Kesi ya Aikaeli Mbowe imeibua mengine yanayoendelea ndani ya regime. Shahidi wa pili ni Inspekta Mahita

Jina la Mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki.

Hapa inakuja picha bayana ni kwanini ni vigumu regime iliyoko kubadilika. Kila anaeshika madaraka anapandikiza wa kwake atakae washika mkono watoto wake miaka ijayo

Watoto wa makabwela hata mtoke na first class huko chuo kikuu, mtaendelea kupiga kura , kuna royals wameshaandaliwa kufanya maamuzi juu yenu iwe kwa kuteuliwa au kwa kuchaguliwa.

Tuna tabaka la wapiga kura na wapigiwa kura.
===

Shahidi wa kwanza ACP Kingai aliwakamata watuhumiwa wakati wakinywa supu
✍Shahidi wa pili Insp Mahita anasema waliwakamata wakati watuhumiwa wakitembea .

Tusubiri Shahidi wa tatu ....

@SuluhuSamia Sio aibu kuondoa hii fedhea Mahakamani.

Aliwakamata mlima Kitonga wakati wakiendelea kukata miti na kuiweka barabarani wakielekea Mbeya.
 
ndio nakumbuka walikuwa wanaletwa deffender wakati ule ndio ilikuwa ya rpc polisi vi golf na land rover stg
 
Duh...!
Mashahidi wawili wanatoa aina mbili tofauti za ushahidi.
Mwanzo 11: 6-9

6 Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
7 Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
8 Basi Bwana akawatawanya kutoka huko waende usoni pa nchi yote; wakaacha kuujenga ule mji.
9 Kwa sababu hiyo jina lake likaitwa Babeli; maana hapo ndipo Bwana alipoichafua lugha ya dunia yote; na kutoka huko Bwana akawatawanya waende usoni pa nchi yote.
 
Hizo kazi zakisiasa ulizozitaja nazenyewe wanaajiriwa kama kazi za ajira rasmi serikalini.Mbona unaweweseka hivi.maana ata mtoa mada hajasema ni vibaya mtoto wa mahita kua askari.umejishtukia tu.
Umeishia darasa la ngapi hadi kushindwa kuelewa nia ya Mleta mada??

Kwa iyo kwa akili yako nepotism ni inapokuwa kwenye ajira tu? Kwenye siasa sio nepotism?
 
Jina la Mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki.

Hapa inakuja picha bayana ni kwanini ni vigumu regime iliyoko kubadilika. Kila anaeshika madaraka anapandikiza wa kwake atakae washika mkono watoto wake miaka ijayo

Watoto wa makabwela hata mtoke na first class huko chuo kikuu, mtaendelea kupiga kura , kuna royals wameshaandaliwa kufanya maamuzi juu yenu iwe kwa kuteuliwa au kwa kuchaguliwa.

Tuna tabaka la wapiga kura na wapigiwa kura.
===

Shahidi wa kwanza ACP Kingai aliwakamata watuhumiwa wakati wakinywa supu
✍Shahidi wa pili Insp Mahita anasema waliwakamata wakati watuhumiwa wakitembea .

Tusubiri Shahidi wa tatu ....

@SuluhuSamia Sio aibu kuondoa hii fedhea Mahakamani.


Jina la Mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki.

Hapa inakuja picha bayana ni kwanini ni vigumu regime iliyoko kubadilika. Kila anaeshika madaraka anapandikiza wa kwake atakae washika mkono watoto wake miaka ijayo

Watoto wa makabwela hata mtoke na first class huko chuo kikuu, mtaendelea kupiga kura , kuna royals wameshaandaliwa kufanya maamuzi juu yenu iwe kwa kuteuliwa au kwa kuchaguliwa.

Tuna tabaka la wapiga kura na wapigiwa kura.
===

Shahidi wa kwanza ACP Kingai aliwakamata watuhumiwa wakati wakinywa supu
✍Shahidi wa pili Insp Mahita anasema waliwakamata wakati watuhumiwa wakitembea .

Tusubiri Shahidi wa tatu ....

@SuluhuSamia Sio aibu kuondoa hii fedhea Mahakamani.


Jina la Mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki.

Hapa inakuja picha bayana ni kwanini ni vigumu regime iliyoko kubadilika. Kila anaeshika madaraka anapandikiza wa kwake atakae washika mkono watoto wake miaka ijayo

Watoto wa makabwela hata mtoke na first class huko chuo kikuu, mtaendelea kupiga kura , kuna royals wameshaandaliwa kufanya maamuzi juu yenu iwe kwa kuteuliwa au kwa kuchaguliwa.

Tuna tabaka la wapiga kura na wapigiwa kura.
===

Shahidi wa kwanza ACP Kingai aliwakamata watuhumiwa wakati wakinywa supu
✍Shahidi wa pili Insp Mahita anasema waliwakamata wakati watuhumiwa wakitembea .

Tusubiri Shahidi wa tatu ....

@SuluhuSamia Sio aibu kuondoa hii fedhea Mahakamani.


Jina la Mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki.

Hapa inakuja picha bayana ni kwanini ni vigumu regime iliyoko kubadilika. Kila anaeshika madaraka anapandikiza wa kwake atakae washika mkono watoto wake miaka ijayo

Watoto wa makabwela hata mtoke na first class huko chuo kikuu, mtaendelea kupiga kura , kuna royals wameshaandaliwa kufanya maamuzi juu yenu iwe kwa kuteuliwa au kwa kuchaguliwa.

