Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 365,961
- 845,995
Kesho kwa maana ya masaa machache yajayo
Kuna tetesi za wazi kwamba kesho ni kiama kingine cha ongezeko la bei kwenye mafuta
Mafuta Yaliyopanda bei ni yale yaliyokuwa nchini.. Ambayo kiuhqlisia hayakupaswa kupandishwa bei
Sasa mzigo mpya ni ule ambao umepitia misukosuko ya vita hata kama baadhi walikuwa wamezificha meli zao baharini wakisubiri hiki kipindi
Kuna hofu lita moja inaweza kufikia 5000+
Kama hilo likitokea tutegemee madhara na madhila mapya
Wengi watapaki nagari
Bidhaa zitapanda bei.. Infact kila kitu kitapanda bei
Je serikali imejiandaa na emergency rescue plan?
Je waajiri watawazingatia wafanyakazi wao kwenye ongezeko la mishahara?
Tutarajie mpaka kufikia mwisho wa wiki barabara nyingi kuwa nyeupe!
Kufa kufaana ..! Ni wakati wa kutamba kwa wenye magari na boda za solar na umeme!
Kuna tetesi za wazi kwamba kesho ni kiama kingine cha ongezeko la bei kwenye mafuta
Mafuta Yaliyopanda bei ni yale yaliyokuwa nchini.. Ambayo kiuhqlisia hayakupaswa kupandishwa bei
Sasa mzigo mpya ni ule ambao umepitia misukosuko ya vita hata kama baadhi walikuwa wamezificha meli zao baharini wakisubiri hiki kipindi
Kuna hofu lita moja inaweza kufikia 5000+
Kama hilo likitokea tutegemee madhara na madhila mapya
Wengi watapaki nagari
Bidhaa zitapanda bei.. Infact kila kitu kitapanda bei
Je serikali imejiandaa na emergency rescue plan?
Je waajiri watawazingatia wafanyakazi wao kwenye ongezeko la mishahara?
Tutarajie mpaka kufikia mwisho wa wiki barabara nyingi kuwa nyeupe!
Kufa kufaana ..! Ni wakati wa kutamba kwa wenye magari na boda za solar na umeme!