Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Hii ndo ufananishe na risasi?? 🤣
Kuifananisha hiyo na risasi inategemeana na fikra zako binafsi.

Ila kwa ufanisi, hiyo imeua vifaru vya kutosha vya Urusi pale Ukraine kwenye vita inayoendelea. Raia wa Ukraine walitengeneza na kuitumia ili kuwasaidia wanajeshi wao ambao risasi zilikuwa zinawaishia nk.
 
Kuifananisha hiyo na risasi inategemeana na fikra zako binafsi.

Ila kwa ufanisi, hiyo imeua vifaru vya kutosha vya Urusi pale Ukraine kwenye vita inayoendelea. Raia wa Ukraine walitengeneza na kuitumia ili kuwasaidia wanajeshi wao ambao risasi zilikuwa zinawaishia nk.
Ooh kumbe ee
 
Namshukuru Mungu Sana
Kuna mwenzangu yeye alikuwa anaenda kitunda nawaza kama alitoboa maana yeye njia zake zilikuwa zilizochafuka
Wacha tuamini atakuwa alifika salama,, siku mbaya ilikuwa 30/10/25 hiyo ndo damu ilimwagika kwenye uso wa nchi hii huyu chura kiziwi ana roho ngumu sana
 
😂 mjini mipango asee
Sema tumshukuru max ameweza kubeba dhambi zetu huku if 🤣
Yani awake namba tumuwekee chochote kitu,, kwa namna tunavyotema nyongo inatusaidia kupunguza maumivu tuliyonayo
 
Nilikuwa na malengo yangu flani Ila walichonifanyia wale wahuni na malengo yakafa.
Kule hadi mjumbe ni kibaka
Af nyumba ilikuwa nzuri Sana na karibu na eneo langu.
Shenzi wale siwasahau
Na kesi ikabadilishiwa mpelelezi kwa makusudi... Wale na polisi wanajuana
Pole Sana, sema next time pachunguze kwa makini.
 
Sipendezwi na yanayoendelea nchini ila Hawa vibaka waandamanaji wanatuferisha sana hasa sisi wasaka tonge,wanavunja maduka na mali zetu,so naona maandamano kama yanaturudisha nyuma kimaendeleo hasa sisi wapambanaji wa kila siku,, maandamano yakomeshwe maana wanaoandamana ni wale watu majobless,wahuni na vibaka ,,mtu mwenye kazi zake hawezi hatarisha uchumi wake kwA kuandamana
 
Golani walijichanganya wakapita kufanya doria, mbona walikimbia na bunduki zao wakapita njia ya kwa Makofia ili watokee kinyerez, kufika kwa Makofia wakapita njia sio wakaingia mitaani zaidi, kuna ostadhi aliwaokoa kuwaonyesha njia wakageuza kurudi walipotoka, raia walishaanza kuwafungia njia ili wasitoke
Dah ndio maana una vurugu jukwaani, kumbe golani ndio maskani.
 
Alaf ile tarehe 30 ni kama walijua hatoki mtu maana palipoa kimtindo badae ndo pakachangamka
Kuna mmoja aliandika huenda wajeshi walipewa onyo kuachia njia wauaji wafanye yao, unampiga risasi mtu asie hata na kisu? Ni kama kumchapa fimbo mtoto wa mwaka 1,

Wanasema wananchi waliharibu miundo mbinu na kupora mali hiyo haihalalishi kuua ovyo,, serikali hii iliyoahidi kulinda utu wa mtanzania??

Maandamano yajayo hali itakuwa mbaya km walikata vidole wapiga kura awamu hiyo polisi, viongozi na makada wa ccm watauawa, tunaishi nao,
 
Sipendezwi na yanayoendelea nchini ila Hawa vibaka waandamanaji wanatuferisha sana hasa sisi wasaka tonge,wanavunja maduka na mali zetu,so naona maandamano kama yanaturudisha nyuma kimaendeleo hasa sisi wapambanaji wa kila siku,, maandamano yakomeshwe maana wanaoandamana ni wale watu majobless,wahuni na vibaka ,,mtu mwenye kazi zake hawezi hatarisha uchumi wake kwA kuandamana
We ni mlamba asali,, kwahiyo waliouawa kwenye maandamano ni vibaka sio?
 
Back
Top Bottom