Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Yani Hadi aibu.
Watu tumeibiwa vitu vya maana Ila hatujawahi sapoti kuuwawa kwa Vibaka sembuse hawa.
Hakuna kosa linahalalisha kumwaga damu ya mtu
Waandamanaji wao hawakuwa na agenda ya kuua yoyote ndo maana mpk sasa wenyeviti wa chama mtaani bado wanapumua ila awamu ijayo sijui km watapona, wakikimbiq wao familia zao zinajulikana, hata shemeji zao watatosha kutuma ujumbe,,

Ijayo haitakuwa kuchoma vituo vya mafuta ila viongozi wengi sana watakufa, shauri yao
 
Waandamanaji wao hawakuwa na agenda ya kuua yoyote ndo maana mpk sasa wenyeviti wa chama mtaani bado wanapumua ila awamu ijayo sijui km watapona, wakikimbiq wao familia zao zinajulikana, hata shemeji zao watatosha kutuma ujumbe,,

Ijayo haitakuwa kuchoma vituo vya mafuta ila viongozi wengi sana watakufa, shauri yao
Serikali iwasikilize jamani na kuwapoza kwa faida ya taifa letu pendwa
 
September mwaka huu vibaka waliniibia mchana saa nane, jirani mjeda nae walipita nae, hayo maeneo sio kabisa, na hata polisi ukiwaita eneo hilo hawatoi ushirikiano wanajizungusha sana
Mimi kesi ilipinduliwaaa nkaona nguvu Sina nikakimbia nkaacha Kodi yangu. Kuna umafia mwingi Sana kule
 
We ni mlamba asali,, kwahiyo waliouawa kwenye maandamano ni vibaka sio?
Maandamano yafanyike kwA Amani na kwA mabango maalumu,sasa unaandamana hujui unaandamania kuhusu Nini ,badala ya kwenda ikulu kumuondoa usie mpenda unaenda kubomoa duka la mtu ambae ametumia miaka kumi kujipata,unachoma ,sheli ,magari huo ni ujinga kufelishana maisha kimasihara kabisa.kwanza waandamanaji wapigwe vita tu maana hawajui wanataka Nini,muandamanaji gani ana andamana bila bango!?
 
Maandamano yafanyike kwA Amani na kwA mabango maalumu,sasa unaandamana hujui unaandamania kuhusu Nini ,badala ya kwenda ikulu kumuondoa usie mpenda unaenda kubomoa duka la mtu ambae ametumia miaka kumi kujipata,unachoma ,sheli ,magari huo ni ujinga kufelishana maisha kimasihara kabisa.kwanza waandamanaji wapigwe vita tu maana hawajui wanataka Nini,muandamanaji gani ana andamana bila bango!?
Una akili za kipolisi wa tz
 
Back
Top Bottom