [WorldCat.org] ,

Kesi ya Jomo Kenyatta The case that immortalised Kenya's ‘Kapenguria Six’ zote ziliopelekea wanasiasa Nyerere na Kenyatta kuwa mawaziri wakuu

Julius Nyerere, Jomo Kenyatta, Nelson Mandela n.k walipitia tanuru la moto kama mwenyekiti Freeman Mbowe na wenzie 3

https://www.sahistory.org.za › article
Kenyan Timeline | South African History Online

26 Feb 2021 — The state of emergency is lifted and talks are held at Lancaster House in London to discuss Kenya and Jomo Kenyatta at Lancaster House ..


NELSON MANDELA

Rivonia Trial 1963 - 1964, the trial that changed South Africa


Shot of the Palace of Justice during a lunch recess, seen from the supporters’ point of view. Rivonia Trial. © PTA News LibrarySource: Pretoria

In the Rivonia Trial, the ‘accused’ addressed this problem by using the courts as a site of struggle. They argued that the law was drawn up without the consent of the majority; it was enforced to ensure the perpetuation of an unjust system, and therefore the struggle would be waged to establish a new system, including a legal system that would embody the values of a non-racial constitution that protected human rights.

For the accused, the courtroom became a new site of struggle. The defendants’ daily appearances in court drew large crowds that filled up the courtroom and streets outside the court. Many supporters were in violation of numerous influx control regulations, and the courts for them too, became new sites of struggle.

In presenting the prosecution’s case, Yutar claimed that the accused were all members of what he considered ‘a cabinet of the government soon after the overthrow of the state’. In this cabinet, Mandela was Deputy Minister and Minister of Defence, while Govan Mbeki was Minister of European Affairs. The rest of the accused each had a cabinet portfolio.




Often referred to as "the trial that changed South Africa,” in October 1963, ten leading opponents of apartheid went on trial for their lives on charges of sabotage.

READ MORE Rivonia Trial 1963 - 1964 | South African History Online

Nelson Mandela: The Rivonia Trial​


The story of Nelson Mandela and the other Rivonia Trialists, from the series "Have You Heard From Johannesburg."
Source : Clarity films
Source : Nadj media centre
 
Back
Top Bottom