Tuna tabaka la wapiga kura na wapigiwa kura.
===

Shahidi wa kwanza ACP Kingai aliwakamata watuhumiwa wakati wakinywa supu
✍Shahidi wa pili Insp Mahita anasema waliwakamata wakati watuhumiwa wakitembea .

Tusubiri Shahidi wa tatu ....

@SuluhuSamia Sio aibu kuondoa hii fedhea Mahakamani.

Mungu amejibu maombi ya wanawake waliosali mahakamani pale
 
.....ni upotevu mkubwa wa rasilimali muda na kujirudisha nyuma kimaendeleo. Ni wazi kwamba kesi ya Mbowe inachukua muda mwingi wa watanzania na sio waganda wala wakenya na hivyo kupoteza muda na mali nyingi ambazo zingetumika katika kukuza uchimi wa Taifa. CCM tumekaa kuviziana na wapinzani kama mke mwenza au wifi mwenye gubu kwa mke mwenzake ama wifi yake anaefanya vizuri ila yeye yupo yupo tu.

Kuendelea kuruhusu masuala ya namna hii yawe ajenda kubwa kwa Taifa ni kulizorotesha Taifa na kujidanganya sisi wenyewe. Raisi na kabineti yake yapasa itafute ajenda za kuleta maendeleo katika nchi yetu. Wenzetu kila siku wanasonga mbele kimaendeleo maana meza zao zimejaa ajenda za maendeleo lakini kwetu tupo busy kutiana hasara ya muda na mambo ya kipuuzi kila wakati. Wavivu wa kufikiri na kuleta hoja za maana na ndio maana viongozi wameua ajira ya vijana wengi ya wakala wa pesa zinazopitia kwenye simu za mkononi kwa kuweka tozo katika eneo ambalo lilikuwa limefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuajiri vijana na sasa wamezalisha tena wimbi la vijana wasiokuwa na ajira. Akili au matope t

CCM tunatumia muda wetu 60% kupambana na vivuli vyetu wenyewe na 20% kufikiria mustakabali wa nchi na maendeleo ya watu hizi 20% nyingine hatujui zinatumika je kwa ujinga mwingi tulionao wa kuamini katika kurithishana viti. Inatia hasira sana na kwa hakika na 100% ipo siku wanachi watachoka na blabla zetu hata kama tutakuwa tumewapatia maendeleo ya vitu kwa asilimia kubwa. NONSENSE KABISA KUDEAL NA VITU DHAIFU KUTWA NZIMA.
 
Mbona huongelei dada wa Lissu alivyokuwaga Mbunge? Mbona huongelei Mbowe shemeji wa Mzee Mtei muasisi wa Chadema kuwa Mwenyekiti wa kudumu Chadema? Mbona huongelei Jesca kishoa mke wa Kafulila kuwa mbunge wa Chadema. Mbona huongelei mtoto wa Ndesamburo Lucy Owenya kuwa mbunge vitu Maalum Chadema? Mbona huongelei Joyce Mukya hawara wa Mbowe kuwa mbunge vitu maalum Chadema?

Kuna kosa gani mtoto wa Mahita kuwa askari?
Wew nani kakuzuia kuongelea hayo? Au kuna mtu kakuziba na gunzi so hiwezi ongelea?
 
Mimi CCM lakini kwa kuitazama tu hii kesi ya Mbowe kuna wajinga fulani nyuma ya pazia wanataka kumzidi mama Samia kete.
Na nahisi Mama kawaachia ili waadhirike wenyewe.
 
.....ni upotevu mkubwa wa rasilimali muda na kujirudisha nyuma kimaendeleo. Ni wazi kwamba kesi ya Mbowe inachukua muda mwingi wa watanzania na sio waganda wala wakenya na hivyo kupoteza muda na mali nyingi ambazo zingetumika katika kukuza uchimi wa Taifa. CCM tumekaa kuviziana na wapinzani kama mke mwenza au wifi mwenye gubu kwa mke mwenzake ama wifi yake anaefanya vizuri ila yeye yupo yupo tu.

Kuendelea kuruhusu masuala ya namna hii yawe ajenda kubwa kwa Taifa ni kulizorotesha Taifa na kujidanganya sisi wenyewe. Raisi na kabineti yake yapasa itafute ajenda za kuleta maendeleo katika nchi yetu. Wenzetu kila siku wanasonga mbele kimaendeleo maana meza zao zimejaa ajenda za maendeleo lakini kwetu tupo busy kutiana hasara ya muda na mambo ya kipuuzi kila wakati. Wavivu wa kufikiri na kuleta hoja za maana na ndio maana viongozi wameua ajira ya vijana wengi ya wakala wa pesa zinazopitia kwenye simu za mkononi kwa kuweka tozo katika eneo ambalo lilikuwa limefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuajiri vijana na sasa wamezalisha tena wimbi la vijana wasiokuwa na ajira. Akili au matope t

CCM tunatumia muda wetu 60% kupambana na vivuli vyetu wenyewe na 20% kufikiria mustakabali wa nchi na maendeleo ya watu hizi 20% nyingine hatujui zinatumika je kwa ujinga mwingi tulionao wa kuamini katika kurithishana viti. Inatia hasira sana na kwa hakika na 100% ipo siku wanachi watachoka na blabla zetu hata kama tutakuwa tumewapatia maendeleo ya vitu kwa asilimia kubwa. NONSENSE KABISA KUDEAL NA VITU DHAIFU KUTWA NZIMA.
Mtalia Sana na gaidi mbowe wenu

USSR
 
Back
Top Bottom